Kwa wale ambao hamna maelewano mazuri na wazazi wenu

Kwa wale ambao hamna maelewano mazuri na wazazi wenu

Kwakweli nimejitahidi kurudisha mahusiano na baba yangu ila nimeshindwa..japo kosa ni lake mwenyewe. Ila mwenyewe hataki tena anapokea simu tu kwakua namba yangu hajaisevu.

Najitahidi kumsamehe nashindwa kabisa. Maana anayofanya sio kwangu tu hadi kwa ndugu wengine...kiufupi hataki uzao wake wote.
Jitahidi kumsamehe na kujisamehe rafiki yangu mzuri.

Nimeingiwa na fadhaiko sana sababu kwangu mimi familia ndio concern yangu namba moja.
 
Dawa ya moto moto.
Ujinga na upumbavu wa kukumbatia nge vimewaua wengi sana.
Mzazi mshenzi kaa naye mbali.
Mimi father simpendi.
Kati ya watoto wake 3 ambao tulimaliza la saba siku moja Mimi pekee aliniombea nifeli na cha ajabu ni Mimi pekee nikatoboa tena shule ya vipaji maalumu.

Aisee, nipo familiar na experience yako. Kuna wazazi hawakupswa kuwa na watoto, wali force tu kutokana na family pressure.
 
Ipo siku utatamani kuongea nae ila utakua ushachelewa.
Kijana kama umebahatika kuwapata wazazi wakakulea kwa upendo na wanakuheshimu na wanajua boundaries zao. Mshukuru Mungu. Kila mtu angependa kuwa na mawasiliano mazuri na mzazi.
Lakin wapo wazazi ambao siyo watu wa kawaida.
Wazazi ambao wanatamani kusikia mambo yako yameharibika, yaaani Hilo ndiyo jambo wanalonuwia.
Mshukuru Mungu kijana
 
4yrs ago kurudi nyuma nilikuaga sina mawasiliano kivile na mzee ni kutokana na tabia yake ya ukaliukali. Mama tu ndio alikua rafiki yetu. Kumbe kilikua kinamuuma akawa anawaambia rafiki zake, wanatuambia sisi watoto.

Anyway tukaanza kua tunaongea sometimes hata 30mins tunaongea, kw sasa naona tukikaa sehemu moja tutapigana😅
30 min mnaongea nini, yani mm nikiongea nae mda ukiwa mrefu ni sek 46 na mara nying ni sekunde 23, ujambo sijambo shikamoo, nawajulia hali shukran tumemaliza😂😂😂😂
 
Watz wengi wanamatatizo ya Afya ya Akili

Yaani Mimi Akili yangu bado hipo vizuri siwezi kumchukia Mtu awe au ndugu maana njaa na umasikini na Matatizo ya Afya Akili vikiungana lazima muwachukie watu. Eti Mtu anamchukia Mzazi au Mzazi anamchukia mtoto what a kid?
 
Kijana kama umebahatika kuwapata wazazi wakakulea kwa upendo na wanakuheshimu na wanajua boundaries zao. Mshukuru Mungu. Kila mtu angependa kuwa na mawasiliano mazuri na mzazi.
Lakin wapo wazazi ambao siyo watu wa kawaida.
Wazazi ambao wanatamani kusikia mambo yako yameharibika, yaaani Hilo ndiyo jambo wanalonuwia.
Mshukuru Mungu kijana
mheshimiwa shikamoo, nakusalimia, pole kwa msiba sukuma gengi. ☺️

Mimi mbona hujawahi niambia haya, haya uliyoyaandika hapa... 😒
 
mheshimiwa shikamoo, nakusalimia, pole kwa msiba sukuma gengi. ☺️

Mimi mbona hujawahi niambia haya, haya uliyoyaandika hapa... 😒
Marhaba. Kwakweli leo ni siku ngumu sana kwetu wana gang😊😊😊😊😊.
Hivi sijawahi kwambia hii kitu..Yaani we acha kabisa. Usinione hivi njia yangu ilikuwa ngumu saaaana hadi angalau kwa mbaali naskia halufu ya kasungura!
 
Watz wengi wanamatatizo ya Afya ya Akili

Yaani Mimi Akili yangu bado hipo vizuri siwezi kumchukia Mtu awe au ndugu maana njaa na umasikini na Matatizo ya Afya Akili vikiungana lazima muwachukie watu. Eti Mtu anamchukia Mzazi au Mzazi anamchukia mtoto what a kid?
Wewe mwalimu mbona ni fukara wa kila kitu? Yani pesa hauna hata na utashi tu wa kawaida nao hauna? Hapa ndio umeongea kitu gani sasa, waalimu wote mtolewe humu jukwaani mtatuambukiza ujinga.
 
Wewe mwalimu mbona ni fukara wa kila kitu? Yani pesa hauna hata na utashi tu wa kawaida nao hauna? Hapa ndio umeongea kitu gani sasa, waalimu wote mtolewe humu jukwaani mtatuambukiza ujinga.
Kumchukia Mzazi au Mzazi kumchukia mtoto source ni Umasikini wa Akili .na uchumi
 
Marhaba. Kwakweli leo ni siku ngumu sana kwetu wana gang😊😊😊😊😊.
Hivi sijawahi kwambia hii kitu..Yaani we acha kabisa. Usinione hivi njia yangu ilikuwa ngumu saaaana hadi angalau kwa mbaali naskia halufu ya kasungura!
Na mapambano yamelipa! basi iendelee kuwa kheri! Nilichojifunza hadi sasa ni kwamba asiye hili ana lile! Waswahili na misemo yao.

Basi endelea kuomboleza, ukitoka niambie nikununulie kawine! ☺️
 
Dk 30 ni baada ya kupatana nikaona niwe najitahidi kuzungumza nae. Ila mwanzo nilikua nikimpigia ni kumuuliza tu mama yuko wapi mbona hapokei simu. Basi yeye kinamuuma kweli eti sisi tunamtaka mama tu sio yeye.

Hili ndio limefanya mapka leo sasa asipatane nasisi na hataki watoto wote ati mama yetu katujaza maneno tumchukie. Wakati ni Yeye mwenywe ndio alisababiaha tumpende mama kuliko yeye ajili ya tabia yake ya ukali.

Tukisikia honi tulikua hatuna amani mara afike akague King'amuzi kama kina joto aanze kufoka😅
(Unajua yale maungo ya zamani yalivyokua yanachmka )
Hahahah nakumbuka kwa kwel mambo ya kupima joto la tv
 
Aisee! nawaonea huruma sana, Poleni na tafuteni kupona.

Je inawezekana ukampenda mtu ukubwani mume/mke ikiwa haukupata upendo wa familia yako? Familia yako ilikuwa ina nafasi ya kukupenda ila haikufanya hivyo kwa makusudi au kwa kutokujua.

Binadamu wajifunze kutafakari na kujiassess kama kweli wanaweza kuwa wazazi. Kazi kuhamasishana kuzaa wakati uwezo wa kuwa wazazi bora hamna!
Natamani serikali ingekua inatoa leseni ya kuwa mzazi, maana wengi sio fit kabisaa na wanazaa kila siku...
 
Kijana kama umebahatika kuwapata wazazi wakakulea kwa upendo na wanakuheshimu na wanajua boundaries zao. Mshukuru Mungu. Kila mtu angependa kuwa na mawasiliano mazuri na mzazi.
Lakin wapo wazazi ambao siyo watu wa kawaida.
Wazazi ambao wanatamani kusikia mambo yako yameharibika, yaaani Hilo ndiyo jambo wanalonuwia.
Mshukuru Mungu kijana
Pole sana mkuu kama huna maelewano mema na mama yako. My mom is my world ❤️
I thank God for her
 
Tanzania ina watu wengi ambao kila mtu anakua kwenye mfumo tofauti na mwingine, wewe kama umekua kwenye familia bora yenye upendo basi ni vyema sana ila sio huu utoto unao andika hapa ni aibu mno. Grow up man

Mkuu hakikisha unaishi katika upendo usifuge chuki unajua huku kwetu Tanzania watu neno upendo hawalijui Mimi nimepitia Hali Mbalimbali za chuki lakini siwezi kumfanyia Mtu chuki

Mimi Mama yangu alimfukuza mzee wangu katika Nyumba alizojenga mzee ,lakini mzee wangu now yupo peace kamsamehe na Mimi Mama namzungatia vizuri so chuki roho mbaya na kuchukia mme au mke au watoto chanzo ni Umasikini wa Akili then hapa chini ya jua tunapita tu to waste ur time to hate someone else ni upumbavu tu.
 
Back
Top Bottom