The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Kama unataka ujibiwe toa evidence kuwa kweli Chedema wanachukia Sukuma Ngang. Tweet moja ya Mdude haiwezi kuthibitisha madai yako. Pia kwenye hiyo Tweet hakuna mahali popote inaonyesha chki kwa Sukuma gang zazi ya kumention tu ....!!Umesoma uzi wangu? Naeleza kwanini hawa CHADEMA waliazisha hili jambo la kuwatukana watu wa kanda ya ziwa? Mimi hapa nataka jibu. Iwe tweet ya 2000 au 2021 ninahaki ya kupatiwa jibu.
Au wewe unaonaje?
Kwahiyo mdude siyo mfuasi wa CHADEMA? Unataka tweet ngapi ziweze kuthibitisha kuwa CHADEMA wanawachukia wasukuma?Kama unataka ujibiwe toa evidence kuwa kweli Chedema wanachukia Sukuma Ngang. Tweet moja ya Mdude haiwezi kuthibitisha madai yako. Pia kwenye hiyo Tweet hakuna mahali popote inaonyesha chki kwa Sukuma gang zazi ya kumention tu ....!!
Naamini hawatofanya makosa hayo,Sio kitu cha kuuliza, kila kitu kiko vizuri, na hilo nyomi la jmos watajua hawajui. Hawa wanaotaka kulinasibisha kabila la wasukuma na ukatili wa Magufuli, waambie wajitokeza hiyo jumamosi washuhudie jambo wasilotaka kuliona.
Cha muhimu ni wazungumzaji kwenye huo mkutano wa CDM wajue namna ya kushusha NONDO za uhakika. Wasipandishe vijana wenye mihemko, wakaongea maneno ya kizushi kisha CCM wakapata mwanya.
Jibu swali langu mzee.
Je tanzania kuna kabila liitwalo sukuma?
Je, gang maana yake nini?
Je kabila hilo lipo wapi hapa Tanzania?
Sukuma gang ni watu walafi kama shetani Magufuli!Hii ni dalili ya kuchanganyikiwa. Nenda kanywe maji kisha urudi tujadiliane. Nasubiri jawabu.
Swali langu ni, kwanini utumie jina la kabila katika propaganda zako?Sukuma gang ni watu walafi kama shetani Magufuli!
Vyovyote utakavyoongea mimi nahitaji unijibu. Kwanini CHADEMA wanawatenga wasukumaUmekuja na marking scheme? Kawakataze hao kabila la sukuma gang wasitokee kwenye huo mkutano wa CDM, lakini wasukuma watakuwa wa kumwaga kwenye huo mkutano.
Sasa kwenye hiyo Tweet matusi yako wapi zaidi ya kumetion Sukuma Gang.....!!Kwahiyo mdude siyo mfuasi wa CHADEMA? Unataka tweet ngapi ziweze kuthibitisha kuwa CHADEMA wanawachukia wasukuma?
Ninachotaka kujua kwanini sasa watumie jina la kabila lililopo hapa Tanzania? Tukisema CHADEMA ni wabaguzi tutakuwa tumekosea?Sasa kwenye hiyo Tweet matusi yako wapi zaidi ya kumetion Sukuma Gang.....!!
Thibitisha wapi wamewatukana watu wa kanda ya ziwa...... Wenzako wanakuambia kuwa Sukuma Gang siyo kanda ya ziwa wala Wasukuma bali ni jina la kundi fulani, wewe hutaki ....!!
Kwani hilo jina limeanzishwa na Chadema ...!!?Ninachotaka kujua kwanini sasa watumie jina la kabila lililopo hapa Tanzania? Tukisema CHADEMA ni wabaguzi tutakuwa tumekosea?
Ndio walianzisha CHADEMA. Kumbe hujui. Oh!! Mungu wangu.Kwani hilo jina limeanzishwa na Chadema ...!!?
Nadhan uongoz ambao ulitaka kutugawa tang kupata Uhuru ni awamu ya tano!! Kuna kauli nying san za mkuu wa nchi kipind hicho zilikua za kutugawa, hili halina ubishi kama ww ni mfuatiliaji!!!Sawa kabisa kwanini sasa wasingetumia neno push wakatumia neno la kabila? na hawa CHADEMA ndio wanaendelea kuwatukana watu wa kanda ya Ziwa. Wamo humu JF tunaziona comments zao.
Nauliza kwanini sasa CHADEMA wanafanya hivyo? Lengo lao ni kutugawa watanzania?
Kwa sababu wakati shetani Magufuli akijiita msukuma wenyewe mlimkenulia meno wakati kumbe ni muhutu!Swali langu ni, kwanini utumie jina la kabila katika propaganda zako?
Je, wasukuma wanajisikiaje kutajwa na kubaguliwa na CHADEMA?
Sasa unawatukana wasukuma? Halafu unataka wakupe kura?Kwa sababu wakati shetani Magufuli akijiita msukuma wenyewe mlimkenulia meno wakati kumbe ni muhutu!
Sasa mtakula jeuri yenu kujikomba kwa muhutu!
Watu zaidi ya 25m unawatukana.Kwa sababu wakati shetani Magufuli akijiita msukuma wenyewe mlimkenulia meno wakati kumbe ni muhutu!
Sasa mtakula jeuri yenu kujikomba kwa muhutu!
Ndugu Venus star,Dunia inaenda kwa haraka sana. Na mambo yaenda kwa kasi sana.
Tangu mwaka 2019 CHADEMA imekuwa na msemo wa kuwaita watu wa kanda ya ziwa sukuma gang.
Nimekuwa na jiuliza kwa muda mrefu sana ni nini sababu ya hawa watu kuwaita watanzania wenzao majina yenye kuashiria kutugawa watanzania? Mpaka leo natafuta kujua hawa CHADEMA wapo na lengo gani na jambo hili?
Maana ukipitia kwenye mitandao ya kijamii taarifa nyingi wanazieneza na kuwatusi watanzania wa kanda ya ziwa. Sujui lengo kubwa ni nini?
View attachment 2486017
Sasa nawaombeni wenzangu humu JF tujadili suala hili tulimalize. Hawa CHADEMA lengo lao ni nini kuanza kuwasakama watu wa kanda ya ziwa?
Mimi hapa nauliza na tuweze kumaliza hili suala humu humu. Kwanini CHADEMA wanatukana kanda ya ziwa?Ndugu Venus star,
Nani muasisi wa kundi la CHAWA wa MAMA?
Lengo la uanzishwaji wake ni nini?
Amelenga kuleta UMOJA au mgawanyiko ktk JAMII?
Tangu lini tumehama kuitana "NDUGU" Hadi kuitana "CHAWA"
Makundi hayo why yafadhiliwe na Kodi za wananchi?
Na kura mtatoa halafu mtakoma kushabikia mashetani!Sasa unawatukana wasukuma? Halafu unataka wakupe kura?
View attachment 2486239