Baba wa Mapaka
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 1,827
- 1,655
Mbona vipo wakuuYah..... Sijaona kabisa hiyo kitu kwa ajili ya wateja!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona vipo wakuuYah..... Sijaona kabisa hiyo kitu kwa ajili ya wateja!
gorofa gani?ukihitaji unapewa funguo unazunguka nyuma ya gorofa
Choo cha chumbani kwangu natumia mwnyw sichangii naww kingenukaKwa iyo nyumbn kwako kuna vyoo
Swali: Je kuna nuka?
Baadhi ya bank vipo nje, ukimuuliza mlinzi anakuonesha.Wafanye kama vituo vya kujaza mafuta a.k.a Sheli.Wale wanakuwa na WC za public.Hata benki siyo lazima hizo WC ziwe ndani ya benki wanaweza kuziweka nje kwa ajili ya wateja.
Mwambie. Maana sisi waswahili hatuna dogo. Wengine tutakuwa na safari kila siku bank ili tuende kupeleka matakataka yetu baada ya kushiba viporo na mataputapuBank unaenda kuweka/ kuchukua hela au kukata gogo?
Hukumuuliza cha wateja ni kipi?Kuna benki fulani jina nalihifadhi ina choo, niliingia moja nilipotoka meneja akaniambia sio cha wateja!
Kuna benki fulani jina nalihifadhi ina choo, niliingia moja nilipotoka meneja akaniambia sio cha wateja!
Ungemuuliza sasa ukanye ofisini kwake?Kuna benki fulani jina nalihifadhi ina choo, niliingia moja nilipotoka meneja akaniambia sio cha wateja!
Acha kujishaua[emoji34]Choo cha chumbani kwangu natumia mwnyw sichangii naww kingenuka
Manager Mzima anahangaika na choo! Sa alikuwa wapi mpk ukaingia, umafanya yako na kutoka!Kuna benki fulani jina nalihifadhi ina choo, niliingia moja nilipotoka meneja akaniambia sio cha wateja!
......kwa wenye Hotel ambao ni lazima kuweka vyoo !?Bank unaenda kuweka/ kuchukua hela au kukata gogo?
Swali zuri sana.
Pia wao wafanyakazi huwa wanatimiza haja zao wapi kama hizo sehemu za kutimizia haja hazipo?
Tra lazima tumbo la kuhara likushike,chezea kodi wwHamna bana mbona tra wana huduma ya vyoo kwa eateja wao na ni visafi tuu
Ni kweli ndio maana kwenye post yangu nimeanza na neno ''pia" nikiwalenga staff baada ya kuwa tumewazungumzia watejaNinachoona hapa huyu bwana anaongelea choo kwa mteja na sio staff toilet.