Texas Tiger
JF-Expert Member
- Nov 5, 2022
- 483
- 1,100
Ushamba mzigo!
Hata maana ya neno "United state" hujui maana yake!
Wewe kenge tulia.
Soon baada ya kuwa huru kila wilaya inakuwa jimbo/state.
Hiyo maana yake wanatunga sheria zao zinazofit majimbo/states zao.
Halafu tunakuwa na federal government. Mwamuzi wa masuala yote yanayohusu nchi.
Wewe kilaza nauhakika unapagawa ukinisoma.
Au unabisha?