Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Ina maana hata wewe hujui mkeo alitoka wapi?Huyo mke alitoka wapi, embu tupeni majibu?
????Kama yaliyo andikwa kwenye Biblia ni yale ya muhimu tu,
Hayo mambo mengine ya kwamba Adamu alizaa watoto wakike na wakiume kisha waka zaana wao kwa wao na kuongezeka, Umeyapata wapi?
Na umejuaje na unathibitishaje?
Haya mambo yasiyo ya muhimu ambayo haja andikwa, kwa nini hayaku andikwa?
Unathibitishaje yaliyo andikwa kwenye Biblia ndio ya muhimu tu?
Maelezo mengi sana ila huonyeshi maandiko... Huu ndio utapeliAdam na Eva waliiwahi kuzaa watoto wa kike pia, ila hawakutajwa kwenye Biblia na mmoja wao ndiyo huyu aliyekuja kuolewa na Kaini. Walikuwa wanaruhusiwa kuoana mtu na dada yake
Kabla dini hazijafika Africa miaka 200 iliyopita tulikua hatuzaliani kwani?Ina maana hata wewe hujui mkeo alitoka wapi?
Biblia ipo wazi sana "zaeni mkaongezeke...."
Baada ya ndoa ya Adam na Eva wanadamu walizaliwa na wakazaliana, hadi leo hii wanazaliana na ndio maana na wewe ulizaliwa.
Hadi Leo upo serious unaamini story za biblia. Ungeanza kuuliza nyoka aliongeaje ningekuona wa maana. Ungeanza kuuliza maji ya kujaza mafuriko dunia nzima yanatokea wapi ningekuona kidogo upo logical ? Achana na majibu ya wakristo kutetea kitabu Chao Cha katuni...ukweli ni hio ni story na zipo kibao Kama hizi katika dini za kale za middle east ni copy n paste n edit so zoea makosa mengi kwenye genesis story nyingi sio original ni oral traditions za watu wa jamii mbalimbali kipindi hichoHabari zenu,
Naombeni majibu ya haya maswali kwenye maneno ya Biblia:
"Ukisoma mwanzo unaambiwa Adam na Hawa walimzaa Kaini na Habili, baadaye Kaini alimuua nduguye Habili. Baada ya hiyo hali Mungu akamfukuza Kaini (Kaini akatoka mbele za uso wa Bwana akakaa katika nchi ya Nodi mbele ya Edeni). Kaini akamjua mkewe naye akapata mimba akamzaa Henoko."
Swali liko hapo; Huyo mke wa Kaini alitoka wapi wakati Mungu alikuwa ameumba watu wawili tu na walizaa watoto wawili na kati ya hao mmoja alikuwa amefariki? Huyo mke alitoka wapi, embu tupeni majibu?
Mwenyezi MunguAnae hoji hivyo ni nani kwenye hiyo Qur'an?
Acha kumtisha jibu swali ..dini kama ya Mungu mbona unaifichia makosaMkuu kama uko tayari kuiacha dini yako wewe endelea kuichunguza.
🤣🤣🤣 basi jioni njema mkuuMwenyezi Mungu
So waliacha kuruhusiwa lini...😂 kumbuka lot alitaka kuwagawa watoto wake wabakwe na mtaa mzima afu baadae akalala nao...😂biblia ni kama porno story zakeWewe ndio unavuruga kabisaa 🤣🤣🤣
We unaongea Nini weweKuna wengne wanadai bustani ya edeni ilikua ni maabara ya kufanya modification ya mtu, kutoka viumbe wa sayari za mbali , ndio wakatuletea hawa ngozi nyeupe wote , ila mtu ambae ni mweusi alikuwepo tu ,hao viumbe ni wana wa adamu, na ulikua ni mpango wa hao viumbe kuitawala dunia kupitia hao wanadamu ( weupe) dhidi yetu sisi watu , hizi ni dhana ambazo bado zipo kama story ila zinafkirisha coz inaaminika mtu mweusi kaishi miaka mingi duniani kuliko mweupe .
Kwa Nini hawahesabiwi...Mungu aliyoumba ni mbaguzi?Enzi hizo wanawake walikuwa hawahesabiwi, hata mtu akiwa na watoto kumi tisa wanawake alikuwa anahesabiwa ana mtoto mmoja. Hivyo watoto wa kike walikuwepo.
Leo hii watu wanaenda mwezini mbona hawamfikii huyu Mungu...sembuse ghorofa... afu eti lugha. Burj khalifa imejengwa na watu wa mataifa na lugha tofauti na limesimama...😂yaani genesis nzima ni kama animation tuSio balaa ww unaamini kabisa eti watu walijenga mnara kumfikia Mungu????
Sijaongea mimi mkuu nimejisomea tu mahali sio lazima iwe ni kweliWe unaongea Nini wewe
What's the historical evidence to back up this story? Au ni hekaya tu za abunuasiHakuna cha kutunga. Kila kitu ni Halisia. Mwalimu wa wa theology alikueleza ukweli. Biblia katika mwanzo 5:1-2 inasema "Adamu alizaa wana wa kike na kiume". Mwanzo 6:1-2 pia inasema Wana wa "Wanadamu waliopoongezeka juu ya uso wa nchi, wana wa Mungu wakijitwalia wanawake miongoni mwao na wakazaa nao watoto"
Umeeleza vizuri na mwalimu wa theology alikueleza vizuri. Hawakuwa wanahesabu wanawake na pia wasingeweza kuandika majina ya watu wote wawe Bible Characters lakini baadhi ya maandiko nje ya Biblia"Abrahamic Texts" kama 'The book of Jubilee" kinaeleza mke wa Kaini alikuwa ni mmoja wa Dada yake yaani pacha wake aliyekuwa anaitwa "AWAN" na pia ndio chanzo cha kifo cha Habili kwani walimgombea Dada yao.
Nasubiria majibu yaoToa udhibitisho apa kila mtu ajue Mungu yupo wap na kwa nini ajifiche na kwa nini aumbe watu ambao baadae hawatafuata matakwa yake kama kweli yeye ni mweza wa yote na hakosei.
Kuzaana hakukuletwa na waeneza dini.Kabla dini hazijafika Africa miaka 200 iliyopita tulikua hatuzaliani kwani?
😂Mpo serious na hizi sheria kweli...Mungu alisema msichanganye mazao kwenye shamba moja mbona hamfatiBiblia haielezi umri wa Kaini wakati alipomuua ndugu yake Habili (Mwanzo 4:8). Kwa kuwa wote walikuwa wakulima, lazima wawe walikuwa watu wazima, hata pengine na jamii zao.
Adam na Hawa walikuwa wamepata watoto wengine mbali na Kaini na Habili wakati Habili alipouawa. Walipata wengi wengine baadaye mwanzo 5:4.
Ile hali ya Kaini kuhofu sana juu ya usalama wake baada ya kumuua Habili mwanzo 4:14 inathibitisha kulikuwako na watoto wengi wengine pia na wajukuu na hata vilembwe wa Adamu na Hawa.
Kwa kuwa Adamu na Hawa walikuwa wanadamu wa kwanza duniani, watoto wao hawakuwa na lengine ila kuoana.
Mungu hakukataza kuoana kwa jinsi hii mapema mpaka dunia ilipokuwa na watu wakutisha ndipo akakataza aina hii ya kuoana mambo ya walawi 18:6-18.
Sababu ya madhara ya ndoa za kaka na dada ni kwamba kama kila mmoja wao alikuwa na hali Fulani ya kilema ndani yaoya kurithi basi atakayezaliwa atakuwa mwenye kurithi kutoka kwa wote wazazi wawili, hivyo basi kuwa hali mbaya zaidi kuliko waliomzaa
Habari zenu,
Naombeni majibu ya haya maswali kwenye maneno ya Biblia:
"Ukisoma mwanzo unaambiwa Adam na Hawa walimzaa Kaini na Habili, baadaye Kaini alimuua nduguye Habili. Baada ya hiyo hali Mungu akamfukuza Kaini (Kaini akatoka mbele za uso wa Bwana akakaa katika nchi ya Nodi mbele ya Edeni). Kaini akamjua mkewe naye akapata mimba akamzaa Henoko."
Swali liko hapo; Huyo mke wa Kaini alitoka wapi wakati Mungu alikuwa ameumba watu wawili tu na walizaa watoto wawili na kati ya hao mmoja alikuwa amefariki? Huyo mke alitoka wapi, embu tupeni majibu?
😂😂kumbuka katikati Kuna mafuriko hapo na Kuna babel pia...so eleweka watu walitawanyika liniKuzaana hakukuletwa na waeneza dini.
Ipo hivi watoto wa Adam walipozaana waliongezeka na kuenea kila pahali wengine walikuja hadi koromije na Gamboshi wapo huko mpaka leo.