Kwa wenye Uzoefu na Biashara ya Vituo vya Mafuta [Fuel Stations]

so far biashara ya mafuta sio monopoly in oligopoly kwenye hii biashara kuna ewura ambao hupanga bei ya ukomo kwa wauuzaji wakubwa na ma retailer meanwhile monopoly bei anaipanga yeye monopoly
Sahihi kabisa, ingawa ule utaratibu wa mwenye uwezo kuagiza mafuta mwenyewe huenda ingepunguza sana gharama kwa walaji na wafanyabiashara wangepata faida maradufu
 
Petrol station inatakiwa uangalie vitu vingi sana maana unaweza kujenga na usipate wateja kama kituo kitakuwa mbali na wateja
 
Lakini si kuna agent mmoja anayeagiza mafuta kwa niaba ya Serikali, sasa huo utofauti wa ubora unatokeaje?
 
Mwenye ufahamu, je Ewura wanatoa vibali vya kuzalisha mafuta, KWA wanaotaka kutengeneza mafuta ya kuendeshea magari, mitambo na mashine mbalimbali
 
Zipo gari za kukodi ndogo zina hadi lita 1500 sio lazima kuchukua kipisi.
 
Labda aanze local kwa pump mbili moja ya diesel moja ya petrol.
Sio lazima ajenge tank chini atumie tank za lita elf moja za kusimamisha juu.
Kama zile za kuuzia mafuta ya taa vijijini.
 
Ni shihihi mkuu ila eneo langu lipo barabarani kabisa, Barabara ya Dsm - Mbeya.
acha mawazo mgando unaweza ukajikwamisha ukishililia wazo la kusema unakiwanja mind that unaweza ukawa nacho na bado usikitumie au bwana Grahams aww huenda unafell biashara hii haitaki mawazo kama yako umefenya utafiti mara ngapi mpaka umejiridhisha kuwa hilo eneo lipo shwari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…