Ukikubali tukajadili uwepo wake maana kuna mashaka anaweza asiwepo kweli , ulisha wahi sikia nan humu ndani ana mashaka na uwepo wa Mr Mello? Na kuhojiUkiuliza kawekwa na nani,maana yake umekubali yupo,sawa!?
Kuna mtoto mmoja wa kike wa Adamu na hawa ametajwa kwenye Biblia mara moja tuu ila sikumbuki ni kwenye kitabu gani ngoja ntafatilia.Adam na Eva waliiwahi kuzaa watoto wa kike pia, ila hawakutajwa kwenye Biblia na mmoja wao ndiyo huyu aliyekuja kuolewa na Kaini. Walikuwa wanaruhusiwa kuoana mtu na dada yake
Umeuliza swali ili upate jibu au ili udhihaki?Hizi ni stori kama stori za Abunuwasi
Apo ili kuelimishwa inabidi upande mmoja ukubali kuwa zuzu ili kulishwa matango porimajadiliano yenu Nasikitika kusema kwamba yatazid kuwachangany nyinyi wenyewe .Asilimia kubwa ya wachangiaji wanataka kujiona wao ndo wajuzi zaidi ya wachangiaj wengine mnapotez lengo la kuelimishana
Hakuna anayehoji uwepo wa Mello humu ndani sababu hakuna kipofu,Ila duniani mpo vipofu msioona alama/dalili za Mungu,hapo mna mapafu na pua za kuvutia na kutolea hewa iliyopo bwerere dunianiUkikubali tukajadili uwepo wake maana kuna mashaka anaweza asiwepo kweli , ulisha wahi sikia nan humu ndani ana mashaka na uwepo wa Mr Mello? Na kuhoji
Jogoo na Pazi,,Hawafu mwenye Nguvu,,Mzee Tola Kula Gizani nk nk!!Hizo ni hadithi tu hazina uhalisia na ukweli , kama za ,juma na uledi, sikuelewi , chunguza na maua, na chilunda apambana na chui.
Muulize Mungu mwenye biblia yakeHabari zenu,
Naombeni majibu ya haya maswali kwenye maneno ya Biblia:
"Ukisoma mwanzo unaambiwa Adam na Hawa walimzaa Kaini na Habili, baadaye Kaini alimuua nduguye Habili. Baada ya hiyo hali Mungu akamfukuza Kaini (Kaini akatoka mbele za uso wa Bwana akakaa katika nchi ya Nodi mbele ya Edeni). Kaini akamjua mkewe naye akapata mimba akamzaa Henoko."
Swali liko hapo; Huyo mke wa Kaini alitoka wapi wakati Mungu alikuwa ameumba watu wawili tu na walizaa watoto wawili na kati ya hao mmoja alikuwa amefariki? Huyo mke alitoka wapi, embu tupeni majibu?
Biblia ni chai [emoji478][emoji478][emoji261][emoji261]Kutoka misri mpka Israel ni km 623, ila musa na genge lake walitembea miaka 40, wastani wa km 15 kwa mwaka ,sawa na km 125 kwa mwezi, saw na mita 42 kwa siku sawa na uwanja wa mpira wa miguu[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Mzee sariboko, sadiki na chitemo, lindu ampiga kampilima , hawafu mwenye nguvu na mutegeki na nyembo.Jogoo na Pazi,,Hawafu mwenye Nguvu,,Mzee Tola Kula Gizani nk nk!!
Mbona sasa unalalamika , ili uamini uwepo wa Mungu lazima ukubali kuwa kipofu.Hakuna anayehoji uwepo wa Mello humu ndani sababu hakuna kipofu,Ila duniani mpo vipofu msioona alama/dalili za Mungu,hapo mna mapafu na pua za kuvutia na kutolea hewa iliyopo bwerere duniani
Hewa iliyopo duniani ina thibitisha vipi uwepo wa huyo Mungu?Hakuna anayehoji uwepo wa Mello humu ndani sababu hakuna kipofu,Ila duniani mpo vipofu msioona alama/dalili za Mungu,hapo mna mapafu na pua za kuvutia na kutolea hewa iliyopo bwerere duniani
Hairuhusiwi na nani?.Hizo ni sheria za nchi mbalimbali kulingana najinsi walivyoona.Na ziko nchi wanazaana,labda sheria ya nchi yako kwasababu za ustaarabu na magonjwa.Uko nyuma walikua wanazaana ndo maana kipindi cha safari ya waisraeli walipewa amri ya kutokulala na dada yako,walikatazwa kwasababu nijambo ambalo lilikuwepo.soma kumbukumbu la torati 27:22.Kwahiyo watoto wa Adamu wa kike walizaa na Kaini?? Kama hivyo kwann hairusiwi kuzaa na ndugu yako
Ni kinyume,sisi waislam QUR'AN inatutaka tutafakari maumbile ya ulimwengu na walimwengu Kama dalili ya kuwepo Mungu,hatuamini kibubusa,ndiyo maana Quran Inauliza Sana maswali 'hivi hawafikiri' 'hivi hawana akili'?!..tusipokuteremshieni maji mawinguni je ni nani atakuteremshieni!?..tumekuumbeni kwa tone la manii hatua kwa hatua,hivi hamfukiri,hivi tumekuumbeni nyingi imara au mbingu tulizoziumba!?..yote kufanya mtu atafakariMbona sasa unalalamika , ili uamini uwepo wa Mungu lazima ukubali kuwa kipofu.
Pua yako na mapafu vilijuaje kwamba utahitaji hewa iliyopo duniani ili uweze kuishi Hadi vikawepo hapo!?..macho yako yalijuaje kuwa duniani Kuna mwanga so yakae hapo ili uone!?Hewa iliyopo duniani ina thibitisha vipi uwepo wa huyo Mungu?
Kwanza kama huyo Mungu yupo anacho jifichia huko ni nini?
Kama yaliyo andikwa kwenye Biblia ni yale ya muhimu tu,Biblia yaliyoandikwa ni yale muhimu kwa mhtasari tu kati ya mambo mengi yakiyotokea.Baada ya adamu kuumbwa alizaa watoto wakiume na wakike na walizaana wenyewe kwa wenyewe hadi wakaongezeka.Watoto walioandikwa ni watatu tu wakiume waliokua na jambo la muhimu.Pia unatakiwa kujua toka Adam hadi Mussa ambaye ni mwandishi wa kitabu cha mwanzo ilipita miaka mingi.kwahiyo maisha yalishaendelea miaka mingi.Kwa mfano rahisi ni huu,waliopigania harakati za uhuru wa Tz walikua wengi lakini wanaotajwa nakuwepo kwenye maandishi ya historia ni wachache.Nadhani umeelewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulitaka uandikiwe kila kitu?.Akili zako zitakua zinafanya kazi gani sasa.Kwanini hawakuzungumziwa na ilikuwaje wakakatazwa kuoana ? Wewe umejuaje kama Adam na hawa walikuwa na watoto wa kike Imeandikwa wapi leta jibu
Anae hoji hivyo ni nani kwenye hiyo Qur'an?Ni kinyume,sisi waislam QUR'AN inatutaka tutafakari maumbile ya ulimwengu na walimwengu Kama dalili ya kuwepo Mungu,hatuamini kibubusa,ndiyo maana Quran Inauliza Sana maswali 'hivi hawafikiri' 'hivi hawana akili'?!..tusipokuteremshieni maji mawinguni je ni nani atakuteremshieni!?..tumekuumbeni kwa tone la manii hatua kwa hatua,hivi hamfukiri,hivi tumekuumbeni nyingi imara au mbingu tulizoziumba!?..yote kufanya mtu atafakari