Kwa tunaoona nje ya box, Ole Sabaya ni fagio la Wanaharakati uchwara mitandaoni na anguko la Mbowe

Kwa tunaoona nje ya box, Ole Sabaya ni fagio la Wanaharakati uchwara mitandaoni na anguko la Mbowe

Yaani hata darasani mwalimu hata ungefundishaji kuna wabafunzi vilaza ambao ukisema tisa wanasema sita yaani hawa huwa ni wanafunzi mbumbumbu wasiojielewa...
Hiyo ndio inaitwa mahaba niue, unampenda mpaka umekua kipofu.
 
Yaani hata darasani mwalimu hata ungefundishaji kuna wabafunzi vilaza ambao ukisema tisa wanasema sita yaani hawa huwa ni wanafunzi mbumbumbu wasiojielewa...
IMG-20210602-WA0102.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpumbavu anapotoa utetezi Akidhani anaokoa kumbe anazidi kuzamisha jahazi.

Sabaya hapo alipo tayari ameaibika vya kutosha, na kwa nchi inayofuata maadili ya kiungozi hata km akiwa huru leo hana tena sifa ya kuwa kiongozi wa watu.
Nimesikia leo Mama akitoa mfano au angalizo viongozi,wa matatizo au usumbufu/fujo alizokuwa anapata Mama Mghwira ktk uongozi wake, kutoka kwa baadhi ya maDC wake kwa sababu alitoka upinzani....nikakumbuka inawezekana huyo DC mstaafu wa Hai akawa mmoja wao manake kwa kujimwambafy alikuwa hajambo..... kazi iendelee.
 
Yaani hata darasani mwalimu hata ungefundishaji kuna wabafunzi vilaza ambao ukisema tisa wanasema sita yaani hawa huwa ni wanafunzi mbumbumbu wasiojielewa...
Kunya ulale.

Bado unatetea maiti?

7baya msahau kabisa,jifanye Kama mmeshazika na yamepita/ameshakuwa Mwendazake
 
Yaani hata darasani mwalimu hata ungefundishaji kuna wabafunzi vilaza ambao ukisema tisa wanasema sita yaani hawa huwa ni wanafunzi mbumbumbu wasiojielewa...
Mimi ni wa kwanza kuona maajabu hayo!!yaani watu ni majasiri!!kweli kwa kinachoendelea sasa hivi kwa sabaya bado unasema kuwa anakwenda kupindua meza kibabe!!litakuwa ajabu la nane la dunia.

Kazi za uteuzi hasa za kisiasa unapoambiwa kaa pembeni kwanza ndio imetoka hiyo, hiyo sio kazi ya taaluma.
 
Chief hii hoja yako mfu kabisa ATAKUAIBISHA WEWE ......SABAYA KAHARIBU SANA NA KUWAKWAZA VIJANA WASIAMINIWE KATIKA UONGOZI WA NCHI HII.....kaumiza wengi kasimamishwa na yuko lokapu hahaha...KARAGABAHO
 
Yaani hata darasani mwalimu hata ungefundishaji kuna wabafunzi vilaza ambao ukisema tisa wanasema sita yaani hawa huwa ni wanafunzi mbumbumbu wasiojielewa...
jipige kifuani alafu jiambie "mimi kweli ni mpuuuzi kutokana na huu uzi wangu"
 
Wewe ni miongoni mwa wale walimbwende wa kwenye msafara wake au ni miongoni mwa wale mabawabu wake aliokua anawalaza chumba kimoja?
 
January 18 mwaka 2019 aliyekua mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya anadaiwa kujipatia zaidi ya TZS 500M kwa njia za udanganyifu. Sabaya aliwaandikia barua wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa wilayani humo akitaka kila mmoja kuchangia kiasi kisichopungua 15M kwa ajili ya sherehe za maadhimisho ya miezi sita toka ateuliwe.

Jumla ya wawekezaji 35 waliandikiwa barua na kulazimishwa kuchangia sherehe hizo. Wale walioshindwa walipewa usumbufu katika biashara zao ikiwemo madai ya kukwepa kodi. Mmoja wa waliokumbwa na kadhia hiyo ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Tudley inayomiliki mashamba ya Kibo na Kikafu Estate, Bw.Jensen Natai ambaye aliwekwa rumande kwa siku 3 na kunyang'anywa hati yake ya kusafiria (passport) kwa madai 'feki' ya kukwepa kodi.

Mfanyabiashara mmoja aliyewekeza kituo cha mafuta wilayani Hai ameonesha barua aliyoandikiwa na Sabaya na bank transfer ambayo alituma kiasi cha TZS 15M, ili kugharamia sherehe hizo za miezi 6 ya Sabaya ofisini. Hata hivyo baada ya kukusanaya fedha hizo hakuna sherehe yoyote iliyofanyika, na haijaelezwa fedha hizo zilitumikaje.

Inadaiwa kuwa moja ya mbinu alizokua akizitumia kuwatisha wafanyabiashara ni kujirekodi kila anapoongea na viongozi wakubwa wa serikali akiwemo JPM. Alikua anawasikilizisha wafanyabiashara hao maongezi yake na JPM halafu anawahakikishia kulinda biashara zao kwa sababu yupo karibu na mzee.!
 
wapima nyota wameshawaonya watesi wa Sabaya kuwa kijana huyu ana kariba ya kipekee katika uongozi yaani Sabaya kwa miaka 33 tu aliyonayo amemtikisa Mbowe Mzee Msitaaafu wa miaka 61 yaani Mbowe alitikiswa akatikisika akatulia na akakubali yaishe.

Uwezo wa kijana huyu unasababishwa na nguvu kubwa ya ushawishi kujenga hoja aliyojaliwa nayo yaani katika kuangalia Clip zako zoote usilogwe kumuangalia Sabaya ukiwa umeweka Mb chache kwenye simu yako hauchoki kumsikiliza anajenga hoja ana sauti ya Amri na ya kimamlaka ana utulivu wa hali ya juu kijana huyu mdogo ana kariba ya uongozi ambapo si kila mtu anaweza kuwa nayo.

Watu wengi watenda mema walizushiwa toka enzi za kina YESU KRISTO maaana mafarisayo na masadukayo yaliyozoea vya dhulma yaliuchukia ukweli yalipoambiwa Na bwana Yesu kuwa mpeni kaisari vilivyo vyake kaisari na mpeni Mungu vilivyo vyake Mungu yalichukia sana yakamshitakia Yesu kwa Ufalme wa Pontio pilato kwa maneno yenye uzushi na uongo lakini hata pilato alipoona kuwa bwana Yesu hana kosa lolote aliwakwepa Mafarisayo na Masadukayo kwa kuwaaambia mtu huyu anatoka kwenye ufalme wa Herod hata hivyo mafarisayo na Masadukayo na walimu wa dini wanafiki walishinikiza bwana Yesu alisulubiwe.

Mafarisayo na Masadukayo hayajaisha yapo na yanaendelea kuwepo yamejaa dhulma uonevu na ukatili wa kiwango cha hali ya juu watenda wema huwa wanahangaika sana kwenye Falme za Mafarisayo na Masadukayo.

Sabaya ni kijana ambaye anaonekana si tu tishio lkn pia ni kiini cha anguko la Wafalme wahalifu makatili na waongo waliojivika ngozi za ukombozi huku mioyo yao ikiwa imejawa na matendo maovu ambayo hata shetani Malaika Michael aliyetupwa Mbinguni kwa ajili ya uasi hawezi kuyafanya.

ITOSHE KUSEMA KUWA WANADAMU WAONDOE KWANZA MABANZI NDANI YA MACHO YAO KABLA YA KUWAAMBIA WENZAO WAONDOE VIBANZI NDANI YA JICHO LAO

Nyota ya sabaya haitazimwa kamwe na Waongo wazushi wenye mioyo ya kifarisayo na kisadukayo hata pilato na Herode wangeamua vipi
 
Sabaya Muda si mrefu anaenda kuwa nyampara wa magereza, kule panafaa akaonyeshe umahiri wake.
 
wapima nyota wameshawaonya watesi wa Sabaya kuwa kijana huyu ana kariba ya kipekee katika uongozi yaani Sabaya kwa miaka 33 tu aliyonayo amemtikisa Mbowe Mzee Msitaaafu wa miaka 61 yaani Mbowe alitikiswa akatikisika akatulia na akakubali yaishe...
Jambazi Sabaya limezaliwa 1980 halafu eti bado linajiita lina Miaka 33
 
Back
Top Bottom