Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Siwez huo ushetani
Tutaifuata nje ndani tukinyimwaVizuri kabisa kumbe unajiheshimu
Bujibuji Simba Nyamaume huyu nmekupatia akufundishe kudekaSiwezagi kabisa aisee....ngoja nijifunze
Kwa hiyo kumbe nna akili sana eehπ€£Hewala na hii pia...
Yaani kwa lugha nyingine, mwanaume asiye na akili hawezi kuishi na mwanamke...π π
πππBujibuji Simba Nyamaume huyu nmekupatia akufundishe kudeka
Ivi Kuna siku nilisema nimeoaπ³π³π³saivi umekuwa single tena
Nasubiri feedback ila hata nisipoambiwa nitaona kupitia jf comments ππππ
Asante sana, huyo haswa ndiyo hitaji la moyo wangu. Nilimuomba sana Mungu anipatie mwenzi wa kufanana mwaka huu ninapotimiza 63yrs, naye akaniletea binti mbichi kabisa To yeyeBujibuji Simba Nyamaume huyu nmekupatia akufundishe kudeka
Kwa hiyo kumbe nna akili sana eehπ€£
Heri ya mwaka mpya chief!!
Yaani sana ila hujaninibuπ€£π€£π€£ππππkuna vitu vinachekesha sana
Mshukuru Mungu kwa kukupa furaha ya moyo wako,furaha ya nafsi maana ni jambo la kumshukuru Mungu sana.Asante sana, huyo haswa ndiyo hitaji la moyo wangu. Nilimuomba sana Mungu anipatie mwenzi wa kufanana mwaka huu ninapotimiza 63yrs, naye akaniletea binti mbichi kabisa To yeye
Kwa hiyo kumbe nna akili sana eehπ€£
Heri ya mwaka mpya chief!!
Kwa imani mimi nina 21 yrsππππwe Buji wewe! Mungu anakuona.63 yrs.Utanifia kwa bed.Utawezana kweli?
Neema za Allah Shekh, mimi zinanimaliza kabisaMshukuru Mungu kwa kukupa furaha ya moyo wako,furaha ya nafsi maana ni jambo la kumshukuru Mungu sana.
Binti mbichiiii,binti mteke kabisa ...yaan binti amekamilika idara zote za nje(mrembo,ana piston za kutosha)na za ndani unazijua mwenyewe