Kwa tunaosafiri na mabasi, ni vitu gani huvizingatia kabla ya kufanya maamuzi ya kusafiri na basi husika

Kwa tunaosafiri na mabasi, ni vitu gani huvizingatia kabla ya kufanya maamuzi ya kusafiri na basi husika

Binafsi ili safari yangu iwe nzuri na niifurahie huwa nahitaji vitu vichavhe tu, kwanza kabisa gari linalozingatia muda na pia ile huduma yetu pendwa ya kuchaji simu lakini pia gafi ambalo ni nadhifu kwa maana ya usafi wa ndani na nje wa basi, nikipata vitu hivyo tu basi huwa nashawishika kupanda basi hilo.

Kwako wewe unazingatia nini?

View attachment 2718244
Kabisa mm huwa nazingatia deleva wangu katika chombo chamgu cha usafili yukoje, na pia muonekano wa gali langu inakuaae
 
Kabisa yan hata kama mtu amekuja kukupokea anajihis kitu flan na namna ya kushuka kwenye gali nadhifu
Nilikuaga namwambia mwanangu mmoja mtu wa Mbeya... njoo na gari flan au gari flan tofaut na hapo utajipokea mwenyewe mie tutakutana nje ya stand.. siez enda pokea mtu unashuka kwenye gari kama umetoka Vitani

Sent from my SM-N981U1 using JamiiForums mobile app
 
[emoji3][emoji3][emoji3] kuotaje

Sent from my SM-N981U1 using JamiiForums mobile app
Nina bahat ya kuota.. Kama safari itakua mbaya au salama...

Kuna siku niliota tumepata ajali.. Ile ndoto nikaipuuzia nikaamua kusafiri hivyo hivyo ... Safari ilikua kutoka dar to singida.. Na kweli gari ilipo fika moro ikaanguka..😢
 
Nina bahat ya kuota.. Kama safari itakua mbaya au salama...

Kuna siku niliota tumepata ajali.. Ile ndoto nikaipuuzia nikaamua kusafiri hivyo hivyo ... Safari ilikua kutoka dar to singida.. Na kweli gari ilipo fika moro ikaanguka..[emoji22]
Duh

Pole sana asee

Sent from my SM-N981U1 using JamiiForums mobile app
 
Nilikuaga namwambia mwanangu mmoja mtu wa Mbeya... njoo na gari flan au gari flan tofaut na hapo utajipokea mwenyewe mie tutakutana nje ya stand.. siez enda pokea mtu unashuka kwenye gari kama umetoka Vitani

Sent from my SM-N981U1 using JamiiForums mobile app
Vumbi[emoji23]
Anakuja na Rungwe,sijui Greenline[emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom