Kwanini baadhi ya Waislamu hutumia muda mwingi kuponda Dini nyingine katika mawaidha?

Kwanini baadhi ya Waislamu hutumia muda mwingi kuponda Dini nyingine katika mawaidha?

Kwa hiyo akizingua sheikh mnamkataa lakini akizingua mchungaji wa wakristo mnajumuisha wakristo wote kwamba makafir
Hutujui, sishangai ukitoa majumuisho hayo!

Kuna kafiri na ukafiri.
Ukafiri ni kuficha:Kwa upande wa uislamu kitendo cha hali ya kuficha haki ya muumba kwa namna moja ama nyengine inaitwa ukafiri. Kwa mtendaji atakayetenda hiyo hali ataitwa kafir.

Na kama hujui kilugha hata wakulima kuficha mbegu kwenye upandaji chini ya ardhi istilahi ya maneno yatakayo tumika ni hayo hayo! Ka-fa-r

Uislam unamtaka muislam auchukie ukafiri kwa sababu hata yeye mwenyewe anaweza akatumbukia humo! Kwa sababu ukafiri ni kitendo.

Uislam haumtaki muislam amchukie anayefanya kitendo cha ukafir kwa tafsiri nyengine kafiri. Kwa sababu wewe ni kiumbe cha Mungu na yeye Mungu ndiye anajua nini cha kufanya kwa viumbe wake. Na mwisho wa siku nijipe magonjwa ya moyo ya nini? Hivyo tunaishi kwenye msemo wa "Ikiwa unampenda Mungu, basi heshimu viumbe vyake"

Dini ya kiislamu inaendeshwa kwa elimu na elimu ndiyo dini yenyewe. Kwa msingi huo, si kila muislamu ni msomi. Kwa namna hiyo, usiuhukumu uislamu kwa matendo ya muislam!
 
Hio ni ishara kwamba dini ya uislamu haijakamilika ndo maana inawabidi watumie biblia ili kuikamalisha

Na hii inadhihirisha qurani ni copy ya biblia kwa sababu ni copy kuna vitu vingi ime-lack kwa hiyo inawalazimisha kurudi kwenye original book ambayo ni biblia tusiwalaumu sana huo ni utukufu wa Mungu
Tupatie mfano ambao kwenye uislam na kwa waislam wanapungukiwa na ufafanuzi wa masuala ya dini yao hivyo hawanabudi fafanuzi wazirejee kwenye biblia!!!
 
Lazima ufahamu kinachomsumbua sana Shetani ni Kanisa la Mungu! Kanisa la Mungu ni Adui Mkubwa sana wa Ufalme wa Shetani,hii ni kwa sababu limepewa Mamlaka ya kuharibu kazi za Shetani,(Luka10:19)! Kwa hiyo usishangae Waislam wakiiuchukia Ukristo,
 
Sasa mwamposa kaingia je hapa?, Hizo kauli ni Dalili ya kushindwa kutetea hoja yako, unatumia kauli kali ili ku-defend point yako

Kusali sio shida... Hata wakristo wanapaswa kusali karibia kila siku, hata majumbani wakristo usali zaidi ya sara mbili kwa siku. Kusali kila siku haimaanishi Wayahudi na waislamu wanafanana, hata Wahindi wanaswalia Ng'ombe kila siku. Kwa hiyo kwa sababu Wahindi nao wanasali kila siku napo tuseme mnafanana na Wahindi?


Kuswali kila siku haikufanyi wewe kufanana na Dini fulani hata Freemason wanasali kila siku
Unaongea halafu unajipinga. Wenzako hiyo kuswali ni wajibu sio kujisikia. Hata namna wanavyoswali tofauti na wakristo wengi wanavyokata viuno. Jaribu kuangalia mtandaoni wayahudi wanavyosali kama kuna kukata viuno. Hiyo kusali mara tano na mara tatu ni sheria sio nyie hadi mjisikie.
 
Wakristo wanatakiwa wasali kila mda tofautisha kusali na ibada
Jumapili au jumamosi ni siku ya ibada
Ila kusali kwa wakristo tunatakiwa kusali kila mara ila sisi kusali sio public relation ni swala la siri
Unaongea kitu ambacho hata ukijua. Nadhani hata hayo maneno nadhani hata haujui kwamba yametokana na kiarabu. Swala inaingia kwenye sehemu ya ibada, kufunga ni ibada, kutoa zaka ni ibada na n.k.
Ibada inabeba vitu vingi kijana.
 
Ila hakukutana kimwili alimuacha mpaka akue.

Hili suala la kuoa ni suala la kitamaduni zaidi na kawaida kwa miaka ya nyuma.

Uingereza mwanamke anaolewa kuanzia miaka 16 na hii ni legal age of marriage.

Mbali na hilo wanawake wanawahi kupevuka kuliko mwanaume. Binti mwenye miaka 15 tofauti na kijana wa mika 15.
Ndio... Lakini mbona ukisoma Torati, Zaburi na Injili uwezi kusikia mtoto kaolewa na mtume, nabii au mtu wa Mungu... Kitendo cha kumuoa tu mtoto wa miaka 6 tayari hapo ni kosa kwa sababu MUNGU aliweka kuvunja ungo akiwa na maana yake, kwamba mpaka apevuke...

Mtumishi kama huyo anayetazamiwa na watu wengi na mwenye wafuasi kuoa binti mdogo ni ukatili, hata kama hakumuingilia
 
Hutujui, sishangai ukitoa majumuisho hayo!

Kuna kafiri na ukafiri.
Ukafiri ni kuficha:Kwa upande wa uislamu kitendo cha hali ya kuficha haki ya muumba kwa namna moja ama nyengine inaitwa ukafiri. Kwa mtendaji atakayetenda hiyo hali ataitwa kafir.

Na kama hujui kilugha hata wakulima kuficha mbegu kwenye upandaji chini ya ardhi istilahi ya maneno yatakayo tumika ni hayo hayo! Ka-fa-r

Uislam unamtaka muislam auchukie ukafiri kwa sababu hata yeye mwenyewe anaweza akatumbukia humo! Kwa sababu ukafiri ni kitendo.

Uislam haumtaki muislam amchukie anayefanya kitendo cha ukafir kwa tafsiri nyengine kafiri. Kwa sababu wewe ni kiumbe cha Mungu na yeye Mungu ndiye anajua nini cha kufanya kwa viumbe wake. Na mwisho wa siku nijipe magonjwa ya moyo ya nini? Hivyo tunaishi kwenye msemo wa "Ikiwa unampenda Mungu, basi heshimu viumbe vyake"

Dini ya kiislamu inaendeshwa kwa elimu na elimu ndiyo dini yenyewe. Kwa msingi huo, si kila muislamu ni msomi. Kwa namna hiyo, usiuhukumu uislamu kwa matendo ya muislam!
Hapo mwisho umemaliza vizuri.... Sio uislamu tu, Hata Ukristo, wapo watu mfano waumini, wachungaji, askofu nao ni binadamu uwezi kuhukumu ukristo wote kwa matendo mkristo. Maana hakuna mkamilifu
 
Unaongea halafu unajipinga. Wenzako hiyo kuswali ni wajibu sio kujisikia. Hata namna wanavyoswali tofauti na wakristo wengi wanavyokata viuno. Jaribu kuangalia mtandaoni wayahudi wanavyosali kama kuna kukata viuno. Hiyo kusali mara tano na mara tatu ni sheria sio nyie hadi mjisikie.
Ukisema kukata mauno, hiyo inategemea na dhehebu lako.... Hakuna mahala ukristo unasema ukate mauno, hizo ni hulka za mtu binafsi... Uwezi kuhukumu ukristo kwa matendo ya wakristo, hao ni binadamu tu... Kuhusu kusali mara ngapi, mbona injili ya YESU imeshaeleza kusali mara ngapi, ni vile tu kwenye ukristo hakuna imani kali

Labda nikuulize kama unahita Uislamu ni bora mbona, kuna Suni na Shia, kwa nini msiwe waislamu wamoja 😂
 
Unaongea kitu ambacho hata ukijua. Nadhani hata hayo maneno nadhani hata haujui kwamba yametokana na kiarabu. Swala inaingia kwenye sehemu ya ibada, kufunga ni ibada, kutoa zaka ni ibada na n.k.
Ibada inabeba vitu vingi kijana.
Hata katika ukristo...swala ni ibada, kufunga ni ibada, kutoa sadaka ni ibada... Sasa nyie kwanza maandiko yenu yote reference yenu ni Biblia
 
Mimi naona unawasingizia. Waislamu mafundisho yao mengi ni mambo ya kuhusu ahera. Wakianza kuongelea adhabu zilizopo kaburini unajikuta kwenye mshtuko. Labda ungesema wasabato ndo huwa bize kuwaponda wakatoliki
 
Ndio... Lakini mbona ukisoma Torati, Zaburi na Injili uwezi kusikia mtoto kaolewa na mtume, nabii au mtu wa Mungu... Kitendo cha kumuoa tu mtoto wa miaka 6 tayari hapo ni kosa kwa sababu MUNGU aliweka kuvunja ungo akiwa na maana yake, kwamba mpaka apevuke...

Mtumishi kama huyo anayetazamiwa na watu wengi na mwenye wafuasi kuoa binti mdogo ni ukatili, hata kama hakumuingilia
Brother! Iulize biblia vizuri umri gani kwa wanawake zama hizo za manabii na mitume wa Mungu wanawake walikuwa wakiolewa?

Au waulize wayahudi sheria zao ni umri gani kwao mwanamke alikuwa akiolewa?

Sifahamu vifungu vya kwenye Zaburi, Injil au Taurati vya moja kwa moja vyenye kukava muktadha husika. Ila fanya hilo tafiti.
 
Kwani Dini ni nini kwanza tuanzie hapo... Maana unakuta umekariri baada ya kuambiwa na Sheikh wako kuwa Uislamu ni Dini na nyinginezo sio Dini... Je unaelewa maana ya neno Dini na asili yake?

Na je katika Uislamu Neno Dini limetafsiriwa vipi? Tukishajua maana ya neno Dini katika maisha ya kawaida na katika vitabu vyenu vya Dini basi hapo ndipo utakapoanza kueleweshana
Kwani kuna ugumu wa kunieleza kuwa kwenye biblia kuna andiko lenye kueleza kuwa ukristo ni dini?
Ukinijibu ndiyo tuendelee na maelezo mengine.
 
Mara nyingi uwa nakutana na post mbalimbali za mawaidha ya Dini ya kiislamu, mitandaoni. Na uwa nasikiliza kujua nini kinaubiriwa katika mawaidha hayo. Moja ya reference ni hii hapo chini.

View: https://www.instagram.com/reel/Cxii_7IKFyR/?igshid=MzRlODBiNWFlZA==
Lakini mara nyingi nimekuwa Disappointed kukutana na baadhi ya Masheikh wakitumia muda mwingi kufundisha juu ya ukamilifu wa Dini yao na kupondea Dini nyingine. Yani mpaka muda mwingine unasikia kabisa anakwambia ni heri uwe mtendaji dhambi lakini uitwe muislam kuliko kuwa mtu wa Dini nyingine. Neno nilijaribu kutafuta maana yake nikaambiwa ni mtu ambaye hayuko kwenye hizi Dini tatu zenye chimbuko la Abrahamu. Lakini waislamu wengine utumia neno Kafiri kumaanisha wafu wa dini zote isipokuwa Uislamu, hasa hasa wakristo ndio umaanishwa hapa.

My Take: Kwa nini Waislamu wasitumie nguvu kubwa kuhubiri kuhusu matendo mema, kuacha dhambi, na kuabudu MUNGU mkuu kuliko hii nguvu wanayotumia kuponda dini za watu wengine na agenda yao kuu ni kila mtu kujiunga na uislamu. Katika ukristo ni Dini isiyokuwa na mambo mengi, uwezi kukuta Mchungaji au Askofu yuko busy kupondea Dini nyingine au kuzikashifu, kwenye ukristo habari njema inayohubiriwa ni juu ya wokovu yani kuacha dhambi na kumtumikia MUNGU mkuu na mwanaye YESU kristo ambaye alitumwa kututoa katika dhambi na yeye akiwa ndio njia ya kufika mbinguni kwa kumuamini na kuamini mafundisho yake.

Waislamu mmekuwa mkiponda ukristo ikizingatiwa Ukristo umetangulia kuja Duniani hata kabla ya Uislamu na hata Quran yenu imetoa mafundisho katika kitabu cha biblia chenye Injili ya kristo, na Torati.

Huyu zuzu wa karagwe toka ajiunge Jf, ni kuuponda tu uislam muda wote
 
Huyu zuzu wa karagwe toka ajiunge Jf, ni kuuponda tu uislam muda wote
Hapa hatupondi Dini.... Bali tunatafuta ukweli, tumepewa utashi, ikiwemo uwezo wa kufanya Reasoning na kutafuta majibu. Siwezi kuuliza kitu ninachokijua lazima niulize nisichokijua... mimi simfahamu sana kuhusu uislamu, lazima niulize hili nipate ukweli
 
Kuna baadhi ya Waislamu wanasemaga Dini yao ndiyo Dini sahihi na ya haki, sijui huyo Mungu aliwashukia lini? na wapi? kuwaambia hivyo, Elimu ni kitu kizuri sana, ukishakuwa na Elimu hupati shida.
 
Hutujui, sishangai ukitoa majumuisho hayo!

Kuna kafiri na ukafiri.
Ukafiri ni kuficha:Kwa upande wa uislamu kitendo cha hali ya kuficha haki ya muumba kwa namna moja ama nyengine inaitwa ukafiri. Kwa mtendaji atakayetenda hiyo hali ataitwa kafir.

Na kama hujui kilugha hata wakulima kuficha mbegu kwenye upandaji chini ya ardhi istilahi ya maneno yatakayo tumika ni hayo hayo! Ka-fa-r

Uislam unamtaka muislam auchukie ukafiri kwa sababu hata yeye mwenyewe anaweza akatumbukia humo! Kwa sababu ukafiri ni kitendo.

Uislam haumtaki muislam amchukie anayefanya kitendo cha ukafir kwa tafsiri nyengine kafiri. Kwa sababu wewe ni kiumbe cha Mungu na yeye Mungu ndiye anajua nini cha kufanya kwa viumbe wake. Na mwisho wa siku nijipe magonjwa ya moyo ya nini? Hivyo tunaishi kwenye msemo wa "Ikiwa unampenda Mungu, basi heshimu viumbe vyake"

Dini ya kiislamu inaendeshwa kwa elimu na elimu ndiyo dini yenyewe. Kwa msingi huo, si kila muislamu ni msomi. Kwa namna hiyo, usiuhukumu uislamu kwa matendo ya muislam!
Muhammad alisema: Usiwasalimie Wayahudi na Wakristo kabla ya kukusalimu na ukikutana na yeyote kati yao kwenye barabara mlazimishe aende sehemu nyembamba kabisa ya njia (mtaroni). Sahih Muslim 2167
 
Tupatie mfano ambao kwenye uislam na kwa waislam wanapungukiwa na ufafanuzi wa masuala ya dini yao hivyo hawanabudi fafanuzi wazirejee kwenye biblia!!!
Israeli alietajwa kwenye Koran , ni nani ? Jina lake lilikuwaje Israel na Lina maana gani kwa kutumia Koran
 
Kwani kuna ugumu wa kunieleza kuwa kwenye biblia kuna andiko lenye kueleza kuwa ukristo ni dini?
Ukinijibu ndiyo tuendelee na maelezo mengine.
Neno dini limekuja kutumika baada ya Yesu kuondoka.... Huko nyuma hakukuwa na Dini, makabila, na mataifa... na kila kabila na Taifa lilikuwa na tamaduni zake za kuabudu, hata Uyahudi haukuwa Dini, lilikuwa ni kabila... Neno Dini limekuja kuanza kutumika karne za baada ya Yesu kuondoka, baada ya watu kubwa na mitazamo tofautitofauti juu ya Mungu wanayemuabudu....
 
Back
Top Bottom