Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
1-Kwa nini lazima awe mama tu?Miongoni mwa watu ambao wanatakiwa kula hela Yako ni wazazi wako hasa mama.
Ila kama utaendekeza wanawake basi nguvu yote itaishia kwa wanawake.
Nusu albino nusu albino nusu albino nime kuita mara tatu🤣😂Hudhuria vikao utaipata.
Kuna huyu lofa Intelligent businessman kaona nachat na shem wangu mzuri binti kiziwi afikishe salam za valentine day, kaona awaambie wale modizi wafunge uzi 😅
Uz ushafungwa?Hudhuria vikao utaipata.
Kuna huyu lofa Intelligent businessman kaona nachat na shem wangu mzuri binti kiziwi afikishe salam za valentine day, kaona awaambie wale modizi wafunge uzi 😅
Kama una maugomvi na baba Yako peleka huko kwenye familia Yako na baba Yako. Anaanza baba anafata baba anafata baba alafu anakuja mama kama humpendi baba Yako kwa sababu zako basi Fanya YakoKama una maugomvi na mama Yako peleka huko kwenye familia Yako na mama Yako. Anaanza mama anafata mama anafata mama alafu anakuja baba kama humpendi mama Yako kwa sababu zako basi Fanya Yako
Si huyo pimbi katoa kahongo kidogoUz ushafungwa?
Nani Kama mama ni agenda ya kishetani, ili watu wasichukue baraka Toka kwa baba zao.Hii pia ni aina flani ya upuuzi ambao jamii inaupalilia Kwa kasi ya ajabu sana! Kwa nini iwe "hasa mama" wakati baba ndie kavuja jasho ili tumbo lako lijae na kufika ulipofika leo? Baba ndie kabeba baraka za mtoto ninyi endeleeni kujilisha upepo! Samahani mkuu, nimekuquote lakini namjibu aliesema hasa mama.
Una wivu kinoma ila mchezo ulioucheza nshaushtukia.Nusu albino nusu albino nusu albino nime kuita mara tatu🤣😂
Au mtoa mada kasha jiua?Si huyo pimbi katoa kahongo kidogo
Hasa Mama?kwani katika hii Dunia umeletwa na Mama peke yake?Miongoni mwa watu ambao wanatakiwa kula hela Yako ni wazazi wako hasa mama.
Ila kama utaendekeza wanawake basi nguvu yote itaishia kwa wanawake.
Acha Kila mtu aongee kulingana na alivyolelewa,wababa wengine wakishazaa tu wanakimbia familiaHii pia ni aina flani ya upuuzi ambao jamii inaupalilia Kwa kasi ya ajabu sana! Kwa nini iwe "hasa mama" wakati baba ndie kavuja jasho ili tumbo lako lijae na kufika ulipofika leo? Baba ndie kabeba baraka za mtoto ninyi endeleeni kujilisha upepo! Samahani mkuu, nimekuquote lakini namjibu aliesema hasa mama.
Miongoni mwa watu ambao wanatakiwa kula hela Yako ni wazazi wako hasa mama.
Ila kama utaendekeza wanawake basi nguvu yote itaishia kwa wanawake.
pombe na wanawake tangu lini vikawa adui wa mwanaume? mbadala wa izo anasa ni upi kwa mwanaume?Sio wanawake Tu,jumuisha anasa zote yaani pombe, wanawake na kamari.
Hiyo vitu ni Adui mkubwa Sana kwa mwanaume yeyote.
Tufanyeni anasa kwa kiasi ili tusije wasahau familia zetu
Afu kweli uzi umefungwa why? Kweli JF kuna “wakuu” wakisema uzi ufungwe ni shwaa!Hudhuria vikao utaipata.
Kuna huyu lofa Intelligent businessman kaona nachat na shem wangu mzuri binti kiziwi afikishe salam za valentine day, kaona awaambie wale modizi wafunge uzi 😅
acha zako, si shemela binti kiziwi ali sema ana siblings wawili.Una wivu kinoma ila mchezo ulioucheza nshaushtukia.
mimi ni raisi wa chama Cha ma jobless pro max, hizo hela za kuhonga natoa wapi😂😂Si huyo pimbi katoa kahongo kidogo
Tena kuna mweupe na mweusi, kila mtu atapata!acha zako, si shemela binti kiziwi ali sema ana siblings wawili.
yule mrefu, mwembamba kiasi ndo wa kwangu😊😊.