Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbuzi wa masikini azai kabisa aseee hata ikitokea akazaa basi unapata dume so hapo ni nothing!.It is difficult to believe View attachment 2955043
Nilicho gundua Leo VAR haioni ila macho ya WATU yanaona.Mpaka sasa sielewi kwanin goli lile limekataliwa
Mwenye ufahamu zaidi wa mpira naomba kufahamishwa
Haitosaidia kitu, sisi tufanye figisu kwa Mkapa age mtu goli nyingi ugenini droo tu au 1-0 tumefuzuGoli limeingia, saa ya refa imelia kuashiria goli limeingia. Read anapokea maelekezo kutoka kwa watu wa v.a.r ( probably watu wa motsepe) Yani hata kwenda kuangalia tu var kimchongo amejistukia amekataa hata kwenda . Dah ushoga mtupu.
Suluhisho ni kwa timu za Tanzania kujitoa kwenye mashindano ya Africa.
Tunajitoa vipi? Hatujitoi officially tusije fungiwa for A. Tunajitoa kwa staili ya ku boycott. Kila mwaka tukipangiwa mashindano ya Africa tuna cheza chini ya kiwango na kutolewa hatua ya awali. Ila tunaboresha ligi yetu ya ndani.. Tunakuwa kama walivyo kuwaga England miaka ya tisini na elfu2 mwanzoni. Wana ligi bora lakini kimafaifa timu zao haziendi popote...
Tufanye hivyo kwa maslahi mapana ya mashabiki wa mpira wetu wa Tanzania ambao ndio uti wa mgongo wa soka letu..
Tumechoka kuonewa na kunyimwa haki zetu...
Tanzania lazima tuitambue hadhi yetu. Tanzania ndio inayo yapa mashindano haya msisimko. Bila Tanzania mashindano haya waka hayana ladha yoyote. Sisi ni moja kati ya mataifa machache duniani ambayo raia wake ni viachaa wa soka...
Kataa Soka la Africa. Soka la Africa ni usengwile mtupu.
Hafadhali❌Yanga ikijitoa itakua ni hafadhali maana uwezo mdogo sana kama vile vijana wa kijiwe cha bodaboda wamekamatwa wakavalishwa jezi
Ishatoka hio moto mchubuyu , hapo tu labda refa atazinguliwa huku kibindoni ana kibunda chake anaenda kula vacation ibizaKocha wa Mamelody pia kasema hilo ni goli halali. Fifa waingilie kati please Yanga wapewe haki yao.
Hakuna saa ya refa CAF CL Hakuna goal line technologyGoli limeingia, saa ya refa imelia kuashiria goli limeingia. Read anapokea maelekezo kutoka kwa watu wa v.a.r ( probably watu wa motsepe) Yani hata kwenda kuangalia tu var kimchongo amejistukia amekataa hata kwenda . Dah ushoga mtupu.
Suluhisho ni kwa timu za Tanzania kujitoa kwenye mashindano ya Africa.
Tunajitoa vipi? Hatujitoi officially tusije fungiwa for A. Tunajitoa kwa staili ya ku boycott. Kila mwaka tukipangiwa mashindano ya Africa tuna cheza chini ya kiwango na kutolewa hatua ya awali. Ila tunaboresha ligi yetu ya ndani.. Tunakuwa kama walivyo kuwaga England miaka ya tisini na elfu2 mwanzoni. Wana ligi bora lakini kimafaifa timu zao haziendi popote...
Tufanye hivyo kwa maslahi mapana ya mashabiki wa mpira wetu wa Tanzania ambao ndio uti wa mgongo wa soka letu..
Tumechoka kuonewa na kunyimwa haki zetu...
Tanzania lazima tuitambue hadhi yetu. Tanzania ndio inayo yapa mashindano haya msisimko. Bila Tanzania mashindano haya waka hayana ladha yoyote. Sisi ni moja kati ya mataifa machache duniani ambayo raia wake ni viachaa wa soka...
Kataa Soka la Africa. Soka la Africa ni usengwile mtupu.
Wewe shoga acha kutupa pampers hapa.Tulia wewe utopwinyo welcome to caf champions league nazani mmeanza kuelewa definition of TUMEKUFA KIUME
NBView attachment 2955145
Kufa KIUME inaumaaa 😂😂😂😂Wewe shoga acha kutupa pampers hapa.