Kwani kazi ya Maria Sarungi Nairobi Ilikuwa ni nini? Na nani alikuwa anamlipa

Kwani kazi ya Maria Sarungi Nairobi Ilikuwa ni nini? Na nani alikuwa anamlipa

View attachment 3199909

Tunamuombea apatikane akiwa salama. Lakini naomba nijibiwe maswali haya:-
1. Kwa zaidi ya miaka 2 sasa amekuwa anaishi Nairobi huku akaunti zake za mitandao ya Kijamii zikishambulia mambo ya Serikali. Je ni nani anamlipa kwa kazi hiyo?

2. Ameweza kuwachukua na kuwatafutia makazi vijana maarufu kwa kuishambulia Serikali kama Sativa, Hilda Newton na Tito Magoti. Je nao wanalipwa na nani?

3. Kwanini alidhania Nairobi ni mahali pepesi kwa kufanyia harakati kama hizo?
Sio kila MTU lazima alipwe, wengine ni wanaharakati kuhakikisha majizi yaliyopo serikalini yanajulikana na kufungwa,
Mandela, Steve Biko, Chris han, walikuwa wanalipwa na nani wakati wanapambana na apartheid ya South ya South Afrika,!
 
Angefuatilia historia ya yaliyotokea kwa Mcghee na Uncle Thom (Lugangira) 1983 walivyobadilishwa kirahisi na akina Ochuka😀
HUko mwaka 1983 ni mbali sana, just mwaka jana tu, yaani 2024. Kiiza Besgye kaalikwa Nairobi, watu wamemuibukia room, wakamchukua, anakuja kustuka tayari yupo korokoroni nchini Uganda.
 
Back
Top Bottom