Kwako Rais Samia, sisi Askari tunaomba utuongezee maslahi

Kwako Rais Samia, sisi Askari tunaomba utuongezee maslahi

Kudai 15,000 kwa siku kama posho ya kula ni hela nyingi. Elfu 10 inawatosha, hiyo ni hela ya kuongezea kwenye bajeti yako sio ya kukulisha moja kwa moja. Otherwise hoja nyingine ni za msingi msikilizwe
Kakwambia maisha yamekua ghali sana na akatoa moja ya sababu ni mipaka kuwa wazi,hivyo kupelekea ughali wa maisha,hiyo elfu kumi huoni ni ndogo au unamfikiria yeye tu hufikirii familia yake na wategemezi wake wengine ambao wapo nyumbani kwake?
Umewahi kufikiria kwanini wanachuo wameongezewa boom na JW hawalipwi elfu kumi kama wizara ya mambo ya ndani wanavyowafanyia askari waliopo kwenye hiyo wizara?
Hizo hoja zinatakiwa zifanyiwe kazi,zote ni za msingi.
Wasaidizi wa IGP na Rais,wanatakiwa wawafikishie wahusika,kwenye majeshi inasemekana kuna ulaji mwingi sana wa pesa,unafanywa na wakubwa wao,matokeo yake,JW wanaonekana maslahi yao ni makubwa,kumbe wao pesa zinawafikia moja kwa moja,kwenye mishahara yao.
 
Kakwambia maisha yamekua ghali sana na akatoa moja ya sababu ni mipaka kuwa wazi,hivyo kupelekea ughali wa maisha,hiyo elfu kumi huoni ni ndogo au unamfikiria yeye tu hufikirii familia yake na wategemezi wake wengine ambao wapo nyumbani kwake?
Umewahi kufikiria kwanini wanachuo wameongezewa boom na JW hawalipwi elfu kumi kama wizara ya mambo ya ndani wanavyowafanyia askari waliopo kwenye hiyo wizara?
Hizo hoja zinatakiwa zifanyiwe kazi,zote ni za msingi.
Wasaidizi wa IGP na Rais,wanatakiwa wawafikishie wahusika,kwenye majeshi inasemekana kuna ulaji mwingi sana wa pesa,unafanywa na wakubwa wao,matokeo yake,JW wanaonekana maslahi yao ni makubwa,kumbe wao pesa zinawafikia moja kwa moja,kwenye mishahara yao.
Asante kwa kuumia na wanaoumia mungu akubariki
 
Hongera Afande. umeongea Kwa Hisia na Nina Imani. Kwa Upendo wa mama Samia. Atasikia ulichoomba.
Mkiongezewa mtukumbuke na sisi tuliopenda Kuwa Askari lakini tunazeekea Tu uraiani.
 
Rais Samia pokea andiko hili linaloletwa kwako nasi askari wako wa Wizara ya Mambo ya ndani kutoka Magereza, Polisi nk .

Rais tunayo madai yetu ya muda mrefu ambayo kisheria tunastahili kulipwa.

1. Posho za maji na umeme zilipwe moja kwa moja kwenye mishahara yetu moja kwa moja tofauti na sasa ambapo posho hizo zinaliwa na wajanja wachache wizarani na ndani ya majeshi yetu, ifanyike kama inavyonyika JWTZ

2. Posho ya chakula ipandishwe kutoka 10,000 per day Hadi 15,000 per day kwa sababu gharama za maisha zimepanda hasa vyakula kutokana na wakulima kupandisha bei baada ya serikali yako tukufu kuwaruhusu nje ya nchi ili nao wafaidi matunda ya jasho lao, tunaomba posho hiyo iwe 450,000 kwa mwezi.

3. Posho ya pango (ngome) alipwe kila Askari kama ilivyo JWTZ ili Askari warekebishe nyumba chakavu wanazoishi kambini.

Rais madai yetu ni ya muda mrefu sana lakini yamekuwa yanadhibitiwa na viongozi wetu ndani ya majeshi yetu au wizarani kwa manufaa yao wenyewe.

Aidha tunakuomba utuondoe utumishi na utupeleke mfuko maalumu (consolidated fund) maana sheria zetu haziendani na utumishi.

Rais tunajua unayo mambo mengi ya kufanya lakini tunaomba uyaangalie mambo hayo kwa huruma na upendo ili kuboresha maslahi ya Askari wako. Kama unavyoelewa askari hana chama cha kumtetea bali chama chake ni wewe Rais hivyo ndivyo tunavyofundishwaga mafunzoni.

Tunakutakia afya njema mama, bajeti hii tunaomba utufikirie kwa mambo hayo kadhaa tuliyoyaainisha hapo juu.

Tunakusalimu kwa jina la jamhuri tukufu ya muungano wa Tanzania.
➕ RUSHWA na KUBAMBIKIA WATU KESI! Nyinyi jamaa si mtakuwa matajiri sana. Bora hata wangeongezewa askari magereza. Ila siyo nyinyi polisi.
 
Kwahiyo mnataka itoke Posho ya laki 300,000 Kwa mwezi iende 450,000 Kwa mwezi!?? Halafu ulipiwe maji na umeme!??aiseee!!! Hatari!! Hivi Ina maana huwezi kujilipia umeme Kwa mwezi shiling 20000!? Aisee !! Hatari!!
 
Rais Samia pokea andiko hili linaloletwa kwako nasi askari wako wa Wizara ya Mambo ya ndani kutoka Magereza, Polisi nk .

Rais tunayo madai yetu ya muda mrefu ambayo kisheria tunastahili kulipwa.

1. Posho za maji na umeme zilipwe moja kwa moja kwenye mishahara yetu moja kwa moja tofauti na sasa ambapo posho hizo zinaliwa na wajanja wachache wizarani na ndani ya majeshi yetu, ifanyike kama inavyonyika JWTZ

2. Posho ya chakula ipandishwe kutoka 10,000 per day Hadi 15,000 per day kwa sababu gharama za maisha zimepanda hasa vyakula kutokana na wakulima kupandisha bei baada ya serikali yako tukufu kuwaruhusu nje ya nchi ili nao wafaidi matunda ya jasho lao, tunaomba posho hiyo iwe 450,000 kwa mwezi.

3. Posho ya pango (ngome) alipwe kila Askari kama ilivyo JWTZ ili Askari warekebishe nyumba chakavu wanazoishi kambini.

Rais madai yetu ni ya muda mrefu sana lakini yamekuwa yanadhibitiwa na viongozi wetu ndani ya majeshi yetu au wizarani kwa manufaa yao wenyewe.

Aidha tunakuomba utuondoe utumishi na utupeleke mfuko maalumu (consolidated fund) maana sheria zetu haziendani na utumishi.

Rais tunajua unayo mambo mengi ya kufanya lakini tunaomba uyaangalie mambo hayo kwa huruma na upendo ili kuboresha maslahi ya Askari wako. Kama unavyoelewa askari hana chama cha kumtetea bali chama chake ni wewe Rais hivyo ndivyo tunavyofundishwaga mafunzoni.

Tunakutakia afya njema mama, bajeti hii tunaomba utufikirie kwa mambo hayo kadhaa tuliyoyaainisha hapo juu.

Tunakusalimu kwa jina la jamhuri tukufu ya muungano wa Tanzania.
Kwanini mnapenda kufanana kimaslahi na JWTZ wakati nyie mna majukumu tofauti na wao basi ombeni mshirikiane kwenye majukumu yao mpelekwe Msumbiji mkawatoe magaidi
 
Mimi nilikuwa nauliza, hivi hiyo hela ya ngome huwa mnapewa au hampewi ndio mnataka mpewe?
 
Labda ni "mshikaji" wake. Ndiyo nasema nidhamu ya Kijeshi kwenye Jeshi la Polisi imeshuka sana. Sheria na taratibu nyingi sana za kuendesha Jeshi la Polisi hazifuatwi kama ilivyokuwa zamani.

Nidhamu ya kijeshi sio siasa na blah blah.

Afisa wa ngazi za juu akiwa na wenzake anasepa na 4.5 bilion igp amesimama hajui afanyaje halafu unahubiria askari nidhamu ya kijeshi[emoji2][emoji2].

Maana yake askari atamuona igp ni kama mshale wa sekunde tu ktk saa hana kazi,achia mbali huyo inspector,hakutakuwa na nidhamu hapo.
 
Kakwambia maisha yamekua ghali sana na akatoa moja ya sababu ni mipaka kuwa wazi,hivyo kupelekea ughali wa maisha,hiyo elfu kumi huoni ni ndogo au unamfikiria yeye tu hufikirii familia yake na wategemezi wake wengine ambao wapo nyumbani kwake?
Umewahi kufikiria kwanini wanachuo wameongezewa boom na JW hawalipwi elfu kumi kama wizara ya mambo ya ndani wanavyowafanyia askari waliopo kwenye hiyo wizara?
Hizo hoja zinatakiwa zifanyiwe kazi,zote ni za msingi.
Wasaidizi wa IGP na Rais,wanatakiwa wawafikishie wahusika,kwenye majeshi inasemekana kuna ulaji mwingi sana wa pesa,unafanywa na wakubwa wao,matokeo yake,JW wanaonekana maslahi yao ni makubwa,kumbe wao pesa zinawafikia moja kwa moja,kwenye mishahara yao.

Mungu awabariki viongozi wa JWTZ,hata kama wanaiba basi wanaiba wakiwa na hofu ya Mungu.

Hizi kampuni nyingine hizi kuna matapeli walivaa khaki wakijifanya walinzi wa usalama.manyota kibao fix tupu.
 
Kwahiyo mnataka itoke Posho ya laki 300,000 Kwa mwezi iende 450,000 Kwa mwezi!?? Halafu ulipiwe maji na umeme!??aiseee!!! Hatari!! Hivi Ina maana huwezi kujilipia umeme Kwa mwezi shiling 20000!? Aisee !! Hatari!!

Anaweza kujilipa ila kimsingi pesa hiyo ataichukua kwako raia,halafu utakuja ulie lie hapa polisi wana njaa mpaka buku 2 wanabeba.
 
Back
Top Bottom