Wengi wanaingia jeshini kufuata Ajira , hao wenye vitambi ni wale wanajeshi unakuta ni walimu, Madokta , Mainjinia n.k... na unakuta ni makanali kazi zao ni kutoa maagizo tu kutokea ofisini ,wanajeshi wanaozipiga na mazoezi wapo wapo wengi tu.niko dar mara nyingi hua nakutana na wanajeahi wenye vitambi .
sasa najiuliza kweli wataweza kupambana pale itakapobidi .
duniani huko moja ya red flag jeshini ni kitambi na kimo kifupi
technically kitambi kinaweza kua obstacle kwenye uwanja wa mapambano japo hatuombei vita ila inabidi wajiandae kimwili na kiakili
Kwa hiyo we kazi yako kufatilia matumbo ya watu hapa dar alafu ndugu zako huko wanajuwa Unafanya kazi.niko dar mara nyingi hua nakutana na wanajeahi wenye vitambi .
sasa najiuliza kweli wataweza kupambana pale itakapobidi .
duniani huko moja ya red flag jeshini ni kitambi na kimo kifupi
technically kitambi kinaweza kua obstacle kwenye uwanja wa mapambano japo hatuombei vita ila inabidi wajiandae kimwili na kiakili
nmeamua kuawasagia kunguniKwa hiyo we kazi yako kufatilia matumbo ya watu hapa dar alafu ndugu zako huko wanajuwa Unafanya kazi.
Tanzania mna hiyo technology?Tumehama kupigana kwa bunduki na field battles.
Nimwendo wa Wartech .Nakupiga nikiwa Kwangu.