Kwa Wanawake na Wanaume ambao hawajawahi kuolewa wala kuoa

Kwani na mwanamke naye ina sound gud kumuuliza mwanamke mwenzie kuwa hajui jinsi ya kuifinyia kwa ndani
 
Jitunze...achana na porojo za jf. Hapa wamejaa mawakala wa shetani tuu. Hamna jema litokanalo na kupelekeana moto kabla ya ndoa. Tunza utu wako na mbususu yako.
Asante mkuu.
 
Mleta uzi hizi ni maada za form IV E

Anyways, huenda mawazo yako yakafanya kazi... vile unawaza Jambo Jema..

Nikutakie utekelezaji mwema...

Ni hayo tu bibie.
 
Lakin kuwa na bikra au kutokua nayo doesnt matter, mbn kuna people wanaoa had machangudoa na wanaishi kwa aman , n mipango tuu ya Mungu kama ulipangiwa kuolewa bikra itakua , kama ulipangiwa utakitembeza had mtu wa 20 ndo akuoe bas itakua
Una makeke mengi sana.
 
Namuacha ndio


Hili sio jambo la kukasirika ungekuwa mwanaume ungeelewa hii ni nature yetu
Siyo uanaume ni kuendekeza Tamaa za mwili.....

Hakuna asiye MTAMU bali ni tafsiri tu.....

Vipi ukizaa mtoto mlemavu utafanyaje? UTAMTUPA? Au wazazi wako wakiwa MASIKINI/HAWAJASOMA/WALEMAVU je utawakana? Vivyo hivyo kuwa na mwenza ukamvumilia kwenye usilolipenda ambalo hata yeye hakuchaguaa huku ukitaraji MALIPO kwa Mola Mlezi ndiyo hasa maana ya ndoa.....

Acha akili za kumwona mwingine kama kidoli cha starehe....!!!!! Kuwa binadamu mwenye kujali hisia za wengine....
 
Umeongea vitu vya kufikirika ww binti....
 
Ni vzr
Lkn hili jambo ni pana,kuanzia malezi nk
Lkn pia kuoa/kuolewa bikira hakufanyi au sio sbb ya ndoa kuwa na utulivu,amani ...
Kumcha Mungu ndo kinachotakiwa!
Lkn pia hata ukioa/kuolewa sio bikira kuna namna ya kuomba ili kukaa sawa!
 
Angalau you played your part,,, ukinyanyua mikono mbiguni kuomba msaada kwa yule uliyejihifadhi kwa kutaka radhi zake UNAFIKIRI ATAKUACHA BUREBURE?
Kwahiyo walioolewa sio mabikira waKinyanyua mikono mbinguni hawajibiwi?
 
Lakin kuwa na bikra au kutokua nayo doesnt matter, mbn kuna people wanaoa had machangudoa na wanaishi kwa aman , n mipango tuu ya Mungu kama ulipangiwa kuolewa bikra itakua , kama ulipangiwa utakitembeza had mtu wa 20 ndo akuoe bas itakua
Usimuhusishe mungu na mambo ya kijinga na ya kishetani
 
Uwiiii ilikuwaje?
Hebu tuanzishie Uzi tujifunze kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…