Kwanini hamtaki kujibu haya maswali kwenye Biblia?

Huyo mke alitoka wapi, embu tupeni majibu?
Ina maana hata wewe hujui mkeo alitoka wapi?

Biblia ipo wazi sana "zaeni mkaongezeke...."

Baada ya ndoa ya Adam na Eva wanadamu walizaliwa na wakazaliana, hadi leo hii wanazaliana na ndio maana na wewe ulizaliwa.
 
????
 
Ina maana hata wewe hujui mkeo alitoka wapi?

Biblia ipo wazi sana "zaeni mkaongezeke...."

Baada ya ndoa ya Adam na Eva wanadamu walizaliwa na wakazaliana, hadi leo hii wanazaliana na ndio maana na wewe ulizaliwa.
Kabla dini hazijafika Africa miaka 200 iliyopita tulikua hatuzaliani kwani?
 
Hadi Leo upo serious unaamini story za biblia. Ungeanza kuuliza nyoka aliongeaje ningekuona wa maana. Ungeanza kuuliza maji ya kujaza mafuriko dunia nzima yanatokea wapi ningekuona kidogo upo logical ? Achana na majibu ya wakristo kutetea kitabu Chao Cha katuni...ukweli ni hio ni story na zipo kibao Kama hizi katika dini za kale za middle east ni copy n paste n edit so zoea makosa mengi kwenye genesis story nyingi sio original ni oral traditions za watu wa jamii mbalimbali kipindi hicho
 
Adam aliendelea kuzaa Wana na mabiti hao wawili wametajwa Kwasababu walikuwa kwenye divine appointment
 
We unaongea Nini wewe
 
Sio balaa ww unaamini kabisa eti watu walijenga mnara kumfikia Mungu????
Leo hii watu wanaenda mwezini mbona hawamfikii huyu Mungu...sembuse ghorofa... afu eti lugha. Burj khalifa imejengwa na watu wa mataifa na lugha tofauti na limesimama...😂yaani genesis nzima ni kama animation tu
 
What's the historical evidence to back up this story? Au ni hekaya tu za abunuasi
 
Toa udhibitisho apa kila mtu ajue Mungu yupo wap na kwa nini ajifiche na kwa nini aumbe watu ambao baadae hawatafuata matakwa yake kama kweli yeye ni mweza wa yote na hakosei.
Nasubiria majibu yao
 
Kabla dini hazijafika Africa miaka 200 iliyopita tulikua hatuzaliani kwani?
Kuzaana hakukuletwa na waeneza dini.

Ipo hivi watoto wa Adam walipozaana waliongezeka na kuenea kila pahali wengine walikuja hadi koromije na Gamboshi wapo huko mpaka leo.
 
😂Mpo serious na hizi sheria kweli...Mungu alisema msichanganye mazao kwenye shamba moja mbona hamfati
 

Hayo maswali tumeshatoka huko. Ni maswali ya wanafunzi au watoto waliochini ya miaka ishirini.

Kwenye simulizi yoyote msimuliaji husikiliza matukio na wahusika wakuu kutegemea na dhamira na ujumbe wa simulizi yake.

Ni sawa na Uulize Mke wa Nuhu au Daniel, au Isaya, aliitwa nani?,
Au Uulize Mke wa Ishmael aliitwa nani?

Huwezi elezea kila kitu
 
Kuzaana hakukuletwa na waeneza dini.

Ipo hivi watoto wa Adam walipozaana waliongezeka na kuenea kila pahali wengine walikuja hadi koromije na Gamboshi wapo huko mpaka leo.
😂😂kumbuka katikati Kuna mafuriko hapo na Kuna babel pia...so eleweka watu walitawanyika lini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…