Kwanini dhehebu la SDA huwa wanalishambiulia zaidi Kanisa Katoliki na siyo madhehebu mengine?

Kwanini dhehebu la SDA huwa wanalishambiulia zaidi Kanisa Katoliki na siyo madhehebu mengine?

Maneno mengi hauna hoja hata moja,
Lete ushahidi jumapili ni siku ya sabato/ ya kuabudu
Naomba nikujibu hili japo ningetamani kuongea na wewe kwa simu. ANYWAY TWENDE KWENYE JIBU SASA[emoji120][emoji120]

JUMAPILI NI SIKU YA KUABUDU? NA JUMAMOSI NI SIKU YA KUABUDU?

JIBU: Ndio jumapili ni siku ya kuabudu na hata jumamosi ni siku ya kuabudu.
Bila shaka Mimi na wewe tunaamini jumapili ni siku ya Kwanza ya juma na jumamosi ni siku ya Saba ya juma.

Kama ni kweli basi iwe hivyo twende kwenye andiko

Kutoka 12:16
Siku ya kwanza kutakuwa kwenu na kusanyiko takatifu, na siku ya saba kutakuwa kusanyiko takatifu; haitafanywa kazi yo yote katika siku hizo, isipokuwa kwa hiyo ambayo kila mtu hana budi kula, hiyo tu ifanyike kwenu.

Katika kutoka 12:16 inaonesha wazi kua kuna kusanyiko takatifu siku ya Kwanza ya juma na siku ya Saba ya juma kwa maana hiyo j.pili na pia jumamosi. Je SDA mnalo hili au na ninyi ni dhehebu mlioacha Neno?

Pia
Mambo ya Walawi 23:7
Siku ya kwanza mtakuwa na kusanyiko takatifu msifanye kazi yo yote ya utumishi.

Hapa pia tunaona katika siku ya Kwanza unaona hili ambayo siku ya Kwanza ni jumapili.

JIBU HILI LISIWAFANYE WAKATORIKI KWAMBA WAPO SAWA NA NENO HAPANA WAO WAMELIACHA NENO TANGU MWAKA 325 KWA KUINGIZA MAFUNDISHO MENGI AMBAYO YANAPINGANA NA NENO LA MUNGU.
 
Hata wewe ni Msabato. Hivi umewahi walau muda ukafuatilia ibada ya RC? Kila siku ina neno la Tafakari kutoka katika Biblia, hapa nasisitiza, kila siku ina neno lake la Tafakari na kila siku kuna Ibada, halafu anakuja mtu kusema eti Biblia haitumiwi RC. Nitajie siku yoyote mwaka huu nikupe neno la siku hiyo halafu uangalie linatoka nje au ndani ya Biblia.
Vitu vingine muwe mnauliza. Katekisimu ni kama syllabus ya mafundisho, mtoto wa Form One huwezi kumpa hesabu ya Integration, vivyo hivyo Katekisimu inaonyesha mtiririko wa mafundisho, lakini contents zote zinatoka kwenye Biblia, sasa hapo RC wapongezwe au walaumiwe? Maana RC wanaamini katika elimu, haiwezekani ukasoma Biblia kwa kukariri maandishi bila kuelewa mantiki ya andiko.
Huwa naishia kuwapuuza wale wanaoshupaza shingo na kusema RC hawatumii biblia

Shida ni kwamba, wao wanapondea kitu wasichokijua kabisa, hawajawahi kuuishi ukatoriki zaidi ya kusikia story mitaani tu.
 
Kufafanua kvp? Unajua maana ya ufafanuzi? Ok mi toka nisome sheria zote za Yesu alotaja sheria mbili tu za msingi. Mpende Mungu wako na mpende Jirani yako. Hii ndo sheria ya kristo. Zipo kanuni nyingi alizotoa kama kusamehe na zingine. Niambie masheria ya kiisrael au ya kimusa ambayo Yesu aliongelea au alifafanua kamaa usemavyo na pili sabato mnayoongelea ni ipi ile ya waisrael kufanya kaz siku sita na kupumzika ya saba au ile ya Mungu kuumba na kupumzika siku ya saba?

Yesu hajawahi kutunga SHERIA na Hana sheria hata Moja. Acha upotoshaji.

Hiyo sheria ya mpende Mungu na jirani yako Ipo kwenye Torati. Acha kupotosha.

Haya soma

Luka 10: 25 “Na tazama, mwana-sheria mmoja alisimama amjaribu; akisema, Mwalimu, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?

26 Akamwambia, Imeandikwa nini katika torati? Wasomaje?

27 Akajibu akasema, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa nguvu zako zote, na kwa akili zako zote; na jirani yako kama nafsi yako.

28 Akamwambia, Umejibu vema; fanya hivi nawe utaishi.
 
Ukitulia na kuisoma Bible ukiwa neutral, utagundua kuwa wasabato wapo sahihi kuliko dhehebu lolote lile duniani,
1: infact ulaji nguruwe ni kharam hata kibiblia,,eti wanadai "kimuingiacho mtu hakimtii unajisi bali kimtokacho"Kiuhalisia ukiisoma aya nzima pale yesu wala hakuwa akizungumzia ulaji wala nini ,alikuwa akizungumzia "maneno mabaya".
2:mamlaka ya papa kwenye biblia biblia,hivyo wapo sahihi kuipinga
3:mapadri-& masista hawajaandikwa popote pale kwenye biblia.
4:kuabudu siku ya kwanza ya juma " jumapili" hakujaandikwa popote pale kwenye biblia
5:katoliki haliongozwi na mwongozo wa biblia bali "amri za kanisa" na "katekisimu"....kwanini mtu aliyesoma biblia asipinge?
WASABATO WANATUMIA BIBLIA KUHOJI, HIVYO WAKATOLIKI HUWA HIYO LIGI WANAIKIMBIA ,HAWAYATAKI MAANDIKO YA BIBLIA AMBAYO PIA MARA MOJAMOJA NA WAO BIBLIA WANAITUMIA..

Mimi siyo msabato,bali muabudu mizimu ya mababu zangu,dini zenu hazinihusu kivile ila huwa nasoma biblia na Quran ili kujua mbivu na mbichi na kupanua ufahamu.
Katika watu wasiokuwa na akili duniani Wewe ni namba moja.

Calendar inayotumika ni Gregorian calendar ambayo ni ya wakatoliki, sasa ni kichaa peke yake ndio anaweza kusema jumapili ni siku ya kwanza ya Juma, unless unioneshe unatumia calendar gani? Ya kiislamu? Ya kichina au ya Ethiopia?
 
Huwa naishia kuwapuuza wale wanaoshupaza shingo na kusema RC hawatumii biblia

Shida ni kwamba, wao wanapondea kitu wasichokijua kabisa, hawajawahi kuuishi ukatoriki zaidi ya kusikia story mitaani tu.
Nilikulia katoliki, nikabatizwa katoliki, ekarist katoliki Hadi kipaimara, na nilikua hakuna dhehebu la kunibabaisha, Lakini nilipokuja kusoma uharisia wa mtaguso WA kwanza na wa pili, kuludi kwenye bible nikaona katoriki haipo sawa kiimani halisi kwangu.. nikaenda Pentecost nao nikaja check history za imani halisi, pamoja nilivyoangalia kuhusu mwanamke kuhubili nikaona Pentecostal church ni mtoto wa mkatoriki wanaotofautiana Tu mitizamo kidooga na Baba yake. Nilikaa miaka mitatu bila kugusa dhehebu lolote maana niliamini hakuna kanisa la kweli yote yamekua madhehebu.

Nilikaa Hadi pale niliposkia injili halisi ya Yesu Kristo.
 
Siku mkija kugundua dini ni ideological instutions za kukontrol watu mtaacha huu upuuzi wa kubishania dini,tena kwa mwafrika ni upuuzi zaidi mana sio dini zetu za asili.
 
Nilikulia katoliki, nikabatizwa katoliki, ekarist katoliki Hadi kipaimara, na nilikua hakuna dhehebu la kunibabaisha, Lakini nilipokuja kusoma uharisia wa mtaguso WA kwanza na wa pili, kuludi kwenye bible nikaona katoriki haipo sawa kiimani halisi kwangu.. nikaenda Pentecost nao nikaja check history za imani halisi, pamoja nilivyoangalia kuhusu mwanamke kuhubili nikaona Pentecostal church ni mtoto wa mkatoriki wanaotofautiana Tu mitizamo kidooga na Baba yake. Nilikaa miaka mitatu bila kugusa dhehebu lolote maana niliamini hakuna kanisa la kweli yote yamekua madhehebu.

Nilikaa Hadi pale niliposkia injili halisi ya Yesu Kristo.
Ni lazima uwe mfuasi wa dhehebu fulani??
Kuna jamaa yangu yeye huwa anasali anapojiskia ikifika siku ya ibada. Na hii ni baada ya kuona makandokado karibu kwenye kila kanisa.

Ni imani tu na mitazamo tu.

Je wakatoliki hawatumii biblia, hicho ndo tulikua tunajadili na mdau hapo!
 
Ningeshauri mjikite kwenye ligi ya Tanzania bara maana wakatoliki hawana muda wa kujadili dini zingine kama bakhresa asivo jadili maskini
 
Inasemekana katoriki ni mama wa machukizo ndani ya makanisa mengi, katoriki ndiye alibadilisha siku ya kumuabudu Allah, inafahamika katoriki siyo dini ni serikali inayotumia dini kujikweza na kujiimarisha kwa kuhadaa, katoriki ndiye kasemwa kwenye kitabu cha Ufunuo 17...

Yaani SDA ukimwambia juu ya RC ni sawa na Black tiger mwenye njaa na akamuona mamba mtoni.

SDA na RC hawawezi kukaa kwenye mimbari moja, yaani SDA anaweza kupasua hapo, ni vita kali 😄!.
Mjinga mwingine huyu hapa, hiyo Biblia wameikusanya Wakatoliki na kuiweka kwenye kitabu kimoja.

Vipo vitabu kadhaa vya Apocrypha wameviondowa ikiwemo book of Daniel, sasa hicho cha Ufunuo wakiache ili wajiseme wenyewe? Ujinga mtupu.

Kitabu cha Ufunuo wa Yohana hakizungumzii mambo yajayo Bali mambo ambayo yameshatokea.

Mnyama mwenye chapa 666 ambayo ni hesabu ya kibinadamu ukikokotowa unapata majina ya Caiser Nero.

Sababu ya kitabu cha Ufunuo kuandikwa kwa mafumbo ni utawala wa mkono wa chuma wa Caiser Nero ambapo kanisa lilipitia mateso makubwa na Wakristo kuuwawa sana.

Caiser Nero alifikia hatua akifanya sherehe usiku kwenye kasri lake mishumaa yake ni Wakristo hai wanachomwa moto kumulika eneo kama ndio mishumaa yake.

Mpumbavu wa kwanza kuanzisha uvumi unaoaminiwa na wapumbavu wenzake kwamba mnyama 666 ni Papa alikuwa ni kasisi aliyetengwa na Vatican na kuingia Usabato.

Various fill dei ndio uvumi unaosamabzwa na wapumbavu na kuaminiwa na wapumbavu, Vicarious fill dei ni neno la kilatini ambalo maana yake ni makamu wa Mungu na kofia ya Papa maandishi hayo ambayo ndio 666 hayapo na Papa hawezi kujiita au kuitwa Makamu wa Mungu huu ni upumbavu mtupu unaoaminiwa na wapumbavu.

Ulitaka kuelewa kitabu cha Ufunuo wa Yohana soma mashahiri ya Shabaan Robert kama kusadikika utaelewa alikuwa anawasema Wakoloni, Magufuli alikuwa dijteta alitawala kwa mkono wa Chuma hata kumtaja jina watu waliogopa wakamuita Kayafa.

Mnyama 666 mpunga Kristo ni Caiser Nero, hii ndio hesabu ya kibinadamu kwenye kitabu cha Ufunuo.
 
Ni lazima uwe mfuasi wa dhehebu fulani??
Kuna jamaa yangu yeye huwa anasali anapojiskia ikifika siku ya ibada. Na hii ni baada ya kuona makandokado karibu kwenye kila kanisa.

Ni imani tu na mitazamo tu.

Je wakatoliki hawatumii biblia, hicho ndo tulikua tunajadili na mdau hapo!
Wa katoliki ndio waandishi wa Biblia, achana na wale original Author kina Luka, Mathayo etc.

Hii Biblia tunayosoma leo ni product ya katoliki huu ndio ukweli.

Ili unielewe hata kwenye Uislamu Quran haijaandikwa na Mungu, imeandikwa na kuchapwa na binadamu.

Watu wengi wanapenda tu kujitowa akili.
 
Mjinga mwingine huyu hapa, hiyo Biblia wameikusanya Wakatoliki na kuiweka kwenye kitabu kimoja.

Vipo vitabu kadhaa vya Apocrypha wameviondowa ikiwemo book of Daniel, sasa hicho cha Ufunuo wakiache ili wajiseme wenyewe? Ujinga mtupu.

Kitabu cha Ufunuo wa Yohana hakizungumzii mambo yajayo Bali mambo ambayo yameshatokea.

Mnyama mwenye chapa 666 ambayo ni hesabu ya kibinadamu ukikokotowa unapata majina ya Caiser Nero.

Sababu ya kitabu cha Ufunuo kuandikwa kwa mafumbo ni utawala wa mkono wa chuma wa Caiser Nero ambapo kanisa lilipitia mateso makubwa na Wakristo kuuwawa sana.

Caiser Nero alifikia hatua akifanya sherehe usiku kwenye kasri lake mishumaa yake ni Wakristo hai wanachomwa moto kumulika eneo kama ndio mishumaa yake.

Mpumbavu wa kwanza kuanzisha uvumi unaoaminiwa na wapumbavu wenzake kwamba mnyama 666 ni Papa alikuwa ni kasisi aliyetengwa na Vatican na kuingia Usabato.

Various fill dei ndio uvumi unaosamabzwa na wapumbavu na kuaminiwa na wapumbavu, Vicarious fill dei ni neno la kilatini ambalo maana yake ni makamu wa Mungu na kofia ya Papa maandishi hayo ambayo ndio 666 hayapo na Papa hawezi kujiita au kuitwa Makamu wa Mungu huu ni upumbavu mtupu unaoaminiwa na wapumbavu.

Ulitaka kuelewa kitabu cha Ufunuo wa Yohana soma mashahiri ya Shabaan Robert kama kusadikika utaelewa alikuwa anawasema Wakoloni, Magufuli alikuwa dijteta alitawala kwa mkono wa Chuma hata kumtaja jina watu waliogopa wakamuita Kayafa.

Mnyama 666 mpunga Kristo ni Caiser Nero, hii ndio hesabu ya kibinadamu kwenye kitabu cha Ufunuo.
Wa katoliki ndio waandishi wa Biblia, achana na wale original Author kina Luka, Mathayo etc.

Hii Biblia tunayosoma leo ni product ya katoliki huu ndio ukweli.

Ili unielewe hata kwenye Uislamu Quran haijaandikwa na Mungu, imeandikwa na kuchapwa na binadamu.

Watu wengi wanapenda tu kujitowa akili.
Humu ligii itakapoishaa Mimi nasemaga tukutane kweny hukumu tuu....... Hao sabato masalia wanajikuta watakatifu lkn ni binadamu na ni waovu tu km sis..... Kuiona pepo sio kaz ndg hata kdg neema na huruma ya Mungu tuu..... Vinginevyo mzee
 

Ni lazima uwe mfuasi wa dhehebu fulani??
Kuna jamaa yangu yeye huwa anasali anapojiskia ikifika siku ya ibada. Na hii ni baada ya kuona makandokado karibu kwenye kila kanisa.

Ni imani tu na mitazamo tu.

Je wakatoliki hawatumii biblia, hicho ndo tulikua tunajadili na mdau hapo!
Ufuasi wa dhehebu unatokeaje? Ufuasi wa dhehebu unatokea pale unapojiunga na dhehebu.
Mkristo hajiungi na dhehebu ama kanisa maana akifanya hivyo atatetea hilo kanisa hata kama limeenda chaka.
MKristo anazaliwa kwa Neno la Mungu na yeye daima atalitetea neno la Mungu bila kujari chochote kile


Kuhusu WAKATORIKI kutumia biblia. Kwanza tunatakiwa kufahamu biblia inasema kwamba halitakiwi kuachwa hata Neno moja Wala si ruhusa kuongeza. Kwa maana hiyo naamini bible ni Neno la Mungu na Mungu ni Neno. Hivyo ukiacha ama kuongeza huko ni kutokutumia bible ndivyo ilivyo Leo kwa catholic na madhehebu mengine wameacha NENO LA MUNGU Lakini kwa kujiongezea mafundisho Yao kwa mfano ;mwanamke kuhubiri, kunena kwa lugha bila kua na mfasiri, ubatizo wao ulivyo tofauti na ule wa mitume, kuwaomba wafu na maraika, n.k
 
Sijawahi kuona mkatholiki akikashifu au kukosoa dini za wengine ila wengine ndio huwa wanakashifu. Kwa misingi hii, hakuna vita hapa zaidi ya shambulio
Kwa sababu nyingi,miongoni mwanzo ni katoliki ni dini dhaifu kimisingi hata kwa biblia,yaani Haina uhusiano wowote na biblia,pili wakatoliki hawasomi,hawawezi Jenga hoja dhidi ya mtu,hawajui chochote ni kondoo
 
Back
Top Bottom