Kwa ufupi, Wayahudi wameshindwa kabla hawajaanza

Kwa ufupi, Wayahudi wameshindwa kabla hawajaanza

Huyu mwanamke anaonesha ni m-jihad wa mdomo sana. Hongera Faiza.
 
Eti Hamas wanatamani kufa, sasa Huo si ugonjwa wa akili...
Tena kabisa, mjulishe hilo mungu wako myahudi.

Hao wanamgambo wagonjwa wa akili kwa miaka zaidi ya 70. naona halijuwi hilo.
 
Hayo mapango unayoyasema ukute wapinzani wake Israel ndiyo walikuwa Wakandarasi wa kuyatengeneza. Usidhani wewe unaijua Gaza zaidi ya majirani yao Israel
 
Tena kabisa, mjulishe hilo mungu wako myahudi.

Hao wanamgambo wagonjwa wa akili kwa miaka zaidi ya 70. naona halijuwi hilo.
Sasa mungu mwarabu si awatibu Huo ugonjwa?waje upande wa pili wapate uponyaji
 
Japo kila nikitizama video za mnavyoteseka na watoto wenu najikuta nikiumia sana kwa huruma, tatizo mlivyo mazombi ya ajabu licha ya mateso yote hayo, mkiachiwa lazima mtaendelea na uchizi wenu. Itabidi Israel iendelee tu bila kuwaonea huruma, hamna namna, itabidi hilo eneo lifanyiwe usafi wa kuondoa yale mazombi yenu, wabaki watu wanaopenda amani.
Unaziona leo? Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.

Watu wiki hii wanaona myahudi akihaha na kubwabwaja hovyo na mabwana zake wakija mbiombio kumtuliza. Wanamwambia usiende huko, hao vijana wehu, watakunyuka.
 
Hayo mapango unayoyasema ukute wapinzani wake Israel ndiyo walikuwa Wakandarasi wa kuyatengeneza. Usidhani wewe unaijua Gaza zaidi ya majirani yao Israel

Endelea kuota tu.

Huamini kama mungu wako anaweza kuchezea kichapo kichapo?
 
Kwahiyo kumbe kelele za kuonewa mlikuwa mnapiga za nini? Mkiachwa mnasema mmeogopwa, mkidundwa mnabeba mpaka midoli mliyopaka rangi nyekundu kuonesha kuwa mnauliwa, ili muonewe huruma? Nyie watu vipi?
 
Hili bandiko sijaona points yoyote zaidi ya ujinga na ushabiki wa kitoto kwa maelezo yako ulitaka Israel iwe imeshawafutilia mbali Hamas hawa wanaowatumia wananchi kama shield kujilinda na kipigo cha Muisraeli?

Bandiko la hovyo sana hili
 
Japo kila nikitizama video za mnavyoteseka na watoto wenu najikuta nikiumia sana kwa huruma, tatizo mlivyo mazombi ya ajabu licha ya mateso yote hayo, mkiachiwa lazima mtaendelea na uchizi wenu. Itabidi Israel iendelee tu bila kuwaonea huruma, hamna namna, itabidi hilo eneo lifanyiwe usafi wa kuondoa yale mazombi yenu, wabaki watu wanaopenda amani.
Pumbafu
 
Akili za watu wajinga sana hizi! Unaenda chokoza moto wa nyika huku ukijua utauwawa?? Huu ni upumbavu sana kwa wana dini!
 
Kwahiyo kumbe kelele za kuonewa mlikuwa mnapiga za nini? Mkiachwa mnasema mmeogopwa, mkidundwa mnabeba mpaka midoli mliyopaka rangi nyekundu kuonesha kuwa mnauliwa, ili muonewe huruma? Nyie watu vipi?
Kelele kwasababu badala ya kupiga kambi za hamas, mnapiga raia wanawake na watoto alafu mnajiita jeshi bora duniani
 
Wewe mjukuu wa mtoto wa beki tatu una shida kweli!😂 Nipo pale siku palestina watamshinda Israel njoo uniite.
 
Unaziona leo? Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.

Watu wiki hii wanaona myahudi akihaha na kubwabwaja hovyo na mabwana zake wakija mbiombio kumtuliza. Wanamwambia usiende huko, hao vijana wehu, watakunyuka.

Sijaziona leo, kila siku naona mapicha mapya, ni mateso hadi machozi yananilenga, poleni jameni ila hiyo dini imewaponza sana maana imewavuruga akili hamjui amani wala nini, ni mateso tu siku zote., halafu baada ya mateso mkifa mnagundua huyo muarabu aliwahadaa, hamna cha mabikira wala nini.
 
Akili za Watanzania wengi zimejaa matope, tuna umaskini Hadi sehemu za Siri lakini kutwa kucha kushabikia vita visivyotuhusu. Tuna tatizo
Motivation speaker waelezee hao fursa zilozopo tanzania.
Vipi ,kitabu chako Cha ujasiliamili Bado Kiko printing ,can't wait
 
Ni mapema sana kusema Operation ya Israel imeshindwa. Mpaka sasa hakuna taarifa rasmi Israel anataka kupiga mpaka wapi. Naona safari hii safisha itakuwa ya kiwango cha SGR.

Usirudi badae tu na kuomba huruma hapa kwa wapalestina.
 
Back
Top Bottom