Kwa wanaume. Hakikisha hukosi hivi nyumbani kwako

Nina kila kitu hapo juu .katika vitu sipendi ni fundi kuja kufanya kikaz kidogo tu anataka elfu ishirin.sasa hata kudrill bomba za pazia inakutoka laki kiulaini kabisa.unashindwa vipi kudril mwenyewe.
Wakati kwa hiyo laki ungekuwa ushajipatia haka kamashine na kanakuwa ka kwako daima
 

Attachments

  • images.jpeg
    17.8 KB · Views: 5
Nilikuwaga nachanganya tester na screw driver, matokeo yake nikawa natumia tester kwenye kazi za screw driver, hapo nimekuelewa, ngoja nitafute screw driver.
Si itapinda mzee.
 
Acha uchoyo wewe. Kuwa na hivi vitu vyote nyumbani kutazidi kusababisha ukosefu wa ajira kwa mafundi wa aina mbalimbali. Haya basi ongezea na mwiko wa kuchotea zege na kono-bao la kunyooshea plaster za nyumba
 
Condom sio powertools mzee, hiyo ni sehemu ya medical supplies ndio maana sjaongelea hata Paracetamol, cotton wool au iodine tincture ambavyo pia ni muhimu kuwa navyo nyumbani

Condoms ndio the most powerful tool of all, hizo power tools zingine ndio zifuate.. Bila condoms, ukafa utatumia hizo power tools zako, Condoms kwanza, uhai kwanza, afya kwanza, ndio utumie hizo zana zingine..

Edit your post plz, 1: Condoms

Alafu zingine zifuate.
 
Acha uchoyo wewe. Kuwa na hivi vitu vyote nyumbani kutazidi kusababisha ukosefu wa ajira kwa mafundi wa aina mbalimbali. Haya basi ongezea na mwiko wa kuchotea zege na kono-bao la kunyooshea plaster za nyumba
Hivyo ninavyo sikutaja tu sababu si muhimu sana kwa kila mtu, unataka ajili mtu kuja kubadili koki ya maji ya chumba chako cha master? Aibu hiyo mkurungwa, chumbani ni siri
 
Wakati kwa hiyo laki ungekuwa ushajipatia haka kamashine na kanakuwa ka kwako daima
Zipo mpaka za manually unanunua bits tu.inakula ukuta kama sponch .
Ulaya kaz nying unafanya mwneyewe ndio mana unakuta had waschana wanapaint wenyewe kwa maana kuita fubdi ulaya sio fundi maiko.unalipa contractors kabisa.so unakuta vitu ving wanafanya family members
 
Kwani UKIMWI unaua? Ilikuwa zamani siku hizi hauui sijui mara ya mwisho ulimwona nani kafa kwa ukimwi, siku hizi hadi machagudoa wana kunywa dawa za kinga kuzuia ukimwi, na wengine wanywa arv
 
Kimsingi hazitakiwi kuuzwa,omba zile self test ni nzuri sana na ni rahisi kufanyia screening ya HIV
Kwa sera ya afya ya tanzania, rapid test ambayo mtu anaweza ji test nayo ni ile ya kutumia mate tu, hizi zingine zinatakiwa kutumiwa na mtaalamu wa afya tu, tumia at your own risk, usisahau kuna forced positive na forces negative, imagine unampima ikasoma neg kumbe ni positive
 
Nimejaribu kufikiri huyo mwanaume awe kapanga chumba kimoja halafu ana hivyo vifaa vyote!

Si atakuwa analala stoo sasa.
 
Maduka gani wanauza kwa hiyo bei?
Kama uko dar tembea kariakoo, waduka ya hardware, ziko za kila aina hata chini ya bei hiyo, pia maduka ya used powertools zipo za kila aina
 
Nimejaribu kufikiri huyo mwanaume awe kapanga chumba kimoja halafu ana hivyo vifaa vyote!

Atakuwa analala stoo.
Angalau kimoja wapo, tutajua unajali uanaume wako
 
halafu nikakata mbao na fito nizipeleke wapi? Sina interest na ufugaji wa kuku
Nunua vile ambavyo una matumizi navyo.

Mtoa mada kaeleza kila kifaa na kazi yake, sasa kulingana na uhitaji wako kulingana na mazingira ndio uchague vya kuwa navyo ndani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…