SimbaMpole123
JF-Expert Member
- Apr 23, 2023
- 5,501
- 4,956
😂😂😂Tumesoma na tumeona ni upuuzi ndo maana tunakuambia...na biblia kutoeleweka sio shida yangu...unaandika ujumbe unaoeleweka sio unacheza kombolela na watuUngeisoma kwanza biblia ndio ukaja na maswali.Kama hujaisoma ata ukiambiwa utazalisha tu maswali ambayo hayatafikia muafaka.Biblia sio sawa na moja jumlisha moja kwasababu imeandikwa na waandishi wengi kwa nyakato tofauti tofauti japo lengo ni lile lile.Siko kwenye mazingira mazuri yakukujibu ila kama unataka kujua majibu tafuta biblia uisome.
Sent using Jamii Forums mobile app
😂Jau Hawa ..wazoeeKusadikika mkuu ukihoji utasikia kiburi ni hiyo pumzi uliyo nayo mara kwa vile una afya na blabla nyingi za vitisho.
Uhindu una miungu wengi,mmoja wapo ng'ombe,asubuhi wahindi hunywa mkojo wa ng'ombe na mavi yake kidogo,Wala hawaamini juu ya Mungu mmoja Wala siku ya mwisho,so watoke kwenye equation,siwezi kuwa mhindu,hata wazazi wangu wangekua wakiristo,ningesilimi tu,sababu huwa sifati mkumbo,hata hivyo hili haliwezi kuwa dalili kuwa Mungu hayupo Bali yupo ndiyo maana makundi tofauti wanamgombea huyo Mungu..hivyo tofauti haiwezi kuwa hoja ya kutokuwepo Mungu😂😂😂😂We unasema dini yako ya kweli coz umezaliwa kwenye hii dini ya wazazi wako ..that's not logical.. ungezaliwa kwa wahindu ungekuwa Mhindu..so unajuaje dini ya wazazi wako ni dini sahihi na ya muumba na sio zingine...coz dini zote duniani zinampachika Mungu wao hizi kazi
Habari hiyo umeitoa wapi, ilhali kwenye bible haikuandikwa?Enzi hizo wanawake walikuwa hawahesabiwi, hata mtu akiwa na watoto kumi tisa wanawake alikuwa anahesabiwa ana mtoto mmoja. Hivyo watoto wa kike walikuwepo.
Ile story ya kutungwa acha ubishi...watu wameenda kuchimbua hamna hata kikombe pale Wala mifupa ya watu na watu walipita miaka 40 kweli upo serious ...😂😂😂Hizi katuni broWalikua hawatembei msafara moja kwa moja kama unavyofikiri.Ungekua una nia yakuelewa ungepata majibu ila kwavike nia yako nikuonyesha makosa inakua haina haja yakukuelimisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii data umeitoa wapi....Adam na Eva hawakuzaa watoto wawili tu, walizaa watoto wengi wakiwemo watoto wa kike. Kilichofanyika Cain alimuoa dada yake wakaendeleza ukoo mpaka sasa.
Kwa hiyo mpaka sasa tunaoana kaka na dada
Muumba wa dini ipi asa...afu why tumuabudu kwani akiabudiwa ananenepa?Acha kuwaza hayo mambo maana hayaleti ugali mezani, cha msingi amini imani yako,muabudu muumba wako basi inatosha.
Unataka evidence gani mkuu?What's the historical evidence to back up this story? Au ni hekaya tu za abunuasi
😂😂😂So anacheza kombolela.... afu anapiga chupa.. tunaanza upyaBasi, imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni uhakika wa mambo tusiyoyaona.
Now faith is confidence in what we hope for and assurance about what we do not see
Na pasipo imani haiwezekani kumpendeza Mungu kwa maana kila mtu anayemjia ni lazima aamini kuwa yupo na kwamba yeye huwapa tuzo wale wanaomtafuta kwa bidii.
And without faith it’s impossible to please God; for those who come to worship God must believe that he really does exist, and that he rewards those who seek Him. (Heb 11:1,6)
No,siyo tufanye,ni kwamba huna hoja,na ni kweli huwezi sema wewe na ng'ombe unayemla supu mmetokea wapi,au unaweza!?Aya tufanye nimekwama na wewe umefanya mungu awepo.
We unajuaje mkwawa alipigana vita na wajerumani?Unataka evidence gani mkuu?
Story ya safina ina ukakasi mwingi sanamwanzo 1-8 ni hadithi za kutungwa,
😂Kutojua doesn't mean god did it...ukishaelewa hivi bac...watu walisema mvua ni maji kutoka mbinguni yanamwagwa na Mungu mbona Leo Hadi watoto wa primary wanajua how rain is formed hili Chaka la kumficha Mungu linazidi kupungua day by day tuNo,siyo tufanye,ni kwamba huna hoja,na ni kweli huwezi sema wewe na ng'ombe unayemla supu mmetokea wapi,au unaweza!?
😂😂😂Simba polar bear bacteria fungus plasmodium kangaroo wote kwenye kaboat kamoja Cha mbaoStory ya safina ina ukakasi mwingi sana
Sio kweli kuhusu suala la vitisho mimi ninachoona uislamu ni imani iliyo na misingi imara kiasi kwamba misingi iliyojiwekea inazidi kila kukicha kuvuna waumini kutoka dini tofauti😂😂😂Waislamu vitisho vingi....Mara ukiondoka uislamu unachinjwa...Mara moto wao cjui wameuelezea Kama unapikwa...Mara adhabu kaburini...Mara cjui malaika atakuuliza kiarabu...Mara cjui majini...😂imewekwa in a way ni vigumu Sana kutoka coz of uwoga...
Labda nilikuwa mbali na simu. Hoja yako ni ipi bro? Mbona mambo yapo wazu na yanaeleweka tu, mbona unakaza Fuvu humu bila sababu? Nini hasa shida yako nikujibu?Acha waziamni tu ukiona wana vichwa vigumu zisome kwa undani fungua kanisa piga pesa kondooo ni wengi.
Why Mungu aruhusu ubaguzi wa kijinsia katika kitabu chake takatifuDaah mkuu mbona unauliza hilo swali jepesi sana,nitakujibu kama mtaalamu wa maandiko ya kale
Biblia ni torati iliyoandikwa na wayahudi na wayahudi wa kale walikua hawahesabu watoto wa kike kwenye kitabu cha torati,mpaka itokee sababu kama ya watoto wa yakobo na dada yao,au absalom na dadake Tamari.
Adamu wa kwenye torati alizaa na watoto wa kike na walioana na kaka zao.Soma kitabu cha Enoko mkuu ujue vizazi vya huyo adamu..
NB: SOMA KITABU CHA ENOKO KWENYE TORATI YA WAYAHUDI UMJUE ADAMU
Anza na kifungu mwanzo aya ya...mstari wa... Usiseme mawazo yako.Adam na Eva waliiwahi kuzaa watoto wa kike pia, ila hawakutajwa kwenye Biblia na mmoja wao ndiyo huyu aliyekuja kuolewa na Kaini. Walikuwa wanaruhusiwa kuoana mtu na dada yake
Weka humo black mamba, wale vyura wenye sumu wa amazon usisahau kifaru na mamba😂😂😂Simba polar bear bacteria fungus plasmodium kangaroo wote kwenye kaboat kamoja Cha mbao