Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Amekosea kidogo kusema mtu mmoja, kunakwa tafsiri hii china sio nchi ya kidikteta......
wana katiba bora, wana sheria bora, wala neno la Xi sio sheria.......
magharibi ndio wameharibu tafsiri ya dikteta kwa kumwita dikteta kila mtu wanae mchukia
Junta dictatorship,
Party dictatorship,
Theocracy