Kwanini hakukuwa na Manabii/Mitume Waafrika (watu weusi)?

Kwanini hakukuwa na Manabii/Mitume Waafrika (watu weusi)?

Zingatia pia hakuna nabi Wala mtume Mzungu .Muarabu Wala Muasia .mitume karibu wote wanatokea uajemi na Africa na bila kubabaishwa Israel ilikuwa na ataa Leo hipo bara la Africa .na kama hujui mtume Ibrahim mke wake wa tatu na ambaye amezaa nae watoto wengi 6 ni Ketura mwafrika na ataa Yule mjakazi Suria ni mwafrika wa Egypt .Mtume Musa mke wake pia ni sipora bint ya kuhani wa midiani .Jetro mwafrika .Mtume Musa mwenyewe ni Muafrika .alikuwa Pharao mtarajiwa wa Egypt .kwa maelezo zaidi search YouTube : history of kemet au Cushite kingdoms

Heshima kwako
 
Zingatia pia hakuna nabi Wala mtume Mzungu .Muarabu Wala Muasia .mitume karibu wote wanatokea uajemi na Africa na bila kubabaishwa Israel ilikuwa na ataa Leo hipo bara la Africa .na kama hujui mtume Ibrahim mke wake wa tatu na ambaye amezaa nae watoto wengi 6 ni Ketura mwafrika na ataa Yule mjakazi Suria ni mwafrika wa Egypt .Mtume Musa mke wake pia ni sipora bint ya kuhani wa midiani .Jetro mwafrika .Mtume Musa mwenyewe ni Muafrika .alikuwa Pharao mtarajiwa wa Egypt .kwa maelezo zaidi search YouTube : history of kemet au Cushite kingdoms

Vitabu vingi sana vinatupumbaza na sisi tunavikumbatia..
 
Wapo wengi tu, Nabii Mwingiraz Mtume na Nabii Mwamposa, Nabii Goe Devie, Nabii yule wa Mafuta., Nabii TB Joshua, Nabii Kakobe nk.

Mitume na manabii wa kiafrika ni wengi sana

M/Mungu ameona atuletee hawa kama kutuliwaza na sisi tunaolalamika hatukuletewaga mitume cha hajabu hata hatuwataki.. daah sijui tukoje
 
Kama ujui Yesu sio Mzungu ni mwafrika ndio maana alienda kufichwa Egypt kwa waafrika.kwakuongezea Israel ilikuwa na ataa Leo hiko bara la Africa .umeona wapi bara likatenganishwa na mpaka .Misri ni afrika inaiachaje Israel jirani yake !?

Nzuri pia.. Mkuu
 
Poleni na mizunguuko ya dunia na karibuni

(1) kwanini hakukua na nabii au mtume MWAFRICA

(2) Nini M/MUNGU ametuficha au kuna baadhi ya mataifa ambayo sio ya AFRICA yametuficha vitu sisi waafrica

(3) au hawa manabii na mitume wa sasa wa AFRICA M/MUNGU ametuletea kama malipizi na sisi tupate manabii na mitume kama ni kweli mbona hatuwasikilizi tunawadhalau.. na wao mbona wanaonekana kama wanaongoza ibada zao kwa tamaa na mambo yasiyo sahihi KIUUNGU

(4) labda kwa kigezo cha AFRICA tumepewa mali wao wamepewa akili;:: hapana hata wao mali wanazo tena nyingi kuliko zetu na bado wanakuja kuvuna mali AFRICA

(5) na mbona wanasema binaadamu wa kwanza mwafrica alikuwa nyani.. na wao hawakuwa nyani.. mbona hiko kizazi cha nyani cha mwafrica akiendelei au waliwakusanya wale nyani wote waliokuwa wanageuka au wanazaa binadamu wakawaua.. KUNA HAJA YEYOTE YAKUENDELEA KUTUMIA VITABU(PROTOCOL) AMBAVYO HAVINA MSINGI NA VINA HISTORY MBAYA WALIOPAKAZIWA WAAFRICA..

Mpendwa wenu katika ujenzi wa taifa
Waafrika ni shithole utume watauwezea wapi?
 
Ukweli ni kwamba hakukuwa na mtume muafrika kati ya wale mitume wa Yesu
Ila Kuna mitume walikuwa special for gentlies (watu wa mataifa ) amabao sio Israel mfano ni mtume Petro.
Kumbuka Yesu alizaliwa alizaliwa Bethlehem huko Nazareth Israel ingawa alibeba package ya Dunia nzima
Ndio maana baada ya wao kujazwa nguvu za Roho mtakatifu aliwaambia
Nendeni muwe mashahidi wa mambo haya hata mwisho wa nchi
So Yesu akawa Mbegu ambayo Leo hii tumekuwa mashahidi wengi wengi Sana bila kujali Rangi, Kabila, Taifa,
Kanisa linadumaza Sana uwezo wa kufikili.
 
Inaonekana afrika kulikuwa hakuna dhambi. Sasa wenda wao ndio walikuwa na dhambi sana ndio maana Mungu akaweka msisitizo huko.
Mwenye afya haitaji tabibu bali aliye mgonjwa ndio uhitaji tabibu
Kanisa linafifisha Sana uwezo wa kufikili.
 
Okay, kama ni hivyo umekubali kuwa manabii wote ni Wazungu. Kwa nini sasa uendleze mjadala huu?

Nilikuwa na mawazo tangu jana;; kuwa hapa atakuja PROFESSOR mmoja ambaye akili zake hazipo timamu atakuja kufunga huu mjadala.. na sidhani kama ndio wewe.. kama sio wewe ngoja tuendelee kusubiri
 
Kwa kuwa wametuzidi katika upeo wa kufikiria, walijiundia tu manabii na mitume wa kiana nasi tukakubali bila kuhoji.
 
Kuna maswali flani ukiuliza watu, wanatoka nje ya mada although hakuna jibu lolote kuhusu swali husika.

Mfano; Imani, Dini ya waafrika ilikuwa ipi kabla ya hizi za kuletewa?.
 
Umejuaje kuwa ni Palamagamba? Utakuwa nabii wewe!!
Nilikuwa na mawazo tangu jana;; kuwa hapa atakuja PROFESSOR mmoja ambaye akili zake hazipo timamu atakuja kufunga huu mjadala.. na sidhani kama ndio wewe.. kama sio wewe ngoja tuendelee kusubiri
 
Kwa kuwa wametuzidi katika upeo wa kufikiria, walijiundia tu manabii na mitume wa kiana nasi tukakubali bila kuhoji.

Asante sana .. na karibu kama utapenda... shukrani
 
Kuna maswali flani ukiuliza watu, wanatoka nje ya mada although hakuna jibu lolote kuhusu swali husika.

Mfano; Imani, Dini ya waafrika ilikuwa ipi kabla ya hizi za kuletewa?.

Unakuta kijana ana miaka 35-40 hajui ukoo wake anamjua babu yake mmoja tu na baba yake.. wakati alitakiwa ajue mababu zake KUMI au na zaidi waliopita huko nyuma ambayo ingemsaidia kujua DINI yake au nini afanye katika swala zima la kuabudu
 
Back
Top Bottom