Kwanini 99.9% ya waliokamatwa kwa tuhuma za makosa ya Ugaidi ni Waislam?

Haya ya Kibiti haukuwa ugaidi?
 
Hawa wanaojilipua kila siku,hawa wanaochoma makanisa,hawa wanaoua watu,Nigeria,Kibiti,Marekani,Ujerumani na kwingineko duniani huku wakisema allahu akbar ni wakrist?
Rudi kwenye mada tuweke dodoso gn ili tujue si wakristo.
 
Wenye akili timamu wachunguze vizuri sifa za wanayemwabudu, jina sio sababu
 
Kwani hitler aliwafanyia kitu gn wayahudi kabla hajanza kuwatesa. Walichokifanya ndicho wanachofanyiwa waislam; False Flag terror
 
Unakabia juu sana mkuu
 
TANZANIA UKIFUGA TU NDEVU UNAONEKANA GAIDI HII YOTE NI KUWA PROPAGANDA ILISHAENEZWA VYAKUTOSHA NA CHUKI IMESHA MEA KATIKA MIOYO YA WENZETU HAWA
 
Maswali ya dodoso lako yako wapi ili tuyajibu ?
Tuko ktk pilot. Kutafuta hayo maswali. Unadhani ni dodoso zipi za kuwauliza walengwa yakiwemo taasisi zinazohusika kukamata na familia lilizoathiriwa na zoezi hili.

Lkn watu wengine ambao wanawajua watu wenye kuhamasisha vitendo vya ugaidi kutokea na moja na waandishi wanaondika Jabari za kiuchungu. Kuwapatie dodoso zp wazijibu.
 
Maswali ya dodoso lako yako wapi ili tuyajibu ?
Tuko ktk pilot. Kutafuta hayo maswali. Unadhani ni dodoso zipi za kuwauliza walengwa yakiwemo taasisi zinazohusika kukamata na familia lilizoathiriwa na zoezi hili.

Lkn watu wengine ambao wanawajua watu wenye kuhamasisha vitendo vya ugaidi kutokea na moja na waandishi wanaondika Jabari za kiuchungu. Kuwapatie dodoso zp wazijibu.
 
Hitler alisema Bwana Yesu asifiwe kabla ya kuua Mayahudi?
hata mimi naweza kusema yesu asiwe nikajirekodi nikiwa nimefika uso.

Kikundi cha waasi uganda munapigana kwa jina la yesu kinaitwa lord resistance army. Ushawahi kusikia waliitwa magaidi.

Kule Africa ya kati kuna Anti Baraka kikundi cha kigaidi africa ya kati lkn ushasikia wanaitwa magaidi.

Anyway turudi ktk mada
 
Ilib
Ilibidi mtoa mada uje na sample ya maswali yako, halafu wengine wange yaongeza au kuyarekebisha au kuyabadilisha kwa kuyatoa baadhi yake na kuyaweka mengine.

Kwa mfano.
1.Ushasikia neno Ugaidi ?
2. Kwa mtazamo wako nini maana ya Ugaidi?
3. Ni jamii ipi inahusishwa sana kwenye ugaidi na ni kwanini?
4. Nani mfadhiri wa vitendo vya kigaidi na kwanini awe yeye ?
5. Suluhisho la kudumu la vitendo vya kigaini ni nini?
Nk.
 
Haya ya Kibiti haukuwa ugaidi?
Kuna ugaidi na ugaidi wa kutengenezwa.

Nini kulitokea rufiji.

Aliye na jibu hili ni Azory lkn kuabudu anazo taarifa kuwa alikamatwa na wasiojulikana na kupotezwa.

Ili kujua aina ya ugaidi wa tz tunahitaji dodoso
 
Safi sana. Umeelewa mada na kujibu vema
 
Everything happen for a reason,. hata kwenye huo quran na ayah unazozidai zinasema kwa mfano wa madai yako ziliteremka kwa sababu.
Na kama utataka kuthibitisha ukweli wa vita ama aina yoyote ya mapigano yaliyowahi kutokea wakati wa mtume muhammad basi rudi kwenye historia na uangalie vita hivyo vilipiganwa dhidi ya akina nani.

sikuambii ili uende kujifunza na kuacha porojo.
 
Ni magaid
Hata hao majirani zako, workmate wako na hata rafiki zako pia ni magaidi???

Unafiki na chuki mliyo nayo ni hatari zaidi ya ugaidi feki wa waislamu.
Ni magaidi in making,kulingana na mafuundisho ya dini yao.
 
Je ni kwanini Magaidi wanawatumia Waislamu.
Awe Muamerika au Muiran.
Matukio mengi ya Ugaidi tufanye yanayo ripotiwa na FBI watuhumiwa ni Waislamu.

Ubalozi wa Merekani Tanzania na Uganda ulilipuliwa na Waislamu.
Juzi Urusi Waislamu wameuwa watu na vilipuzi.
Yaani kuna maelfu vikundi vya kigaidi vinavyo tokea kwenye jamii za Kiislamu.
Baadhi yao hivyo vikundi vinavyo anzia na herufi "A" tu ni kama vifutavyo.
  • Abu Sayyaf Group (ASG)
  • Afghan Taliban.
  • Al-Nusrah Front.
  • Al-Shabaab.
  • Ansar al-Sharia.
  • Ansar Bayt al-Maqdis (ABM)
  • Al-Qa'ida Core (AQ)
  • Al-Qa'ida in the Arabian. Peninsula (AQAP)

  • Hapo sijafika kwenye Herufi B kwa akina Boko Haram.
  • Waislamu mnatakiwa kujitathmini.
  • Matukio ya MKIRU na Tanga wate tuliyashuhudia.
  • Wahusika ni Waislamu wakijificha katika jamii za Kiislamu.
  • Kuna shida fulani kwenye Uislamu ambayo haitaki kusemwa hadharani.
  • Mzee wetu yule wa Zanzibar anaongea vitu kwa hisia kubwa sana lakini hatumsikilizi kabisa.
Tuwe wazi ili tukabiliane na hili tatizo.
 
Hahahaha huyu shehe chenga sana.
Ni ujinga au umeamua kupotosha makusudi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…