Kwanini baadhi ya "wanajeshi" wetu wana vitambi?

Kwanini baadhi ya "wanajeshi" wetu wana vitambi?

niko dar mara nyingi hua nakutana na wanajeahi wenye vitambi .

sasa najiuliza kweli wataweza kupambana pale itakapobidi .

duniani huko moja ya red flag jeshini ni kitambi na kimo kifupi

technically kitambi kinaweza kua obstacle kwenye uwanja wa mapambano japo hatuombei vita ila inabidi wajiandae kimwili na kiakili
Wengi wanaingia jeshini kufuata Ajira , hao wenye vitambi ni wale wanajeshi unakuta ni walimu, Madokta , Mainjinia n.k... na unakuta ni makanali kazi zao ni kutoa maagizo tu kutokea ofisini ,wanajeshi wanaozipiga na mazoezi wapo wapo wengi tu.
 
Makambi yawe yanaweka GYM kwa ajili ya Askari kujiweka kwenye Shepu lakini Maafisaa waandamizi kitambi hakikwepeki.
 
Kwa pamoja tunamshukuru sana Rais Samia kwa kufanikisha upatikanaji wa wanajeshi wenye vitambi nchini.
 
niko dar mara nyingi hua nakutana na wanajeahi wenye vitambi .

sasa najiuliza kweli wataweza kupambana pale itakapobidi .

duniani huko moja ya red flag jeshini ni kitambi na kimo kifupi

technically kitambi kinaweza kua obstacle kwenye uwanja wa mapambano japo hatuombei vita ila inabidi wajiandae kimwili na kiakili
Kwa hiyo we kazi yako kufatilia matumbo ya watu hapa dar alafu ndugu zako huko wanajuwa Unafanya kazi.
 
Acha watu wafuge vitambi kama ameoa hakuna shida
Wanawake wajanja sana
Kama umesoma Cuba utaelewa
 

Attachments

  • downloadfile.jpg
    downloadfile.jpg
    30.4 KB · Views: 1
Back
Top Bottom