Kwani wanaume ni mambo gani yanawapa amani mkifanyiwa na wake zenu?

Mkuu nna demu jamani demj anadeka yule khaaa yaani mpaka kero sasa.
Hayana fomula mapenzi kama waya tu, we chomeka chomeka utakapokubali ndio hapo hapo kesho tena unachomoa na kuchomeka chomeka.....ukijifanya kuwa mtii sana kuna ladha anakosa anakukimbia anaenda kusaka viswaswadu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kias.. Kilakitu kias
 

Yani ye akisifia mchepuko, We msifie rafik ake kipenzi.
Akimsifia mwanaume mwenzie anajua kuzungusha we mwambie kaka ako ana kifua kizuri jamani yalaaaah.
Mwisho wa siku unamalizia na kumsifia mchungaji au sheikh wa kanisa lake alf unamwambia week ijayo ntamsifia ba mkwe wangu.
 
Heri ya Mwaka Mpya kwako pia Eroni...

Ni hivi...Ni nini Mwanaume(Aliyeoa) akifanyiwa na Mke wake kinampa Amani?

Nimesikika? Au niongeze sauti?[emoji23]
Umesikika, kwanza huna sauti zaidi ya hii🀣

Vingi sana, sijajua mleta mada alinuia kwenye angle ipi ya maisha, misosi, MISOSI🀣, heshima nk sijui alitaka tuongelee nini.
 
Mi napenda mwanamke (charming mwenye uanamke(kitabia),mfupi,mnene,mweusi, awe submissive, mcha Mungu, akili kidogo ya maisha, anaeniheshimu, most important anidekeze(Kama mtoto mdogo)) akiwa hivyo nichepuke yanini walai kumchoka siwezi ntampa hata bank account yangu(ambayo situmii) yaani wanawake wa hivi ndo wenyewe sasa ❀️
 
Kwanini mfupi? Wewe ni mrefu?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ yaan wewe huwezekaniki aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…