Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Hili kanibatiza Intelligent businessman na DepalRudisha jina lako la mwanzo bana, hili wala halijakupendeza 🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili kanibatiza Intelligent businessman na DepalRudisha jina lako la mwanzo bana, hili wala halijakupendeza 🤣🤣🤣
😂😂😂😂🤣🤣Ila imenisaidia kiasi fulan
Watu Kama kina Joanna wamenisahau
They say confuse your enemies
Ataolewa na bwana jela ghaflaKujiendekeza tu kwani siku ukifungwa gerezani utiishije.
Hawakupendi hilo jina libaya bora ungejiita la Fally 🤣🤣🤣🤣Hili kanibatiza Intelligent businessman na Depal
Unatakiwa kujikatalia kwa kutotenda dhambi. unapopata hamu unavyokuwa mbali hayo ni majaribu. Unapaswa kuyashinda hayo majaribu kwa kujiweka busy na mambo mengine kama kusoma vitabu, kucheki movie au kukutana na washkaji kupiga story mpaka hapo utakapokutana na mwenzi wako. Ndoa ni mkataba, na hizi ndizo consequences zake.Unafanyaje kumaliza haja zako na isiwe dhambi kama upo nae mbali kutokana na changamoto mbalimbali za maisha
Nimesema kwa wanandoa sio vinginevyo
Niliandika fall wakawa wananikatalia 😂😁😁Hawakupendi hilo jina libaya bora ungejiita la Fally 🤣🤣🤣🤣
Wewe ni mshirika wangu haha, mambo?Mtumishi unanitukana bila sababu. Lione
Ungeongea uone
Hello 👋🤩😍 DemiMtumishi unanitukana bila sababu. Lione
I do long distance marriage easier involves a lot of communication and patience. To ensure regular and meaningful conversations, set a time every day to talk about my day, feelings, kids or plans. I use technology to share activities, daily jobs and watching movie together or playing an online game.Unafanyaje kumaliza haja zako na isiwe dhambi kama upo nae mbali kutokana na changamoto mbalimbali za maisha
Nimesema kwa wanandoa sio vinginevyo
Watu wa Dar mna hilaHili kanibatiza Intelligent businessman na Depal
Hakipo. Ni ama usibirie au uchepuke.Nimesema kitu ambacho si dhanbi
Say something dude....😜Au basii
Basi rudisha la Chale mbona unyama 😂😂😂Niliandika fall wakawa wananikatalia 😂😁😁
😁😂😂😁😁 Nikuletee pizza ya kiitalianoWatu wa Dar mna hila
Vincenzo vitakuwa visunzua nakwambia
Hizo za utapeli sitaki😁😂😂😁😁 Nikuletee pizza ya kiitaliano
Wananikatalia chance yangu ya kubadili imeisha😭😭😭Basi rudisha la Chale mbona unyama 😂😂😂