Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Mwulize Gwaji akupe ufafanuzi. Sukuma gang haijumuishi wasukuma wote wala watu wa kanda ya ziwa wote.Kwahiyo wasukuma hawapo Mwanza? Kwanini uwatukane wasukuma?
Hili ni kundi maalum lililokuwa na malengo maalum.
Ni sawa na Timu ya yanga, inaitwa Dar Young Africans, kwa fikra zako itamaanisha vijana wote wa Dar es Salaam?