Kwa uonevu wa wazi dhidi ya goli la Yanga leo, suluhisho ni timu za Tanzania kujitoa mashindano ya Afrika. Na tujitoe kwa staili hii

Kwa uonevu wa wazi dhidi ya goli la Yanga leo, suluhisho ni timu za Tanzania kujitoa mashindano ya Afrika. Na tujitoe kwa staili hii

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Goli limeingia, saa ya refa imelia kuashiria goli limeingia. Read anapokea maelekezo kutoka kwa watu wa v.a.r ( probably watu wa motsepe) Yani hata kwenda kuangalia tu var kimchongo amejistukia amekataa hata kwenda . Dah ushoga mtupu.

Suluhisho ni kwa timu za Tanzania kujitoa kwenye mashindano ya Africa.

Tunajitoa vipi? Hatujitoi officially tusije fungiwa for A. Tunajitoa kwa staili ya ku boycott. Kila mwaka tukipangiwa mashindano ya Africa tuna cheza chini ya kiwango na kutolewa hatua ya awali. Ila tunaboresha ligi yetu ya ndani.. Tunakuwa kama walivyo kuwaga England miaka ya tisini na elfu2 mwanzoni. Wana ligi bora lakini kimafaifa timu zao haziendi popote...

Tufanye hivyo kwa maslahi mapana ya mashabiki wa mpira wetu wa Tanzania ambao ndio uti wa mgongo wa soka letu..

Tumechoka kuonewa na kunyimwa haki zetu...

Tanzania lazima tuitambue hadhi yetu. Tanzania ndio inayo yapa mashindano haya msisimko. Bila Tanzania mashindano haya waka hayana ladha yoyote. Sisi ni moja kati ya mataifa machache duniani ambayo raia wake ni viachaa wa soka...

Kataa Soka la Africa. Soka la Africa ni usengwile mtupu.
 
Goli limeingia, saa ya refa imelia kuashiria goli limeingia. Read anapokea maelekezo kutoka kwa watu wa v.a.r ( probably watu wa motsepe) Yani hata kwenda kuangalia tu var kimchongo amejistukia amekataa hata kwenda . Dah ushoga mtupu.

Suluhisho ni kwa timu za Tanzania kujitoa kwenye mashindano ya Africa.


Tunajitoa vipi? Hatujitoi officially tusije fungiwa for A. Tunajitoa kwa staili ya ku boycott. Kila mwaka tukipangiwa mashindano ya Africa tuna cheza chini ya kiwango na kutolewa hatua ya awali. Ila tunaboresha ligi yetu ya ndani.. Tunakuwa kama walivyo kuwaga England miaka ya tisini na elfu2 mwanzoni. Wana ligi bora lakini kimafaifa timu zao haziendi popote...


Tufanye hivyo kwa maslahi mapana ya mashabiki wa mpira wetu wa Tanzania ambao ndio uti wa mgongo wa soka letu..

Tumechoka kuonewa na kunyimwa haki zetu...


Tanzania lazima tuitambue hadhi yetu. Tanzania ndio inayo yapa mashindano haya msisimko. Bila Tanzania mashindano haya waka hayana ladha yoyote. Sisi ni moja kati ya mataifa machache duniani ambayo raia wake ni viachaa wa soka...


Kata Soka la Africa. Soka la Africa ni usangwile mtupu.
Karma itafanya kazi siku Moja

Tugange yajayo
 
Goli limeingia, saa ya refa imelia kuashiria goli limeingia. Read anapokea maelekezo kutoka kwa watu wa v.a.r ( probably watu wa motsepe) Yani hata kwenda kuangalia tu var kimchongo amejistukia amekataa hata kwenda . Dah ushoga mtupu.

Suluhisho ni kwa timu za Tanzania kujitoa kwenye mashindano ya Africa.

Tunajitoa vipi? Hatujitoi officially tusije fungiwa for A. Tunajitoa kwa staili ya ku boycott. Kila mwaka tukipangiwa mashindano ya Africa tuna cheza chini ya kiwango na kutolewa hatua ya awali. Ila tunaboresha ligi yetu ya ndani.. Tunakuwa kama walivyo kuwaga England miaka ya tisini na elfu2 mwanzoni. Wana ligi bora lakini kimafaifa timu zao haziendi popote...

Tufanye hivyo kwa maslahi mapana ya mashabiki wa mpira wetu wa Tanzania ambao ndio uti wa mgongo wa soka letu..

Tumechoka kuonewa na kunyimwa haki zetu...

Tanzania lazima tuitambue hadhi yetu. Tanzania ndio inayo yapa mashindano haya msisimko. Bila Tanzania mashindano haya waka hayana ladha yoyote. Sisi ni moja kati ya mataifa machache duniani ambayo raia wake ni viachaa wa soka...

Kata Soka la Africa. Soka la Africa ni usangwile mtupu.
Pumbafu mtoe tena makafara yenu ya binadamu
 
Nadhani motsepe anajuta kuipangia YANGA timu yakeMAMELODY
IMAGE yake ishachafuka vibaya mno
Hakuna atakayeweza kumuamini tena
Na TIMU yake Mamelody imeshushwa VIWANGO sana kwa kuonekana fika imebebwa
Fatilia page nyingi za uchambuzi wa mpira AFRICA linaongelewa Goli la dhulma na yeye akitajwa kuhusishwa moja kwa moja
 
Goli limeingia, saa ya refa imelia kuashiria goli limeingia. Read anapokea maelekezo kutoka kwa watu wa v.a.r ( probably watu wa motsepe) Yani hata kwenda kuangalia tu var kimchongo amejistukia amekataa hata kwenda . Dah ushoga mtupu.

Suluhisho ni kwa timu za Tanzania kujitoa kwenye mashindano ya Africa.

Tunajitoa vipi? Hatujitoi officially tusije fungiwa for A. Tunajitoa kwa staili ya ku boycott. Kila mwaka tukipangiwa mashindano ya Africa tuna cheza chini ya kiwango na kutolewa hatua ya awali. Ila tunaboresha ligi yetu ya ndani.. Tunakuwa kama walivyo kuwaga England miaka ya tisini na elfu2 mwanzoni. Wana ligi bora lakini kimafaifa timu zao haziendi popote...

Tufanye hivyo kwa maslahi mapana ya mashabiki wa mpira wetu wa Tanzania ambao ndio uti wa mgongo wa soka letu..

Tumechoka kuonewa na kunyimwa haki zetu...

Tanzania lazima tuitambue hadhi yetu. Tanzania ndio inayo yapa mashindano haya msisimko. Bila Tanzania mashindano haya waka hayana ladha yoyote. Sisi ni moja kati ya mataifa machache duniani ambayo raia wake ni viachaa wa soka...

Kataa Soka la Africa. Soka la Africa ni usengwile mtupu.
Siasa z mataptap
 
Nadhani motsepe anajuta kuipangia YANGA MAMELODY IMAGE yake ishachafuka vibaya mno
Hakuna atakayeweza kumuamini tena
Na TIMU yake Mamelody imeshushwa VIWANGO sana
Fatilia page nyingi za uchambuzi wa mpira AFRICA linaongelewa Goli la dhulma na yeye akitajwa kuhusishwa moja kwa moja
Ishatoka hio asante ami Motsepe
 
Nadhani motsepe anajuta kuipangia YANGA MAMELODY IMAGE yake ishachafuka vibaya mno
Hakuna atakayeweza kumuamini tena
Na TIMU yake Mamelody imeshushwa VIWANGO sana
Fatilia page nyingi za uchambuzi wa mpira AFRICA linaongelewa Goli la dhulma na yeye akitajwa kuhusishwa moja kwa moja
Kabisa mkuu Motsepe amejishushia heshima yake kwa kiwango cha stiglers gorge
 
Back
Top Bottom