Kwako Rais Samia, sisi Askari tunaomba utuongezee maslahi

Kwako Rais Samia, sisi Askari tunaomba utuongezee maslahi

Nyie mapopoma mnatakiwa muishi maisha magumu hivyo hivyo mkipata stahiki zenu mnavimba ndio mtashiriki hadi kwenye uwizi wa kura cha msingi mjue serikali haiwakumbuki na haina mpango na nyie mlikua mnaona raha kukimbiza mabox ya kura haya kikowapi mmesahaulika mnaomba omba kama yatima😂😂😂😂
 
Hii ni rejea,ili mpokeaji asijekusema haiwezekani.
Na akiacha ionekane wazi kwamba kaamua kugoma.
Rejea yanini kwani Hao aliowataja wako wanafanya majukumu yanayofanana???kanuni na taratibu zao zinafanana???

Wao ushawahi Kuja kuona wanaandika kama alivyoandika huyu wa wizara ya mambo ya ndani bado huoni tofauti baina yao???

Kama Fulani kama Fulani hakuna kitu kama Fulani jeshini Raia ndiye anaweza kusema nipe kama fulani sio kauli ya mwanajeshi hii
 
Rais Samia pokea andiko hili linaloletwa kwako nasi askari wako wa Wizara ya Mambo ya ndani kutoka Magereza, Polisi nk .

Rais tunayo madai yetu ya muda mrefu ambayo kisheria tunastahili kulipwa.

1. Posho za maji na umeme zilipwe moja kwa moja kwenye mishahara yetu moja kwa moja tofauti na sasa ambapo posho hizo zinaliwa na wajanja wachache wizarani na ndani ya majeshi yetu, ifanyike kama inavyonyika JWTZ

2. Posho ya chakula ipandishwe kutoka 10,000 per day Hadi 15,000 per day kwa sababu gharama za maisha zimepanda hasa vyakula kutokana na wakulima kupandisha bei baada ya serikali yako tukufu kuwaruhusu nje ya nchi ili nao wafaidi matunda ya jasho lao, tunaomba posho hiyo iwe 450,000 kwa mwezi.

3. Posho ya pango (ngome) alipwe kila Askari kama ilivyo JWTZ ili Askari warekebishe nyumba chakavu wanazoishi kambini.

Rais madai yetu ni ya muda mrefu sana lakini yamekuwa yanadhibitiwa na viongozi wetu ndani ya majeshi yetu au wizarani kwa manufaa yao wenyewe.

Aidha tunakuomba utuondoe utumishi na utupeleke mfuko maalumu (consolidated fund) maana sheria zetu haziendani na utumishi.

Rais tunajua unayo mambo mengi ya kufanya lakini tunaomba uyaangalie mambo hayo kwa huruma na upendo ili kuboresha maslahi ya Askari wako. Kama unavyoelewa askari hana chama cha kumtetea bali chama chake ni wewe Rais hivyo ndivyo tunavyofundishwaga mafunzoni.

Tunakutakia afya njema mama, bajeti hii tunaomba utufikirie kwa mambo hayo kadhaa tuliyoyaainisha hapo juu.

Tunakusalimu kwa jina la jamhuri tukufu ya muungano wa Tanzania.
Hongereni kwa hizo allowances

Acha walimu tuendelee kukomaaaa
 
Rejea yanini kwani Hao aliowataja wako wanafanya majukumu yanayofanana???kanuni na taratibu zao zinafanana???

Wao ushawahi Kuja kuona wanaandika kama alivyoandika huyu wa wizara ya mambo ya ndani bado huoni tofauti baina yao???

Kama Fulani kama Fulani hakuna kitu kama Fulani jeshini Raia ndiye anaweza kusema nipe kama fulani sio kauli ya mwanajeshi hii

Lengo sio walio juu washushwe.lengo ni kuwa kama wao au kukaribia.
Mletamada alichofanya ni kumkumbusha rais maana inaonekana serikali inafanya juhudi kwa wizara ya mambo ya ndani ila panyabuku ndio wanaihanithi.

Sio jambo jema huonekana ni kama majungu,lakini hii hutokea baada ya maswali kuwa mengi na kila siku kukosa ufumbuzi.
 
Kakwambia maisha yamekua ghali sana na akatoa moja ya sababu ni mipaka kuwa wazi,hivyo kupelekea ughali wa maisha,hiyo elfu kumi huoni ni ndogo au unamfikiria yeye tu hufikirii familia yake na wategemezi wake wengine ambao wapo nyumbani kwake?
Umewahi kufikiria kwanini wanachuo wameongezewa boom na JW hawalipwi elfu kumi kama wizara ya mambo ya ndani wanavyowafanyia askari waliopo kwenye hiyo wizara?
Hizo hoja zinatakiwa zifanyiwe kazi,zote ni za msingi.
Wasaidizi wa IGP na Rais,wanatakiwa wawafikishie wahusika,kwenye majeshi inasemekana kuna ulaji mwingi sana wa pesa,unafanywa na wakubwa wao,matokeo yake,JW wanaonekana maslahi yao ni makubwa,kumbe wao pesa zinawafikia moja kwa moja,kwenye mishahara yao.
Mwanachuo hapewi hela ya kulisha wengine anapewa ya kula mwenyewe, serikali haijakuajiri na watoto, mke na wazazi wako. Mbona hawalipwi mshahara sasa unalipwa wewe tu?

Kama vipi hao magereza wasipewe mishahara wapewe nyumba na wawe wanakula kazini wabaki na hela kidogo ya kujikimu tuone kama watakubali. Mbona walimu hawapewi hela ya kula? Kwa hali ya kiuchumi ya nchi elfu kumi inawatosha, hiyo ni nyongeza tu sio ndio utake kulewa hiyohiyo na kula mishikaki hapohapo
 
Mwanachuo hapewi hela ya kulisha wengine anapewa ya kula mwenyewe, serikali haijakuajiri na watoto, mke na wazazi wako. Mbona hawalipwi mshahara sasa unalipwa wewe tu?

Kama vipi hao magereza wasipewe mishahara wapewe nyumba na wawe wanakula kazini wabaki na hela kidogo ya kujikimu tuone kama watakubali. Mbona walimu hawapewi hela ya kula? Kwa hali ya kiuchumi ya nchi elfu kumi inawatosha, hiyo ni nyongeza tu sio ndio utake kulewa hiyohiyo na kula mishikaki hapohapo
Kwanini BIMA wanakata hata kwa wategemezi,kwanini wasiweke bima kwa askari tu?
 
Kwanza Ombi lenyewe limechelewa, maana Bajeti imeshachelewa. Lakini inaonesha ni jinsi gani woga ulivyojaa kwenye jamii yetu ya Kitanzania. Anapokuja IGP ni kwa nini huwa hamumwambia hayo mambo??
IGP hausiki na Magereza.
 
Rais Samia pokea andiko hili linaloletwa kwako nasi askari wako wa Wizara ya Mambo ya ndani kutoka Magereza, Polisi nk .

Rais tunayo madai yetu ya muda mrefu ambayo kisheria tunastahili kulipwa.

1. Posho za maji na umeme zilipwe moja kwa moja kwenye mishahara yetu moja kwa moja tofauti na sasa ambapo posho hizo zinaliwa na wajanja wachache wizarani na ndani ya majeshi yetu, ifanyike kama inavyonyika JWTZ

2. Posho ya chakula ipandishwe kutoka 10,000 per day Hadi 15,000 per day kwa sababu gharama za maisha zimepanda hasa vyakula kutokana na wakulima kupandisha bei baada ya serikali yako tukufu kuwaruhusu nje ya nchi ili nao wafaidi matunda ya jasho lao, tunaomba posho hiyo iwe 450,000 kwa mwezi.

3. Posho ya pango (ngome) alipwe kila Askari kama ilivyo JWTZ ili Askari warekebishe nyumba chakavu wanazoishi kambini.

Rais madai yetu ni ya muda mrefu sana lakini yamekuwa yanadhibitiwa na viongozi wetu ndani ya majeshi yetu au wizarani kwa manufaa yao wenyewe.

Aidha tunakuomba utuondoe utumishi na utupeleke mfuko maalumu (consolidated fund) maana sheria zetu haziendani na utumishi.

Rais tunajua unayo mambo mengi ya kufanya lakini tunaomba uyaangalie mambo hayo kwa huruma na upendo ili kuboresha maslahi ya Askari wako. Kama unavyoelewa askari hana chama cha kumtetea bali chama chake ni wewe Rais hivyo ndivyo tunavyofundishwaga mafunzoni.

Tunakutakia afya njema mama, bajeti hii tunaomba utufikirie kwa mambo hayo kadhaa tuliyoyaainisha hapo juu.

Tunakusalimu kwa jina la jamhuri tukufu ya muungano wa Tanzania.
Kwani sasa hivi mshahara wenu ni shilling ngapi?

Maana nikiangalia posho tu hapo kwa wengine huo ndio mshahara wao take home.
 
Rais Samia pokea andiko hili linaloletwa kwako nasi askari wako wa Wizara ya Mambo ya ndani kutoka Magereza, Polisi nk .

Rais tunayo madai yetu ya muda mrefu ambayo kisheria tunastahili kulipwa.

1. Posho za maji na umeme zilipwe moja kwa moja kwenye mishahara yetu moja kwa moja tofauti na sasa ambapo posho hizo zinaliwa na wajanja wachache wizarani na ndani ya majeshi yetu, ifanyike kama inavyonyika JWTZ

2. Posho ya chakula ipandishwe kutoka 10,000 per day Hadi 15,000 per day kwa sababu gharama za maisha zimepanda hasa vyakula kutokana na wakulima kupandisha bei baada ya serikali yako tukufu kuwaruhusu nje ya nchi ili nao wafaidi matunda ya jasho lao, tunaomba posho hiyo iwe 450,000 kwa mwezi.

3. Posho ya pango (ngome) alipwe kila Askari kama ilivyo JWTZ ili Askari warekebishe nyumba chakavu wanazoishi kambini.

Rais madai yetu ni ya muda mrefu sana lakini yamekuwa yanadhibitiwa na viongozi wetu ndani ya majeshi yetu au wizarani kwa manufaa yao wenyewe.

Aidha tunakuomba utuondoe utumishi na utupeleke mfuko maalumu (consolidated fund) maana sheria zetu haziendani na utumishi.

Rais tunajua unayo mambo mengi ya kufanya lakini tunaomba uyaangalie mambo hayo kwa huruma na upendo ili kuboresha maslahi ya Askari wako. Kama unavyoelewa askari hana chama cha kumtetea bali chama chake ni wewe Rais hivyo ndivyo tunavyofundishwaga mafunzoni.

Tunakutakia afya njema mama, bajeti hii tunaomba utufikirie kwa mambo hayo kadhaa tuliyoyaainisha hapo juu.

Tunakusalimu kwa jina la jamhuri tukufu ya muungano wa Tanzania.
Maumivu ya kichwa huanza taratibu.....

Tumieni rushwa mnazopokea kuboresha madai yenu
 
MKIACHA KUONEA NA KUBAMBIKIA WATU KESI MTAONGEZEWA

NA MKIACHA KUOMBA HELA YA MAFUTA YA GARI WAKATI SEREKALI INAWAPA MAFUTA BURE NDO MTAONGEZEWA
 
Back
Top Bottom