Kwa wasio oa, ukiendekeza sana wanawake utajikuta husaidii wazazi wako

Kwa wasio oa, ukiendekeza sana wanawake utajikuta husaidii wazazi wako

Pia kwa wenye wanawake wengi tukumbuke sasa ARV zinatolewa bure na serikali siyo wazungu. Za kuambiwa changanya na zako.
 
Kama una maugomvi na mama Yako peleka huko kwenye familia Yako na mama Yako. Anaanza mama anafata mama anafata mama alafu anakuja baba kama humpendi mama Yako kwa sababu zako basi Fanya Yako
Nimeutoa maana uzi wako woote kisa huu mtazamo. Kama ulilelewa na single maza unge declare interests mapema kabla huja compromise uzi wako kwa mtazamo huu ambao wanaume tunauona ni wakijinga
 
Kipindi wakati mimi ni malaya, mwanamke yeyote alikuwa hali hela yangu ambayo ni kubwa kuliko niliyowahi kumpa mama.

Kwa sasa nimestaafu kwa hiari.
 
Sio wanawake Tu,jumuisha anasa zote yaani pombe, wanawake na kamari.
Hiyo vitu ni Adui mkubwa Sana kwa mwanaume yeyote.

Tufanyeni anasa kwa kiasi ili tusije wasahau familia zetu
Pombe haiombi pesa wala haikufanyi utengane na wazazi tena mama yangu akitaka kunipiga pesa ananipigia weekend ,akijua nimelewa lile vibe la tungi najikuta namtumia pesa nyingi tu, na ninamwongezea nyingine na yeye atulize koromeo.
 
Miongoni mwa watu ambao wanatakiwa kula hela Yako ni wazazi wako hasa mama.

Ila kama utaendekeza wanawake basi nguvu yote itaishia kwa wanawake.
Mama si anahudumiwa na mume wake a.k.a Baba? Mnatunyanyapaa sana baba zenu.
 
Nani Kama mama ni agenda ya kishetani, ili watu wasichukue baraka Toka kwa baba zao.

baba ndiye aliyebeba baraka za mtoto rejea kisa Cha Isaka na watoto wake kwenye biblia.
Mkuu umeandika fact.
Hili swala nikiwahi jifunza zaidi ya miaka 7 nyuma. Pia ajenda nyingine ile ya haki sawa.
 
KWANI NIMEKUZUIA KUONA SACRIFICE ZA BABA YAKO?

HALAFU KWANINI MNADHANI KUSAIDIA NYUMBANI NI JAMBO LA LAZIMA?

WATU WENYE AKILI,HUWEKA AKIBA KWA AJILI YA WATOTO,ILA WAPUUZI HULEA WATOTO KWA AJILI YA KUJA KUSAIDIWA WAKIKUA.

UNAPOSEMA WEWE UNAMPA BABA HELA MARA MBILI KULIKO MAMA NAKUSANGAA SANA,INGEBIDI YEYE NDIO AKUPE MALI YA WEWE KUIRITHI NA KUIENDESHA ILI UKIMPA CHOCHOTE KIWE NI FAIDA ZA URITHI ALIOKUPA.

MSIDANGANYANE ELIMU SIO URITHI.
Acheni ujinga wa kulazimisha kuwageza wazungu, wale mifumo yao ya kiuchumi tayari ipo well organized tofauti na hapa kwetu.

Afrika inaeleweka kabisa mtoto unapambaniwa kusomeshwa ili utakapofanikiwa kutoboa uwainue utakawaacha nyumbani, na katika hayo mapambano baba ndie main character.

Hata kama wazazi wana hali nzuri lazima ulipe fadhira kwa vizawadi vya hapa na pale, vile vile ujue utakua na jukumu la kuwatunza katika uzee wao

Mimi baba angu financialy yupo fresh tu lakini ninaporudi home lazima nibebe chochote kama shukrani last time nimeenda home niliwapelekea wazee smart tv.
 
Acheni ujinga wa kulazimisha kuwageza wazungu, wale mifumo yao ya kiuchumi tayari ipo well organized tofauti na hapa kwetu.

Afrika inaeleweka kabisa mtoto unapambaniwa kusomeshwa ili utakapofanikiwa kutoboa uwainue utakawaacha nyumbani, na katika hayo mapambano baba ndie main character.

Hata kama wazazi wana hali nzuri lazima ulipe fadhira kwa vizawadi vya hapa na pale, vile vile ujue utakua na jukumu la kuwatunza katika uzee wao

Mimi baba angu financialy yupo fresh tu lakini ninaporudi home lazima nibebe chochote kama shukrani last time nimeenda home niliwapelekea wazee smart tv.
HUU NI UJINGA.

ENDELEENI KUJIDANGANYA KUWAPA WATOTO MALI NAE NI KUWAIGA WAZUNGU.
 
HUU NI UJINGA.

ENDELEENI KUJIDANGANYA KUWAPA WATOTO MALI NAE NI KUWAIGA WAZUNGU.
Kibongo bongo kutoboa kunatokana bahati sio mfumo. Ni kawaida kukutana wazazi wanafika kwenye umri wa uzee wakiwa hawana cha kuwarithisha watoto wao.

Katika mazingira kama hayo basi pale uwezo unaporuhusu tutumie busara kuwatunza wazazi wetu. Tusiwageze wazungu ambao wao mifumo yao ipo organized kiasi kwamba kutoboa kimaisha ni suala la kimfumo sio bahati kama hapa kwetu.

Kwa wazungu kazi za kumwaga, biashara zikiyumba mfano kipindi cha covid 19 serikali inatoa ruzuku kwa wafanya biashara, mafao ya wastaafu au walioacha kazi yanatolewa fasta tu hali ambayo ni tofauti na hapa kwetu.

Na hata pale ambapo wazazi wanajimudu sio mbaya tukawakumbuka kwa ku-clear bill za hapa na pale.
 
Back
Top Bottom