Kwanini Arusha huwa inahujumiwa makusudi?

Kwanini Arusha huwa inahujumiwa makusudi?

Acha ufala bwege wewe kwani huwezi kulia lia na limji lako bila kuitaja Mwanza, usipoitaja Mwanza unadhani hautosikika, pambana na lijiji lako acha kutaja miji ya watu kifala, hiyo Arusha inakalishwa na Geita kwa gdp bado unalialia kama umekalia mkuyenge.
Yani wewe bonge la puto
 
1668187714839.png

Kwa maana hakuna namna nyingine, wakikaidi ni kipigo tu.
 
Haina haja yakushambuliana kisa huyu anatoka Mwanza, Dar Arusha au Katavi.

Adui wetu ni mmoja. Ujinga na umasikini.

Kumbuka hilo.

Watu waarusha tunataka maendeleo sasa hivi na si kesho wala kesho kutwa.

Watu wanaodhani watu waarusha tuna ubinafsi kwakudai huduma bora toka kwa watu wanaochukua kodi zetu basi wewe utakuwa unaungonjwa unaitwa schizophrenia.

Binafsi napendelea A town iwe jamuhuri kamili, tufanye mambo yetu.

Kuendelea kuwaamini watu wanaojiita serikali walioshindwa kwa zaidi ya MIAKA 50 kutupatia hata basic needs kama umeme, maji, barabara, hospitals hiyo ni BIG NO

Nina-support lengo la kuunda United States of Arusha (USA)

Wilaya za Arusha zinakuwa majimbo yenye kujiamulia mambo kulingana na mahitaji ya sehemu husika. Serikali kuu ya muungano wa majimbo itasimamia kazi zote za federation.

Na hii serikali lazima iwe ya watu. Hakuna umama umama ni maendeleo tu.
 
Labda wewe ndio unywee. Tumeendelea kabla yenu ; na huwezi kubisha hilo. Na tutazidi kuendelea. Washamba nyinyi
Kipi kinachokufanya ufikiri umeendelea kabla yetu?

Wakati Dar inaendelea hapo Arusha si Palikuwa mjini pori, swala mpaka mjini[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38].

Miendelee kwenda wapi wakati Mwanza wameshawaacha, Dodoma itawaacha, Mbeya itawapita.

Huo mji hauna potential yoyote kila mlichokuwa mnajivunia kinatoka nje ya Mkoa wenu.

Jivunieni Mlima Meru na Arusha National park [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

N.B wewe ndio Mshamba uliyefundishwa kuchamba
 
Mna jibrag na vitu ambavyo havipo whats special with A????? Arusha sio bora kuliko mikoa mingine, fuckin

Hebu andika kiswahili kilichonyooka. Mimi sielewi “mna jibrag” ndiyo mdudu gani huyo.

Mimi sina shida na mikoa mingine na wala sina shida na watanzania wasikini kama wengi wetu tulivyo.

Hapa tunaongelea serikali kupuuza A town.

Unaelewa lakini?

Au mpaka nikuchape viboko vya matako?
 
Hebu andika kiswahili kilichonyooka. Mimi sielewi “mna jibrag” ndiyo mdudu gani huyo.

Mimi sina shida na mikoa mingine na wala sina shida na watanzania wasikini kama wengi wetu tulivyo.

Hapa tunaongelea serikali kupuuza A town.

Unaelewa lakini?

Au mpaka nikuchape viboko vya matako?
Population yenyewe 500k, mnataka serikali iteketeze kodi za watanzania kwa watu 500k,???? tumieni akili, Kipindi mnatengenezewa dual carriage nani aliwaongelea???? Na mummshukuru JPM aisee.
 
Kipi kinachokufanya ufikiri umeendelea kabla yetu?

Wakati Dar inaendelea hapo Arusha si Palikuwa mjini pori, swala mpaka mjini[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38].

Miendelee kwenda wapi wakati Mwanza wameshawaacha, Dodoma itawaacha, Mbeya itawapita.

Huo mji hauna potential yoyote kila mlichokuwa mnajivunia kinatoka nje ya Mkoa wenu.

Jivunieni Mlima Meru na Arusha National park [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

N.B wewe ndio Mshamba uliyefundishwa kuchamba

Acha mipasho basi dada.

Nini shida?

Hebu tujadili serikali kupuuza Arusha. Hilo ndiyo lengo la mtoa mada. Na mimi kama mwananchi wa United States of arusha nasema anayo hoja.

Sasa wewe badala yakuunga mkono lakini pia hapo hapo kuchomekea changamoto zilizopo hapo Dar unajisahau unaanza kulegeza sauti na kuacha mapaja wazi.
 
Wewe jamaa ni mjinga mno. Kajifunze kwanza maana ya district, region & city. Kwahiyo unataka wilaya za Ngorongoro, Monduli, Karatu, Longido na Arumeru zihesabike ziko ndani ya jiji la Arusha? Ni akili zako au bangi? Halafu Arusha kupata maendeleo ni ngumu kwasababu hapo viongozi wameendekeza majungu. Utakuta mara Mbunge ana bifu na Mkurugenzi wa jiji, au saa nyingine RC. Yaani viongozi wa juu wote wa Arusha hawako kitu kimoja. Miaka ya nyuma tulidhani ni upinzani ila kwasasa hali ndo mbaya baada ya kuwa CCM watupu wasioelewana.
 
Wadau naombeni mnisaidie majibu Ni Kwanini Kila kitu ARUSHA CITY huwa inahujumiwa kwa maksudi kabisa ikiwemo,miradi ya maendeleo kama Stendi ya mabasi, Uwanja wa kisasa wa ndege, na mengine mengi na ukiangalia ARUSHA CITY Ndio city namba 2 kwa tax revenue collector baada ya Dar city na Ni sehemu unique ambayo Ni POTENTIAL yenye Resources Adimu sana Sana kwa nchi hii hata Mwanza haikaribii ARUSHA kimapato hata kidogo nadhani hili mwalifahamu uzuuri.

Natumai mu wazima nyote humu ndani poleni na majukumu , Naomba mrejee kichwa Cha habari hapo juu hiyo Ndio mada lengwa hivyo kwa leo naomba nianze na issue ya TAKWIMU (metro area population ya Arusha city Uki search Google itakuja na kuleta idadi ya watu 519,000, yaani idadi hii inayoleta Ni idadi ya watu ya ARUSHA DC tu yaani wilaya moja tu, Kati ya wilaya zote 7, Yaani siku zote uki-search na ukitafuta data population ya Arusha city sehemu yeyote ile utaletewa jumla ya idadi ya watu hao laki 519,000 ambayo ni ya wilaya moja tu ya ARUSHA DC, lakin idadi nyingine ya watu ya hizo wilaya 7 zingine za Arusha city huwa zinaachwa pembeni hazijumlishiwi na hizo idadi za ARUSHA DC ambazo ni laki 519,000 ili kuleta idadi kamili ya metro area population ya Arusha city km inavyofanywa kwa majiji mengine km Mwanza ,au Dar Sasa huwa najuiliza Kwanini ni Arusha city pekee yake metro area population yake huwa inachukuliwa ya wilaya moja tu ya Arusha DC na kuachwa wilaya zengine 6, lakini ukiangalia City Kama Zanzibar, Dar, Mwanza na majiji mengine Metro area population yake haichukuliwi ya wilaya moja tu zinachukuliwa idadi za watu kutoka wilaya zote ili kuleta jumla kamili ya metro area population ya Mwanza, Dar na Zanzibar city na majiji mengine lakini kwa ARUSHA ni tofauti Ndio maana naona wazi ARUSHA CITY inahujumiwa Sana tu na SERIKALI na pia watu wenye wivu na ARUSHA CITY ili tu kusudi isiwe na maendeleo isipate wawekezaji lakini mbinu zote izo za hujuma za kuihujumu ARUSHA hazitafanikiwa Sababu ARUSHA resources zake za ku attract wawekezaji wa KITALII zinaonekana kwa macho bahati nzuri hao watu wenye nia ya kuihujumu ARUSHA CITY watashindwa kuzificha Wealth resources ambazo zinaonekana kwa macho na zitafanya wawekezaji waje ARUSHA kuwekeza kwenye sekta ya UTALIII na nyinginezo watake wasitake pamoja na kwamba wanafanya hujuma kila kukicha kuihujumu ARUSHA CITY kimaksudi na kuipaisha MWANZA

NA SASA HIVI WAMEANZA KUIPASHA ZANZIBAR KWA TAKWIMU za uwongo ili ety Zanzibar population ionekane ina population kubwa kuliko ARUSHA CITY, icho Ni kitu ambacho HAKIWEZEKANIKI hata kwa dawa Zanzibar ikawa na population kubwa kuliko ARUSHA CITY ispokuwa kwa watu ambao wanafkiria bila kutafakari wataliamini hili ,yaani kusema eti kwa sasa ZANZIBAR NDIO CITY Ipo mbele ya ARUSHA CITY kwa wingi wa watu huo Ni UONGO mkubwa Kama ambavyo mtu atasema kwa sasa Geita Ndio mkoa wenye idadi kubwa ya watu kuliko DAR ES SALAAM, Lakini kwa Mimi nahisi malengo ya hujuma hii kwa ARUSHA CITY Ni ya kupangwa hayajaanza leo kitambo Sana kutokana na uchunguzi niliofanya yakinifu Ni kama nilivyo elezea Apo juu ingawa ningependa pia kusikiza maoni yenu Kwanini ARUSHA CITY inahujumiwa tukianza na issue ya TAKWIMU za uwongo za metro area population hii inatokea kwa ARUSHA CITY pekee ake huwezi kukuta mkoa au City nyingine imewekwa metro area population total ya hujuma/uwongo Kama nilivyo hainisha Apo juu ,ila wadau naombeni tulenge mada tusiende opposite Mimi Ni mtanzania halisi baba yañgu Mtanzania mama mtanzania pia Nawasilisha.

View attachment 2412647
Jiji la dar huwezi kulitenga na mkoa wa dar, mkoa mzima ni kama mji mmoja, kunejengeka kote, ila hiyo Arusha jiji ukitoka tu unakutana na open spaces,
Halafu inaonekana wewe ni mtu kindakindaki wa Arusha sifa nyengine inataja wala Arusha hazijafikia kihiivyo
 
Population yenyewe 500k, mnataka serikali iteketeze kodi za watanzania kwa watu 500k,???? tumieni akili, Kipindi mnatengenezewa dual carriage nani aliwaongelea???? Na mummshukuru JPM aisee.

Serikali imeshindwa kutoa hata basic needs hapa Arusha, kama vile barabara, maji, umeme, hospitali zenye vifaa tiba lakini pia vitendea kazi katika shule zetu.

Haya mambo hatuyachukulii kirahisi rahisi.

Wewe unatembea ukiwa umefumba macho na masikio yako?

Hoja yako ya population ya 500k haina mantiki yoyote. Ujinga ujinga tu.

Huduma bora LAZIMA hata kama watu ni wachache, ilimradi inayojiita serikali inachukua pesa kwa wananchi aka kodi.

Haya tuendelee kujadili kwa akili dada.

Nasubiri majibu yako.
 
Mbona mnasahau Mwanza ilivyonyanyaswa na majengo ya kimahame( kolokoloni)airport Mwanza ya tangu 1956, mbona wananchi wa huko hawasemi.Arusha imebebwa mno tangu enzi za mwalimu angalia KIA,EAC,Maji, barabara mbili, Mahoteli, Lango la kuingia Serengeti liko Arusha pia. Dar,Dodoma na Zanzibar ni majiji yamepaa yenyewe. Hata hivyo Tuache ukanda hauna tija.
 
Wadau naombeni mnisaidie majibu Ni Kwanini Kila kitu ARUSHA CITY huwa inahujumiwa kwa maksudi kabisa ikiwemo,miradi ya maendeleo kama Stendi ya mabasi, Uwanja wa kisasa wa ndege, na mengine mengi na ukiangalia ARUSHA CITY Ndio city namba 2 kwa tax revenue collector baada ya Dar city na Ni sehemu unique ambayo Ni POTENTIAL yenye Resources Adimu sana Sana kwa nchi hii hata Mwanza haikaribii ARUSHA kimapato hata kidogo nadhani hili mwalifahamu uzuuri.

Natumai mu wazima nyote humu ndani poleni na majukumu , Naomba mrejee kichwa Cha habari hapo juu hiyo Ndio mada lengwa hivyo kwa leo naomba nianze na issue ya TAKWIMU (metro area population ya Arusha city Uki search Google itakuja na kuleta idadi ya watu 519,000, yaani idadi hii inayoleta Ni idadi ya watu ya ARUSHA DC tu yaani wilaya moja tu, Kati ya wilaya zote 7, Yaani siku zote uki-search na ukitafuta data population ya Arusha city sehemu yeyote ile utaletewa jumla ya idadi ya watu hao laki 519,000 ambayo ni ya wilaya moja tu ya ARUSHA DC, lakin idadi nyingine ya watu ya hizo wilaya 7 zingine za Arusha city huwa zinaachwa pembeni hazijumlishiwi na hizo idadi za ARUSHA DC ambazo ni laki 519,000 ili kuleta idadi kamili ya metro area population ya Arusha city km inavyofanywa kwa majiji mengine km Mwanza ,au Dar Sasa huwa najuiliza Kwanini ni Arusha city pekee yake metro area population yake huwa inachukuliwa ya wilaya moja tu ya Arusha DC na kuachwa wilaya zengine 6, lakini ukiangalia City Kama Zanzibar, Dar, Mwanza na majiji mengine Metro area population yake haichukuliwi ya wilaya moja tu zinachukuliwa idadi za watu kutoka wilaya zote ili kuleta jumla kamili ya metro area population ya Mwanza, Dar na Zanzibar city na majiji mengine lakini kwa ARUSHA ni tofauti Ndio maana naona wazi ARUSHA CITY inahujumiwa Sana tu na SERIKALI na pia watu wenye wivu na ARUSHA CITY ili tu kusudi isiwe na maendeleo isipate wawekezaji lakini mbinu zote izo za hujuma za kuihujumu ARUSHA hazitafanikiwa Sababu ARUSHA resources zake za ku attract wawekezaji wa KITALII zinaonekana kwa macho bahati nzuri hao watu wenye nia ya kuihujumu ARUSHA CITY watashindwa kuzificha Wealth resources ambazo zinaonekana kwa macho na zitafanya wawekezaji waje ARUSHA kuwekeza kwenye sekta ya UTALIII na nyinginezo watake wasitake pamoja na kwamba wanafanya hujuma kila kukicha kuihujumu ARUSHA CITY kimaksudi na kuipaisha MWANZA

NA SASA HIVI WAMEANZA KUIPASHA ZANZIBAR KWA TAKWIMU za uwongo ili ety Zanzibar population ionekane ina population kubwa kuliko ARUSHA CITY, icho Ni kitu ambacho HAKIWEZEKANIKI hata kwa dawa Zanzibar ikawa na population kubwa kuliko ARUSHA CITY ispokuwa kwa watu ambao wanafkiria bila kutafakari wataliamini hili ,yaani kusema eti kwa sasa ZANZIBAR NDIO CITY Ipo mbele ya ARUSHA CITY kwa wingi wa watu huo Ni UONGO mkubwa Kama ambavyo mtu atasema kwa sasa Geita Ndio mkoa wenye idadi kubwa ya watu kuliko DAR ES SALAAM, Lakini kwa Mimi nahisi malengo ya hujuma hii kwa ARUSHA CITY Ni ya kupangwa hayajaanza leo kitambo Sana kutokana na uchunguzi niliofanya yakinifu Ni kama nilivyo elezea Apo juu ingawa ningependa pia kusikiza maoni yenu Kwanini ARUSHA CITY inahujumiwa tukianza na issue ya TAKWIMU za uwongo za metro area population hii inatokea kwa ARUSHA CITY pekee ake huwezi kukuta mkoa au City nyingine imewekwa metro area population total ya hujuma/uwongo Kama nilivyo hainisha Apo juu ,ila wadau naombeni tulenge mada tusiende opposite Mimi Ni mtanzania halisi baba yañgu Mtanzania mama mtanzania pia Nawasilisha.

View attachment 2412647
Halafu idadi iliyotolewa na Rais ni ya mikoa, sio miji na majiji, idadi ya mji kwa mji ama manispaa na majiji bado haijatolewa
 
Acha kukariri Geneva ya africa ni arusha giving unajua kwanini aicc imewekwa chugah??au kwanini arusha imeitwa Geneva of africa??
😂😂😂Hata bunge lipo dodoma kweny ukame ...kuwa na akili eti kwa nn? Mbona hapana ikulu hata ndogo
 
Back
Top Bottom