Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
Sasa kama university graduate anendesha Bajaj sawa na yule wa kidato cha sita, graduate alienda university kufanya nini?Halafu kujiajiri sio lazima iwe ni kwa taaluma uliyosomea tu mkuu. Mbona unachelewa sana
😅😅tuendelee kumpa nondo mwana aelewe, yakuwa ugavi na manunuzi ni taaluma nyeti mnoo, waziri mkuu majaliwa aliwahi sema taaluma ya procurement ni muhimu ivo wwandaliwe watu wenye weledi ili kuepuka risks mbalimbali serkarini, dah nataman ni mshusbie fact mda hautoshi😁,Tatizo hoja zako hazina mashiko
Agriculture, vipi na uliona wapi tusiende kwa theories tuAgriculture, PC and Mobile device maintenance
Kuanzisha bodi ya wagavi hakuondoi ukweli wa kwamba nje ya ajira serikalini, wagavi hasa huku sector binafsi hawatumiki ipasavyo,. Kwa maana majukum ya wagavi hufanywa watu wenye sifa za chini mnoo, na pengine hawana taalum yoyote ile.Huyu jamaa afute tu huu uzi naona anaaibika tu 🤣🤣🤣
Dunia ya sasa bila procurement??!!🤔🤔🤔
Na kwa kuona umuhimu wake ndio maana hata hapa Tanzania serikali imeanzisha bodi ya masuala ya procurement Procurement and Supplies Professionals and Technicians Board (PSPTB)
Sawa natamani kukutajia watu ambao nawafahamu ila sitoweza Kwa sababu za faragha zao labda nijaribu kuwaomba wakikubali then nitakuja na mkeka wao.Kulingana na uelewa wangu mdogo, kujiajiri ni mtu kumiliki shughuli yake binafsi ya kumuingizia kipato.
Mleta mada ametaka ifutwe kwa kuwa haina umuhimu, sisi tulikuwa tu tunamfundisha umuhimu wa hicho kitu anachotaka kifutwe, then atapima yeye kwamba bado anaendelea na msimamo wake au Kuna kitu amejifunzaHoja ya mleta maada juu imeegemea zaidi juu ya soko la hawa graduate wa procurement baada ya kuhitimu, amesema wazi, soko lao kuu la ajira liko hasa serikalini, kwa maana wizarani, katika idara na taasisi za serikari na hata katika halmashauri.
Kwa mtiririko wa wachangiaji katika maada hii, wengi mmeungana na mtoa maada maana mnatetea hoja zenu kwa kuzingatia majukumu ya wagavi katika uwanja huo huo wa ajira serikalini. Tujiulize kama ambavyo maada inataka, serikali inaweza wabeba wahitimu wote wa ugavi na kuwaajiri katika nafasi hizo?!
Hivi maudhui ya mwandishi uliyaelewa?Mbona wanauhitaji sana mkuu. Mtu wa store anayecheza na stock ya store ni muhimu sana eneo lolote ambapo kuna store kama hotelini, mgahawa, gereji, hospital, popote pale ambapo kuna store.
Kwa hiyo vijana wote waliowekeza kwenye kilimo walisomea agriculture?Agriculture, PC and Mobile device maintenance
Ndugu yangu umeuliza swali la msingi saaana. Procurement, Accountancy, Human Resources Management, Petroleum Engineering and the like fall in the same basket of useless undergraduate programs.kaka mtoa mada naomba unielege mtu wa marketing na accounting anajiajiri vp kama ni flesh
Ni kweli, Kuna watengeneza simu ambao hawajawahi kugusa hata darasa, Kuna watu wanafanya wiring vizuri Sana, na mambo mengine yanayohisisha fani ya electrical engineering licha ya kwamba hawajawahi kanyaga darasa, Kuna watu wanatengeneza ramani za nyumba na hawajawahi kugusa darasa la architecture, Kuna watu ni watumiaji na mafundi wazuri tu wa computer na hawana hata degree ya it, au computer science kwa hiyo nikusahihishe tu kwamba chochote kinaweza fanywa na yoyote tuKuanzisha bodi ya wagavi hakuondoi ukweli wa kwamba nje ya ajira serikalini, wagavi hasa huku sector binafsi hawatumiki ipasavyo,. Kwa maana majukum ya wagavi hufanywa watu wenye sifa za chini mnoo, na pengine hawana taalum yoyote ile.
Sio wote wanaofanya kazi hizo wamesomea lakini waliosomea wana nafasi kubwa ya kuwa na ufanisi mzuri kuliko waliodandia fani.Kwa hiyo vijana wote waliowekeza kwenye kilimo walisomea agriculture?
Na hawa mafundi wetu wa PC na simu wamesomea PC and mobile device maintenance?
Ungekuja na hoja nyingine zaidi ya hizo ulizotole mfano ningekuelewa kidogo.Kwa hiyo vijana wote waliowekeza kwenye kilimo walisomea agriculture?
Na hawa mafundi wetu wa PC na simu wamesomea PC and mobile device maintenance?
Mkuu, if this is the case, why wasting so much time around those campus buildings?Ni kweli, Kuna watengeneza simu ambao hawajawahi kugusa hata darasa, Kuna watu wanafanya wiring vizuri Sana, na mambo mengine yanayohisisha fani ya electrical engineering licha ya kwamba hawajawahi kanyaga darasa, Kuna watu wanatengeneza ramani za nyumba na hawajawahi kugusa darasa la architecture, Kuna watu ni watumiaji na mafundi wazuri tu wa computer na hawana hata degree ya it, au computer science kwa hiyo nikusahihishe tu kwamba chochote kinaweza fanywa na yoyote tu
Mh Kishimba ukienda Dodoma City kuleBaadhi ya vyuo Duniani vimekuwa vikifanya mabadiliko ya mitaala na kufuta ama kuachana na fani ambazo haziendani na wakati.
Bado najiuliza, kwa Dunia ya sasa fani ya Procurement inafundishwa vyuoni kwa sababu gani? Ni fani ambayo haina umuhimu wowote kwa karne hii ya 21.
Mtoto akisoma Procurement basi umuhimu wake ni aajiriwe Serikalini zaidi ya hapo fani haina umuhimu wowote,na haina msaada wowote kwa mhitimu. kwanini iendelee kufunishwa vyuoni?
Hii fani ilipaswa kuwa sehemu ya course za watu wanaosoma finance/accounts lakini sio kuwa independent course.
Wakati tunafanya mabadiliko ya mitaala ya elimu, tusisahau ya vyuo vikuu. Vyuo wao wanachotaka ni hela tu kwa kuanzisha fani sizizo na maana yoyote ambazo hazina msaada kwa wahitimu.
Fani ya Procurement inapaswa kufutwa. Mzee Kishimba aliwahi kuuliza, mtu anasoma fani ya manunuzi ananunua nini?
Na ndio maana wadau walikuwa wanakwambia inapohusu kujiajiri wengi hawajiajiri katika fani walizosomea watu wanacheza na fursa tu.Sio wote wanaofanya kazi hizo wamesomea lakini waliosomea wana nafasi kubwa ya kuwa na ufanisi mzuri kuliko waliodandia fani.
Safi sana brother. Hakika wewe umeelewa.Hivi maudhui ya mwandishi uliyaelewa?
Yote uliyoeleza ni sahihi lakini je, elimu hiyo inaweza kumfanya mhitimu asimame kwa miguu yake bila ya kutegemea hayo magongo ya kuajiriwa?
Kama mtu anaweza akajiajiri katika fani ambayo hajasomea, kwanini tunapoteza muda huko vyuoni?Na ndio maana wadau walikuwa wanakwambia inapohusu kujiajiri wengi hawajiajiri katika fani walizosomea watu wanacheza na fursa tu.
Ukisubiri taaluma yako ikusaidie ujiajiri utachelewa
Ujue Mimi Kuna kitu huwa nakiamini PRACTICE, huwa naamini yoyote anaweza kufanya chochote akipewa practiceMkuu, if this is the case, why wasting so much time around those campus buildings?
Mkuu unauliza maswali magumu sana.Sasa kama university graduate anendesha Bajaj sawa na yule wa kidato cha sita, graduate alienda university kufanya nini?
Mkuu, huyo jamaa inaonekana ni mnufaika wa hizi corrupt systems za Afrika. We seriously need to change.Ungekuja na hoja nyingine zaidi ya hizo ulizotole mfano ningekuelewa kidogo.
Lazima tukubaliane kwamba lengo la kwanza na kuu la taaluma ni kumuwezesha muhusika kupata ajira katika eneo lake la taaluma, na kuingiza kipato stahiki.
Tusitumie hali ya mazingira yetu na siasa zisizo na tija ku-justify kwa hoja kama zako, mtu mwenye taaluma kuishia katika shughuli zinazofanywa na mtu asiye na taaluma.