Texas Tiger
JF-Expert Member
- Nov 5, 2022
- 483
- 1,100
Ushamba mzigo!
Hata maana ya neno "United state" hujui maana yake!
Mbona mna matusi sana jamani? kwa nini tusijadili hoja kwa ustaarabuJamaa mnuka mavi huyo achana nae shoga hilo
Mkianzisha hio USA ya africa niko pale nmekaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Kingne ni kiasi gan kimetoka Arusha kuja kujenga mwanza kwa takwimu lakini.GDP YA MWANZA NI 11+T ARUSHA NI 6+T.Kingine kwa kukukera tu Kutoka mwanza mpka serengeti ni karibu kuliko kutoka arusha to serengeti,AIRPORT YA MWANZA INAENDA KUANZA KUINGIZA INTERNATIONAL FRIGHTS NA NEW FIVE STAR HOTELS ZINAENDA KUJENGWA,jiandaeni kuporomoka zaid.HIZI AKILI SIJUI MMERISI WAPI WATU WA KASKAZIN HAMUWEZ KUTAMAN ARUSHA IENDELEE BILA KUZISHUSHA SEHEM NYINGINE.KUNA MTU ALIKUA ATAK DARAJA LA BUSISI [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Cyo tunajifanya tunaongea ukweli sababu ya tunazitambua potentially resources Adimu ambazo zipo Arusha hazitunufaishi sisi hata tone badala yake zinaenda kunufaisha mikoa mingine hasa dar,na mwanza, alafu sisi tunaachwa yatima hatukubali huu ujinga unaofanywa na SERIKALI tupo mbioni kuform Arusha republic ,United State of Arusha ili tuijenge Arusha kwa resources zetu kwani serikali inafanya maksudi kuihujumu ARUSHA hatukubali Tena hii kitu uvumilivu umetushinda
Sasa dogo pungweso matusi na hasira za kazi gani, nani kakuita uje utukane kwenye mjadara huru?.Unaishi chuga ya mchongo mbanga mmoja ww bila shaka we ni MR,MSUKUMA WA BUJORA MOJA HATUKUTAMBUI ARUSHA SISI NENDA KANYIE ZIWA VICTORIA HUKO SABABU NDIO TABIA ZENU WANAUME KWA WANAWAKE KUNYIA ZIWA VICTORIA ,Narudia Tena msukuma hata apate elimu ya degree 100999999kamwe hawez kuwa curious na kuzitambua haki zake kawhiyo hunisumbui mshamba mmoja ww kanywe sumu ufie mbele km inakuuma Moshi na Arusha kuform republic Sawa
Arusha tumewazoea huko bangi ni kama chai, tuenende nao kwa jinsi walivyo vijana wamefyatuka si wa kike au wa kiume.Mbona mna matusi sana jamani? kwa nini tusijadili hoja kwa ustaarabu
Achana na wavuta BANGI ndugu, unapoteza muda bure, hao hua ni watoto au ni BANGI wakishavuta wanakuja JFMkianzisha hio USA ya africa niko pale nmekaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Kingne ni kiasi gan kimetoka Arusha kuja kujenga mwanza kwa takwimu lakini.GDP YA MWANZA NI 11+T ARUSHA NI 6+T.Kingine kwa kukukera tu Kutoka mwanza mpka serengeti ni karibu kuliko kutoka arusha to serengeti,AIRPORT YA MWANZA INAENDA KUANZA KUINGIZA INTERNATIONAL FRIGHTS NA NEW FIVE STAR HOTELS ZINAENDA KUJENGWA,jiandaeni kuporomoka zaid.HIZI AKILI SIJUI MMERISI WAPI WATU WA KASKAZIN HAMUWEZ KUTAMAN ARUSHA IENDELEE BILA KUZISHUSHA SEHEM NYINGINE.KUNA MTU ALIKUA ATAK DARAJA LA BUSISI [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna jukumu linaniweka Arusha na manyara, nilichogundua wenyeji wengi ni walevi na wavuta bangi si wanaume wala wanawake, msiwe mnajilinganisha na mwanza kabisa kwanza hamna maadili na utu, watu wa ajabu sana huku putuuuuuu
Achana na wavuta BANGI ndugu, unapoteza muda bure, hao hua ni watoto au ni BANGI wakishavuta wanakuja JF
Mkianzisha hio USA ya africa niko pale nmekaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Kingne ni kiasi gan kimetoka Arusha kuja kujenga mwanza kwa takwimu lakini.GDP YA MWANZA NI 11+T ARUSHA NI 6+T.Kingine kwa kukukera tu Kutoka mwanza mpka serengeti ni karibu kuliko kutoka arusha to serengeti,AIRPORT YA MWANZA INAENDA KUANZA KUINGIZA INTERNATIONAL FRIGHTS NA NEW FIVE STAR HOTELS ZINAENDA KUJENGWA,jiandaeni kuporomoka zaid.HIZI AKILI SIJUI MMERISI WAPI WATU WA KASKAZIN HAMUWEZ KUTAMAN ARUSHA IENDELEE BILA KUZISHUSHA SEHEM NYINGINE.KUNA MTU ALIKUA ATAK DARAJA LA BUSISI [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aya genius [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaandika utumbo gani wewe?
Hapa point yakuweka kichwani serikali kupuuzia A town.
Arusha sehemu ilipo ipo kimkakati Ndiyo maana wageni wanakuja hapa.
Ngoja nikufahamishe kitu wewe kilaza.
Wageni wanaokuja Tz, wanachagua A town kwasababu ni point rahisi zaidi kufikia national parks zote za northern circuit.
Akitaka kwenda ku-hike Mt Kili, A town ni chaguo sahihi.
Akitaka kwenda safari Lake Manyara, Arusha ipo karibu zaidi.
Akitaka kwenda safari Tarangire, A town ndiyo sehemu nzuri na karibu zaidi.
Akitaka kwenda Ngorongoro, A town ndiyo karibu na sehemu sahihi kuanzia safari yako.
Akitaka kwenda the Serengeti basi mgeni atachagua A town na si Mwanza wala Mara wala Bukoba au Mbeya.
Hauwezi ondoa hili.
Sio chai changanya na chapatiArusha tumewazoea huko bangi ni kama chai, tuenende nao kwa jinsi walivyo vijana wamefyatuka si wa kike au wa kiume.
Hata avatar yako inajidhihirisha!Sio chai changanya na chapati
Utakiwi kuuliza jooo pigia mstari,maana vingine havikuhusuHata avatar yako inajidhihirisha!
Mna matusi kama mmezaliwa chooniAcha ufala bwege wewe kwani huwezi kulia lia na limji lako bila kuitaja Mwanza, usipoitaja Mwanza unadhani hautosikika, pambana na lijiji lako acha kutaja miji ya watu kifala, hiyo Arusha inakalishwa na Geita kwa gdp bado unalialia kama umekalia mkuyenge.
Mwanamke mmbea sana weweAchana na wavuta BANGI ndugu, unapoteza muda bure, hao hua ni watoto au ni BANGI wakishavuta wanakuja JF
Yaani hata wewe unasema hivyo? Nimeumia sanaKuna jukumu linaniweka Arusha na manyara, nilichogundua wenyeji wengi ni walevi na wavuta bangi si wanaume wala wanawake, msiwe mnajilinganisha na mwanza kabisa kwanza hamna maadili na utu, watu wa ajabu sana huku putuuuuuu
Yani nyie na majirani zenu hapo manyara wengi ndo tabia zao hizo arrrgggh ukakasiYaani hata wewe unasema hivyo? Nimeumia sana
Itakuwa umepita sehemu chache, seriously
Kama unataka kuolewa we sema[emoji38][emoji38][emoji38]Samahani dada.
Mimi sikufahamu umeolewa tayari.
Ungekuwa mstaarabu tu ungeniambie umeolewa.
Ningekuelewa tu dada.