Wanadai kwamba maeneo kama hayo(chooni) ndo kunaweza fanyika mipango ya uharifu
Innalilahi wainnailaihi rajiuun.Bongo kuna mengi, kuna mwaka mkandarasi mmoja kama sijakosea alikuwa anajenga barabara ya Mwenge Tegeta aliingia chooni na kijana mmoja kumwinamisha, watu walipomshitukia wakavamia kile choo, walipomuuliza kwanini yupo chooni na mwanamme mwenzake tena kijana mdogo, akawajibu alikuwa anamnyoa sehemu za siri
Kufungua account nayo ni dk. 5? Hebu aache maskhara!kuujaza form ya mkopo inachukua dk 5..? na zile foleni za kaunta ni dk 5..?... kama tunapanga foleni ili kupata huduma zikizidi dk 5 wawe wanatufukuza coz si salama sisi kuwepo zaidi ya dk 5
Umeenda kuweka hela au makimba yako!!?Si ukate GOGO kabisa huko utokako kabla ya kwenda benki jamani!!!!!
acha mihemuko ya kisiasa kwenye mada za kawaida sanaIyoo vipo sana ...
Kwani wale wanaotoa huduma ni maroboti ??
Mleta mada uwe unafikiria tanua ubongo ...mm mwenyewe nimefanya utafiti ...nimeenda bank ambayo haiko town town nikaomba kwenda toilet wakanionyesha vizuri tuu....
Kwaiyo mkuu wanaposema No right to talk without research wanamaanishaga chief
Hapa unamaanisha NMB?Banki ni sehem ambayo hutakiwi kukaa muda mrefu... ikizidi sana ni dakika tano sasa hiyo haja anaitoa wapi ndani ya dakika tano? ukikaa sana pia si vizuri kiulinzi.
Joto kali mpaka bongo za watu zinapata motoKuna jambo nashindwa kuelewa kwanini Benki kuu haijatoa maelekezo na uongozi wa benki zote haulipi umuhimu swala la kuwa na vyoo vya wateja wao?
Benki zingine zina foleni kali ya hadi masaa 3. Sasa wanategemea wateja wao wabane?View attachment 1315941
Sent using Jamii Forums mobile app