MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Bro kuna watu wanalipwa mshahara zaidi ya mbunge wataachaje kumiliki magari kama hayoSijajua watu wanafukua wapi hela, Kila cku huku dar Nakutana Na land cruiser v8 zenye condition nzuri tena Gari binafsi zenye Plate number d, najiuliza na hii mishahara midogo ya taasisi za kibongo ya laki 8 kwa mwezi, watu wanawezaje miliki Na ku-maintain gari ya Tshs million 80 - million 200 plus?
Anaenunua Toyota v8 kwenye account atakua na tsh ngapi? Ina maana hapa bongo Watu wengi kiasi ni matajiri?
Tunawezaje kupata fursa huko kwenye madini?True Siri ya utajiri ipo kwenye madini pesa za chap na uhakika zipo ardhini kwenye madini.Ukiyajua kuchimba milioni 300 ,500 ni SAwa na buku.Huyu jamaa ashangai vijana tena wadogo wanaingiza basi 6 kwa mpigo.
Utajiri upo kwenye madini.
1. CongoNchi ya 10 kwa utajiri unakuaje masikini,KILA sehemu ni mali tele zimejaa hadi watu vijijini wanajenga juu ya madini.
Kwa akili yako ndogo ,kweli kwa Dar hilo ni jambo la kushangaza? Wakazi zaidi ya mil.5?Sijajua watu wanafukua wapi hela, Kila cku huku dar Nakutana Na land cruiser v8 zenye condition nzuri tena Gari binafsi zenye Plate number d, najiuliza na hii mishahara midogo ya taasisi za kibongo ya laki 8 kwa mwezi, watu wanawezaje miliki Na ku-maintain gari ya Tshs million 80 - million 200 plus?
Anaenunua Toyota v8 kwenye account atakua na tsh ngapi? Ina maana hapa bongo Watu wengi kiasi ni matajiri?
Sio tuu magari, mimi huwa nikiona Mji ulivyojaa maghorofa halafu almost 90% ni ya watu binafsi hapo ndio huwa naona mikoani tunasindikiza maisha, so huwa sipendi kuja Dar.Bongo watu wana hela mzee wa kazi kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake..Ukiwa mtu wa kuweka rohoni yale unayoyaona Dar kila siku utaumia moyo wako cha msingi ridhika na ulichonacho
View attachment 2051683
Mkuu hata Africa nzima wenye $1m na kuendelea hawafiki 200,000. Tanzania wako kama 5,000 hivi.Dar ni kitovu cha biashara, asilimia 90 ya shughuli zote ni za watu binafsi. Kuna watanzania zaidi ya 200,000 wenye zaidi ya 1m USDollars, yaani bilioni 2.3. Hivyo basi ata number ya V8 haitoshi, wengi ni mabahili.
Pretty!!!!Jioni tukishawapeleka wakubwa majumbani mwao tunabadili pretty number
Bro, means $1M kwa hapa Tanzania hawafiki hata laki moja??Mkuu hata Africa nzima wenye $1m na kuendelea hawafiki 200,000. Tz wako kama 5,000 hivi.
Data zipo mtandaoni.Bro, means $1M kwa hapa tz hawafiki hata laki moja??
Wachache hivyo, mbona naona idadi yako ndogo sana.
Japo sina mkwanja huo, ila naona madon wapo ila kimya.
Utajiri upo kila mahaliTrue Siri ya utajiri ipo kwenye madini pesa za chap na uhakika zipo ardhini kwenye madini.Ukiyajua kuchimba milioni 300 ,500 ni SAwa na buku.Huyu jamaa ashangai vijana tena wadogo wanaingiza basi 6 kwa mpigo.
Utajiri upo kwenye madini.