Kwa ufupi, Wayahudi wameshindwa kabla hawajaanza

Kwa ufupi, Wayahudi wameshindwa kabla hawajaanza

Historia inaonesha wayahudi wa Israel kila waliposhambuliwa na wanamgambo wa Hamas walilipiza kisasi papo kwa papo bila kusubiri.

Nini kilichwafanya safari hii "wajipange" kwa muda mrefu na huku wanadai kuwawatu wao wengi wametekwa?

Jibu ni jepesi sana; Hamas ndiyo walioshambulia na katika kushambulia kwao walikuwa wsanajuwa na wanafahamu moto wakaoshushiwa na wayahudi, hilo halina shaka wala ubishi.

Kama walijuwa hilo inamaanisha kitu kimoja tu, walijipanga, ikumbukwe kuwa Israel wameshambulia kutokea mbali na angani ndani ya gaza na wanasema wameua viongozi wawili wa Hamas, cha kujiuliza, viongozi wawili wa Hamas ndiyo wana mgambo wote wa Hamas> Ni nini kinawashinda kuingia Hamas? Na nguvu zote za kivita walizonazo na mashambulio ya ndege za kivita kuuwa viongozi wawili tu na raia kibao ni kushindwa kwa mbinu kwa wayahudi.

Gaza, ina mji mwengine wa mtandao wa mapango waliyoyachimba miaka yaote ya kushambuliwa na Wayahudi, ni mapngo yalio "very comple" mengine yanatokea ndani ya Israel na mengine yanatokea upande wa pili wa mpaka wa Egypt.

Kilichokuwepo, ni Wisrael wanangojwa waingie kwaa miguu wamalize kazi ya kuwamaliza Hamas, ambao ikumbukwe kuwa Hamas ni waanamgambo waliokwisha jitolea kufa, siyo wanajeshi, ni raia wa kawaida walijotolea liwalo na liwe.

Mpaka sasa hivi, hili ni pigo kubwa sana kwa wayahudi na wameshashindwa vita walioitanganza kwa mbembwe za mandonga, kama vile vita imeanza waliposhambuliwa na mgambo wa Hams.

Hamas wameshafanya yao, bado wanamateka kubao, wayahudi wanangoja nini, mara sababu ooh hali yahewa, mara sababu oooh sijuwi nini? Kw aufupi hawana ukweli kabisa. imewanyeshea na inaendelea kuwanyeeshea, sasa kulikwepa wanalianzisha huko kaskaini na Hizbollah, huko ndiyo kabisa wameshaambiwa wasijaribu. Hizbollah jana imewatangazia ina missiles laki moja na nusu wanazongoja waijaribu kuipiga tel Aviv. Waje tu.

Israel itaebdelea kushambulia kwa mbali na kwa ndge, lakini vita ya uso kwa suso ndani ya gaz itakuwa ngumu sana kwao, wanaogopa sana kufa. Kinyume na Hams wanaokitamani kifo ckufa "shahhed" (martyr).

Mpaka sasa nahisabu ushindi ni wa Palestina. Njia pekee ya ushindi kwa wayahudi ni kuagizia makombora ykutokea mbali na hapo kuuwa wayahudi wenzao walishikiliwa mateka. N ahilo wapo tayari kulifanya ikibidi, kwa kwuwa walioshikwa wengi wanahesabika ni daraja lachini, siyo wayahudi ashkenazi. Au kingine wanachokingoja ni majeshi ya kukodisha ndiyo wayasukumie gaza.

Haya waale amabao mungu wenu ni myahudi, ulaji huo.


View: https://youtu.be/tF928JnCQNI?si=1c_BqltNvVkZbwc4

Mtoa mada unashangilia binadamu mwenzio kufa
 
Vita ya kupigania na magaidi ni tofauti na Vita ya kupigania nchi na nchi. Hamas wamejificha miongoni mwa raia ndio maana hata Misri wangekataa kupokea raia wa Palestine sababu wanajua watapokea raia na magaidi waliojichanganua.
Vita ya ardhi inahitaji uangalifu zaidi sababu Hamas wako tayari kufanya uhalifu chochote kuhalalisha uhalifu wao, misikiti na sehemu nyingine watakazojificha zikianza kuharibiwa msianze kulalamika.
 
Historia inaonesha wayahudi wa Israel kila waliposhambuliwa na wanamgambo wa Hamas walilipiza kisasi papo kwa papo bila kusubiri.

Nini kilichwafanya safari hii "wajipange" kwa muda mrefu na huku wanadai kuwawatu wao wengi wametekwa?

Jibu ni jepesi sana; Hamas ndiyo walioshambulia na katika kushambulia kwao walikuwa wsanajuwa na wanafahamu moto wakaoshushiwa na wayahudi, hilo halina shaka wala ubishi.

Kama walijuwa hilo inamaanisha kitu kimoja tu, walijipanga, ikumbukwe kuwa Israel wameshambulia kutokea mbali na angani ndani ya gaza na wanasema wameua viongozi wawili wa Hamas, cha kujiuliza, viongozi wawili wa Hamas ndiyo wana mgambo wote wa Hamas> Ni nini kinawashinda kuingia Hamas? Na nguvu zote za kivita walizonazo na mashambulio ya ndege za kivita kuuwa viongozi wawili tu na raia kibao ni kushindwa kwa mbinu kwa wayahudi.

Gaza, ina mji mwengine wa mtandao wa mapango waliyoyachimba miaka yaote ya kushambuliwa na Wayahudi, ni mapngo yalio "very comple" mengine yanatokea ndani ya Israel na mengine yanatokea upande wa pili wa mpaka wa Egypt.

Kilichokuwepo, ni Wisrael wanangojwa waingie kwaa miguu wamalize kazi ya kuwamaliza Hamas, ambao ikumbukwe kuwa Hamas ni waanamgambo waliokwisha jitolea kufa, siyo wanajeshi, ni raia wa kawaida walijotolea liwalo na liwe.

Mpaka sasa hivi, hili ni pigo kubwa sana kwa wayahudi na wameshashindwa vita walioitanganza kwa mbembwe za mandonga, kama vile vita imeanza waliposhambuliwa na mgambo wa Hams.

Hamas wameshafanya yao, bado wanamateka kubao, wayahudi wanangoja nini, mara sababu ooh hali yahewa, mara sababu oooh sijuwi nini? Kw aufupi hawana ukweli kabisa. imewanyeshea na inaendelea kuwanyeeshea, sasa kulikwepa wanalianzisha huko kaskaini na Hizbollah, huko ndiyo kabisa wameshaambiwa wasijaribu. Hizbollah jana imewatangazia ina missiles laki moja na nusu wanazongoja waijaribu kuipiga tel Aviv. Waje tu.

Israel itaebdelea kushambulia kwa mbali na kwa ndge, lakini vita ya uso kwa suso ndani ya gaz itakuwa ngumu sana kwao, wanaogopa sana kufa. Kinyume na Hams wanaokitamani kifo ckufa "shahhed" (martyr).

Mpaka sasa nahisabu ushindi ni wa Palestina. Njia pekee ya ushindi kwa wayahudi ni kuagizia makombora ykutokea mbali na hapo kuuwa wayahudi wenzao walishikiliwa mateka. N ahilo wapo tayari kulifanya ikibidi, kwa kwuwa walioshikwa wengi wanahesabika ni daraja lachini, siyo wayahudi ashkenazi. Au kingine wanachokingoja ni majeshi ya kukodisha ndiyo wayasukumie gaza.

Haya waale amabao mungu wenu ni myahudi, ulaji huo.


View: https://youtu.be/tF928JnCQNI?si=1c_BqltNvVkZbwc4

Sizitaki mbichi hizi Sungura akagumia 😂
 
Umeshaingiza mambo ya mungu tena, ulielewa mchango wangu lakini...au ndo kusema umeathirika kisaikolojia ndugu.
Endelea kuota tu.

Huamini kama mungu wako anaweza kuchezea kichapo kichapo?
 
Wapalestina niwatu wasio penda amani..wachokoz chokozi safari hii wameyakanyaga walijua iran itawasaidia mwanzo mwisho kumbe Iran yupo bize kule uruss..ngoja wapelekewe moto raia wa Palestine na hamas ni kitu kimoja kwahyo wakiuwawa raia ndohawo hawo
 
Islael wanajua vita na wanaelewa wanachokifanya, na ndiyo maana HAMAS wanawazuia raia kuondoka Gaza sababu wanajua kinga yao ya miaka yote itaondoka.
Waparestina wengi wameshaondoka Gaza north kama order ilivyotoka, hayo mahandaki yote unayoyasema Israel wanayajua na ndiyo maana ni LAZIMA waingie kwa mguu na wanajua fika kwamba awamu hii ni mapambano ya kifo maana atakayebakia Gaza north huyo ni HAMAS.

Kwa hao Hamas, Huwezi kuanzisha vita wakati huna control ya mambo yafuatayo: Ulinzi wa anga, maji, umeme, exportation and exportation, mawasiliano- vita lazima uione chungu.

Namna pekee ya kuwasafisha hao HAMAS ni kuvunja ngome yao yote na huwezi kufanya hivyo bila kuwandoka wananchi wa kawaida, na hili ndio linafanyika sasa. (atakayebaki Gaza north ni HAMAS na awe tayari kwa mapambano)
 
Gaza, ina mji mwengine wa mtandao wa mapango waliyoyachimba miaka yaote ya kushambuliwa na Wayahudi, ni mapngo yalio "very comple" mengine yanatokea ndani ya Israel na mengine yanatokea upande wa pili wa mpaka wa Egypt.
Ahaa, kumbe basi iwe rahisi tu. Wapalestina wahamie mji wa Gaza uliopo mapangoni na wenye maji, umeme, fuel na njia za kutokea Egypt, halafu Waisrael wakae kwenye mji wa Gaza uliopo ardhini juu ya mapango. Hapo kutakuwapo na amani ya kudumu
 
Vita vya hawa haitokuja viishe, imani yao imeamrisha wawinde Wayahudi na kuwaua

sahih muslim 2921
Abdullah b. 'Umar reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:
You and the Jews would fight against one another until a stone would say: Muslim, here is a Jew behind me; come and kill him.
Asee
 
Hamas ndani ya miezi sita ijayo wanataka tena kupeleka moto Israel na kuchukua maokoto ya mateka na vifaru,hii sio haki ni kuwanyanyasa Israel na kuwaonea.
 
Huwa hawakomi, Gaza hadi ije kuwa kama ilivyokuwa itachukua tena kwa uchache miaka 50 mbele.
Mabovu yameivuruga balaa!.
Wakati wao (Hamas) uharibifu walioufanya kwenye vijiji vya mpakani Israel utachukua wiki 2 tu kukaa sawa.
Gaza Qatar tu watatoa hela pajengwe, sijasema saudia
 
Mwana wa house girl, hata rithi pamoja na mwana wa ahadi. Never forever. Wabarikiwe wana wa Yakobo, neema na amani ziwe juu yao.
Gaza zaidi ya miili 1,000 ipo kwenye kifusi na still Israel inaendeleza kichapo kwa magaidi ya kipalestina aisee hawa jamaa wanasikitisha sana
 
tatizo watakapojenga then wapalestina watajisahau wataleta tena chokochoko kama kawa Gaza itapondwapondwa tena na Israel
Siku za Israel kupigapiga Gaza zimekwisha,baada ya hili sakata huo mchezo hautokuwepo
 
Historia inaonesha wayahudi wa Israel kila waliposhambuliwa na wanamgambo wa Hamas walilipiza kisasi papo kwa papo bila kusubiri.

Nini kilichwafanya safari hii "wajipange" kwa muda mrefu na huku wanadai kuwawatu wao wengi wametekwa?

Jibu ni jepesi sana; Hamas ndiyo walioshambulia na katika kushambulia kwao walikuwa wsanajuwa na wanafahamu moto wakaoshushiwa na wayahudi, hilo halina shaka wala ubishi.

Kama walijuwa hilo inamaanisha kitu kimoja tu, walijipanga, ikumbukwe kuwa Israel wameshambulia kutokea mbali na angani ndani ya gaza na wanasema wameua viongozi wawili wa Hamas, cha kujiuliza, viongozi wawili wa Hamas ndiyo wana mgambo wote wa Hamas> Ni nini kinawashinda kuingia Hamas? Na nguvu zote za kivita walizonazo na mashambulio ya ndege za kivita kuuwa viongozi wawili tu na raia kibao ni kushindwa kwa mbinu kwa wayahudi.

Gaza, ina mji mwengine wa mtandao wa mapango waliyoyachimba miaka yaote ya kushambuliwa na Wayahudi, ni mapngo yalio "very comple" mengine yanatokea ndani ya Israel na mengine yanatokea upande wa pili wa mpaka wa Egypt.

Kilichokuwepo, ni Wisrael wanangojwa waingie kwaa miguu wamalize kazi ya kuwamaliza Hamas, ambao ikumbukwe kuwa Hamas ni waanamgambo waliokwisha jitolea kufa, siyo wanajeshi, ni raia wa kawaida walijotolea liwalo na liwe.

Mpaka sasa hivi, hili ni pigo kubwa sana kwa wayahudi na wameshashindwa vita walioitanganza kwa mbembwe za mandonga, kama vile vita imeanza waliposhambuliwa na mgambo wa Hams.

Hamas wameshafanya yao, bado wanamateka kubao, wayahudi wanangoja nini, mara sababu ooh hali yahewa, mara sababu oooh sijuwi nini? Kw aufupi hawana ukweli kabisa. imewanyeshea na inaendelea kuwanyeeshea, sasa kulikwepa wanalianzisha huko kaskaini na Hizbollah, huko ndiyo kabisa wameshaambiwa wasijaribu. Hizbollah jana imewatangazia ina missiles laki moja na nusu wanazongoja waijaribu kuipiga tel Aviv. Waje tu.

Israel itaebdelea kushambulia kwa mbali na kwa ndge, lakini vita ya uso kwa suso ndani ya gaz itakuwa ngumu sana kwao, wanaogopa sana kufa. Kinyume na Hams wanaokitamani kifo ckufa "shahhed" (martyr).

Mpaka sasa nahisabu ushindi ni wa Palestina. Njia pekee ya ushindi kwa wayahudi ni kuagizia makombora ykutokea mbali na hapo kuuwa wayahudi wenzao walishikiliwa mateka. N ahilo wapo tayari kulifanya ikibidi, kwa kwuwa walioshikwa wengi wanahesabika ni daraja lachini, siyo wayahudi ashkenazi. Au kingine wanachokingoja ni majeshi ya kukodisha ndiyo wayasukumie gaza.

Haya waale amabao mungu wenu ni myahudi, ulaji huo.


View: https://youtu.be/tF928JnCQNI?si=1c_BqltNvVkZbwc4

Subiri kipigo kitakapokolea kwa Palestine usilie lie. Unachofanya wewe ni kuchochea ugomvi, waarabu wanaomba mapatano wewe upo huku kusema ameshindwa kabla ya kuanza. Sasa Ngoja waanze vizuri ili wakuoneshe hawajashindwa
 
Na wewe una kauli kwa mungu wako? Jisome hapa:

25 Naye akaja akamsujudia, akisema Bwana, unisaidie.
26 Akajibu, akasema, Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.
Ni kweli ndio, kama humuamini Yesu iweje utake baraka na uponyaji kutoka kwake? Huyu mama ni kama wewe unampinga Bwana Yesu alafu ukipata shida unamkimbilia kutaka msaada
 
Historia inaonesha wayahudi wa Israel kila waliposhambuliwa na wanamgambo wa Hamas walilipiza kisasi papo kwa papo bila kusubiri.

Nini kilichwafanya safari hii "wajipange" kwa muda mrefu na huku wanadai kuwawatu wao wengi wametekwa?

Jibu ni jepesi sana; Hamas ndiyo walioshambulia na katika kushambulia kwao walikuwa wsanajuwa na wanafahamu moto wakaoshushiwa na wayahudi, hilo halina shaka wala ubishi.

Kama walijuwa hilo inamaanisha kitu kimoja tu, walijipanga, ikumbukwe kuwa Israel wameshambulia kutokea mbali na angani ndani ya gaza na wanasema wameua viongozi wawili wa Hamas, cha kujiuliza, viongozi wawili wa Hamas ndiyo wana mgambo wote wa Hamas> Ni nini kinawashinda kuingia Hamas? Na nguvu zote za kivita walizonazo na mashambulio ya ndege za kivita kuuwa viongozi wawili tu na raia kibao ni kushindwa kwa mbinu kwa wayahudi.

Gaza, ina mji mwengine wa mtandao wa mapango waliyoyachimba miaka yaote ya kushambuliwa na Wayahudi, ni mapngo yalio "very comple" mengine yanatokea ndani ya Israel na mengine yanatokea upande wa pili wa mpaka wa Egypt.

Kilichokuwepo, ni Wisrael wanangojwa waingie kwaa miguu wamalize kazi ya kuwamaliza Hamas, ambao ikumbukwe kuwa Hamas ni waanamgambo waliokwisha jitolea kufa, siyo wanajeshi, ni raia wa kawaida walijotolea liwalo na liwe.

Mpaka sasa hivi, hili ni pigo kubwa sana kwa wayahudi na wameshashindwa vita walioitanganza kwa mbembwe za mandonga, kama vile vita imeanza waliposhambuliwa na mgambo wa Hams.

Hamas wameshafanya yao, bado wanamateka kubao, wayahudi wanangoja nini, mara sababu ooh hali yahewa, mara sababu oooh sijuwi nini? Kw aufupi hawana ukweli kabisa. imewanyeshea na inaendelea kuwanyeeshea, sasa kulikwepa wanalianzisha huko kaskaini na Hizbollah, huko ndiyo kabisa wameshaambiwa wasijaribu. Hizbollah jana imewatangazia ina missiles laki moja na nusu wanazongoja waijaribu kuipiga tel Aviv. Waje tu.

Israel itaebdelea kushambulia kwa mbali na kwa ndge, lakini vita ya uso kwa suso ndani ya gaz itakuwa ngumu sana kwao, wanaogopa sana kufa. Kinyume na Hams wanaokitamani kifo ckufa "shahhed" (martyr).

Mpaka sasa nahisabu ushindi ni wa Palestina. Njia pekee ya ushindi kwa wayahudi ni kuagizia makombora ykutokea mbali na hapo kuuwa wayahudi wenzao walishikiliwa mateka. N ahilo wapo tayari kulifanya ikibidi, kwa kwuwa walioshikwa wengi wanahesabika ni daraja lachini, siyo wayahudi ashkenazi. Au kingine wanachokingoja ni majeshi ya kukodisha ndiyo wayasukumie gaza.

Haya waale amabao mungu wenu ni myahudi, ulaji huo.


View: https://youtu.be/tF928JnCQNI?si=1c_BqltNvVkZbwc4


Historia inaonesha wayahudi wa Israel kila waliposhambuliwa na wanamgambo wa Hamas walilipiza kisasi papo kwa papo bila kusubiri.

Nini kilichwafanya safari hii "wajipange" kwa muda mrefu na huku wanadai kuwawatu wao wengi wametekwa?

Jibu ni jepesi sana; Hamas ndiyo walioshambulia na katika kushambulia kwao walikuwa wsanajuwa na wanafahamu moto wakaoshushiwa na wayahudi, hilo halina shaka wala ubishi.

Kama walijuwa hilo inamaanisha kitu kimoja tu, walijipanga, ikumbukwe kuwa Israel wameshambulia kutokea mbali na angani ndani ya gaza na wanasema wameua viongozi wawili wa Hamas, cha kujiuliza, viongozi wawili wa Hamas ndiyo wana mgambo wote wa Hamas> Ni nini kinawashinda kuingia Hamas? Na nguvu zote za kivita walizonazo na mashambulio ya ndege za kivita kuuwa viongozi wawili tu na raia kibao ni kushindwa kwa mbinu kwa wayahudi.

Gaza, ina mji mwengine wa mtandao wa mapango waliyoyachimba miaka yaote ya kushambuliwa na Wayahudi, ni mapngo yalio "very comple" mengine yanatokea ndani ya Israel na mengine yanatokea upande wa pili wa mpaka wa Egypt.

Kilichokuwepo, ni Wisrael wanangojwa waingie kwaa miguu wamalize kazi ya kuwamaliza Hamas, ambao ikumbukwe kuwa Hamas ni waanamgambo waliokwisha jitolea kufa, siyo wanajeshi, ni raia wa kawaida walijotolea liwalo na liwe.

Mpaka sasa hivi, hili ni pigo kubwa sana kwa wayahudi na wameshashindwa vita walioitanganza kwa mbembwe za mandonga, kama vile vita imeanza waliposhambuliwa na mgambo wa Hams.

Hamas wameshafanya yao, bado wanamateka kubao, wayahudi wanangoja nini, mara sababu ooh hali yahewa, mara sababu oooh sijuwi nini? Kw aufupi hawana ukweli kabisa. imewanyeshea na inaendelea kuwanyeeshea, sasa kulikwepa wanalianzisha huko kaskaini na Hizbollah, huko ndiyo kabisa wameshaambiwa wasijaribu. Hizbollah jana imewatangazia ina missiles laki moja na nusu wanazongoja waijaribu kuipiga tel Aviv. Waje tu.

Israel itaebdelea kushambulia kwa mbali na kwa ndge, lakini vita ya uso kwa suso ndani ya gaz itakuwa ngumu sana kwao, wanaogopa sana kufa. Kinyume na Hams wanaokitamani kifo ckufa "shahhed" (martyr).

Mpaka sasa nahisabu ushindi ni wa Palestina. Njia pekee ya ushindi kwa wayahudi ni kuagizia makombora ykutokea mbali na hapo kuuwa wayahudi wenzao walishikiliwa mateka. N ahilo wapo tayari kulifanya ikibidi, kwa kwuwa walioshikwa wengi wanahesabika ni daraja lachini, siyo wayahudi ashkenazi. Au kingine wanachokingoja ni majeshi ya kukodisha ndiyo wayasukumie gaza.

Haya waale amabao mungu wenu ni myahudi, ulaji huo.


View: https://youtu.be/tF928JnCQNI?si=1c_BqltNvVkZbwc4

Wa Africa tuna matatizo mengi sana yanayohitaji attention ya nguvu kazi yetu "vijana" kama nyie mnaoshabikia vita na kujitoa ufahamu kabisa kama wendawazimu.
Sio mzungu,mwarabu au mhindi hakuna mwenye true symphathy na mtu mweusi, we are alone,we should love and embrace us!
Vita sio vizuri sababu watu wanakufa, sasa tusishabikie kwa upuuzi wetu wa kipumbavu kama vile hata hao tunaowashabikia wanatupenda, kwani waafrica wenzetu; Congo drc, Africa ya kati si wanauana,mbona hatujali? Au sio wamaana? Tuache ushamba na unafki, hatupendwi kama tunavojipendekeza!

Dada zetu wananyanyasika kishenzi Arabuni,wanalishwa hadi mavi,mapenzi na mbwa, uko ulaya wazungu wanatuita nyani, America vile vile, wahindi nao na wachina wanatuchkulia kama class ya chini kabisa, sasa mtu mzima unaamka asubuhi unaanza kutuletea story za watu wenye akili zao timamu walioamua kuuana ilihali huku kwetu kuna issues nyiingi zinachkua maisha ya ndugu zetu kila uchwao naona tuna tatizo la kifikra.

Tubadilikeni!
 
Back
Top Bottom