SDA, ni kanisa la kuundwa na watu. False prophets Ellen g white na Josep Smith ambaye ni know freemason. Walitabiri miisho ya dunia mara kibao bila mafanikio. Ni kikundi(cult) ya kishetani, kumbuka pia shetani anaweza kuja kama malaika wa mwanga,. Hilo kanisa ni la kishetani na vita ya shetani na kanisa la Yesu ni kali, ndio maana wasabato wao wana dili na katoliki. Kuhusu upapa hawaujui na hawasomi Bibilia vizuri. Na title zao za uongo za papa wametunga hazipo, mfano vicarius filii dei, haipo wanalazimisha 666, tafsiri yao ya ufunuo ni batili, kimsingi ni kikundi cha hovyo sana, hawapaswi ata kuitwa wakristo, kutwa wao ni kunanga tu.