King james kawaruhusu kula nguruwe?Hapa patamu ndiyo faida ya kubishana na mazuzu wa mtume mudi boy ....kama nguruwe achinjwi basi muhammad alisema muislamu anaweza kula nguruwe akiwa na njaa ...kumbe huyo nguruwe ambaye mudi boy anawaruhusu waislamu kumlq ni kibudu maana mnyama asiye chinywa kwa kufuata taratibu za Kiislamu huyo ni kibudu tu ...sasa nieleweshe muhammad alivyo waruhusu waislamu kula nguruwe je huyo nguruwe uchinjwa namnq gani kabla ya muislamu kumla ? FaizaFoxy
Kama huna jibu pita kule kuliko kuja hapa kubeza kitabu cha wenzako.
Umeshindwa kutoa maoni kule waliko halalisha watoto miaka 9 waolewe unakuja mbiombio hapa kubeza kitabu kitakatifu?
Achana na biblia huiwezi; wewe nenda huko ukajadiri watoto miaka 9 kuolewaNilichokibeza nini na ndio ukweli, au huupendi ukweli?
Biblia yenyewe haijui kama inaitwa biblia.
Nioneshe mstari ndani ya biblia wenye neno "bibli".
Aandike Mungu na si munguUwe na adabu kidogo aisee
Mbona tangu jana imerekebishwa hiyo au kwako bado iko vilevile?Aandike Mungu na si mungu
Du, 😔 hebu nielimishe kwa Maandiko..Kuna Malaika walipokuwa wakitumwa duniani walikuwa wakitamani Wanawake wazuri hivyo wakaanza kujibadilisha kuvaa miili ya kibinadam na kuzaa na binadamu ndio kikatokea hicho kizazi Cha wanefili
King james kawaruhusu kula nguruwe?
Ni nyama tamu mno, tumeahidiwa kuikuta peponi, tutaitafuna wakati tukiogelea kwenye mito ya pombe huku tukifanya na mabikira 72. Ila hatujaambiwa wanawake mtafanya na akina nani na watakuwa wangapiKing james kawaruhusu kula nguruwe?
Baada ya ghalika hakukuwa na wanefili. Wanefili waliangamizwa wote wakati wa ghalikaTangu mwanzo hadi ufunuo sijawahi ona biblia imetamka wazi kuwa manefili yalitokana na uzao wa mtu fulani sijawahi ona hilo andiko.Badala yake maandiko yanakuwa yanaibuka ghafla tu na kuwataja wanefili.
Sote tuna soma mwanzo 6 hadi9 na kuona ya kwamba Mungu aliingamiza dunia na viumbe vyake vyote isipokuwa waliokuwa ndani ya safina pekee yaani kwa upande wa binadamu ni familia ya Nuhu pekee ndiyo ilipona.
Sasa baada ya gharika hawa wanefili walitokea wapi tena ili hali biblia ina sema....
Mwanzo 7:23 Mungu akaangamiza kila kiumbe kilichokuwa hai duniani: Binadamu, wanyama, viumbe vitambaavyo na ndege wa angani. Vyote viliangamizwa duniani. Noa tu ndiye aliyesalimika na wale waliokuwa pamoja naye ndani ya safina. 24Maji hayo yalidumu katika nchi siku 150.
Hivyo ni wazi kuwa kila chenye uhai kiliangamizwa kabisa kabisa.
Swali
Hawa wanefili baada ya gharika walitokea wapi tena?.
KARIBUNI
Hapana. Wanefili ni watoto waliopatikana kwa malaika kuzaa na wanadamu.Wanefili ni malaika waliofukuzwa mbinguni. Baadae wakaja kuzaa na binadamu.
King james kawaruhusu kula nguruwe?Ni nyama tamu mno, tumeahidiwa kuikuta peponi, tutaitafuna wakati tukiogelea kwenye mito ya pombe huku tukifanya na mabikira 72. Ila hatujaambiwa wanawake mtafanya na akina nani na watakuwa wangapi
Daaahmalaika gani hao wapenda mbususu?
Sisi Wanyakyusa ni Waruguru tuliozamia Rungwe asili ikiwa suma Ila hao bhangonde ni muongiliano wa Wanyakyusa na kabila moja toka Malawi.Kasome historia ya Wanyakyusa na Wakonde ndipo utajua kwamba wewe ndio umeandika kilevi
Mguruwe na vingine vyote tu. Mengine utashauriana na daktariKing james kawaruhusu kula nguruwe?
Faiza bwana. Mnakosoa tu vitu tudogotudogo sana. Hivi nyinyi kwenye maandishi yenu hakuna maneno mmetohoa?Nilichokibeza nini na ndio ukweli, au huupendi ukweli?
Biblia yenyewe haijui kama inaitwa biblia.
Nioneshe mstari ndani ya biblia wenye neno "bibli".
siku hizi hakuna Malaika wakuzaa na wanadamu?Kasome upya biblia ..mbona uzao wao umeandikwa kuwa ulitokana na malaika kuzaa na wanadamu....tayari walisha changanya damu na hao uzawa wa nuhu
Umeshasoma habari Ile Musa aliwatuma wapelelezi wakarudi na kumwambia wameona majitu na kwamba wanefili Bado wanaishi kule?Baada ya ghalika hakukuwa na wanefili. Wanefili waliangamizwa wote wakati wa ghalika
Mashetani tu ndiyo wanao zaa na wanadamu siku hizi ...huoni wapumbavu wengi sanasiku hizi hakuna Malaika wakuzaa na wanadamu?
Kwani mudi boy aliye waruhusu hadi waislamu haswa..... maswahaba kula nguruwe, wakiwa na dhiki ya njaa sembuse wewe muisiharamu eti unajitia uwezi kula nguruwe wakati maswahaba walikula walipo patwa na njaa kwa muongozo wa King James mudi boyKing james kawaruhusu kula nguruwe?