Kwa Wanawake na Wanaume ambao hawajawahi kuolewa wala kuoa

Hakuna kitu inakatatisha tamaa kama kuwa mpenzi mtizamaji.
Yaani uko kwenye mahusiano alafu hakuna kufanya eti hadi muoane?yaani muwe wapenzi watizamaji tuu???kinachouma au katisha tamaa unaweza vumilia hivyo ukakuta demu kuna njemba inakula tena kimasihara huku wewe unapngwa eti hadi unioe ndo unapata.
 
Ndoa ni kuomba Mungu tu wanaume wa sahizi hawashtuki na bikra wanaongoza kutoa na kuoa hawaoi hao wanaowaanzishia
Ndoa MUNGU ndo anaandika na kudumu inategemea na Tabia zenu sio kuolewa ukiwa bikra
 
Alisema hawezi kunioa bila mimba,nimebeba hajanioa.nafunga namba ya simu.UMEANDIKWA IVO
Polesana kuzaa sio kigezo Cha ndoa muhimu kakupa funzo Lea mwanao mwaya na Utapata wako na wew
 
Pole
Maisha lzm yaendelee
Utapata mume wako,hakuwa wako huyo
Sasa unaharibu mrembo...kule umeongea point hapa sasa unasemaje hakuwa wako huyo wakati kosa ni la bidada kubeba mimba wakati hajaolewa
 
Ndoa ni kuomba Mungu tu wanaume wa sahizi hawashtuki na bikra wanaongoza kutoa na kuoa hawaoi hao wanaowaanzishia
Ndoa MUNGU ndo anaandika na kudumu inategemea na Tabia zenu sio kuolewa ukiwa bikra
Munguu aandiki ndoa bwana....hayo ni maamuzi yetu wenyewe. Ukiendekeza tamaa za mwili na ujinga utaishia kuliwa mbususu na watu kusepa. Miongozo tulishapewa sema hatutaki kuifuata
 
Munguu aandiki ndoa bwana....hayo ni maamuzi yetu wenyewe. Ukiendekeza tamaa za mwili na ujinga utaishia kuliwa mbususu na watu kusepa. Miongozo tulishapewa sema hatutaki kuifuata
Sawa
 
Uzi Bora kwa matumizi ya baadae kwa wale wadogo zangu
 
Munguu aandiki ndoa bwana....hayo ni maamuzi yetu wenyewe. Ukiendekeza tamaa za mwili na ujinga utaishia kuliwa mbususu na watu kusepa. Miongozo tulishapewa sema hatutaki kuifuata
Miongozo inafuatwa sana na wanawake wamejiongeza maarifa wanatengeneza za kichina maisha yaende hayanaga formula haya[emoji24]
 
Miongozo inafuatwa sana na wanawake wamejiongeza maarifa wanatengeneza za kichina maisha yaende hayanaga formula haya[emoji24]
Formula ipo sema ubishi wetu tuu....ndio tunaishia kuchukuliana kama vyombo vya starehe tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…