Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Lengo la ziara zake huwa ni kujua matatizo ya Askari, kama hamumwambii, hilo si tatizo lake ni tatizo lenu. Pia inaonekana ule utaratibu wa nidhamu jeshini siku hizi hauzingatiwa sana.Igp analishwa anashiba hawezi kutupambania