Kwanini hamtaki kujibu haya maswali kwenye Biblia?

Kwanini hamtaki kujibu haya maswali kwenye Biblia?

🤣Hivi kitu kisiwe na evidence kipitishwe na serikali tujifunze in history na biology kweli. Ingia utafute evolution ni Nini ndo uelewe maana yake we umeambiwa na walimu wako uchwara evolution ni nyani kuwa binadamu...hii sio evolution na hamna kitu Kama hicho ..soma evolution uelewe afu ndo ubishane ujinga
Evolution yenyewe ina-evolve,ulaya wanawaita weusi nyani sababu hilo nyuma tulifundishwa hivyo,shule both bingo/theory ambazo zimekua debunked bado zinafundishwa, Dalton s atomic theory bado inafundishwa,niliona watu wa evolution wanadai tuta-develope mapezi kama samaki huko mbele🤣
 
🤣So hapo Muhammad alimaanisha universe....ila kwenye protective ceiling heaven ghafla imekuwa sky...🤣Kwa taarifa yako watu wa enzi hiyo including mudi hawakujua universe walijua dunia Ina anga ambayo in jua na mwezi(zinafuatana according to Quran)...alafu siku na usiku zinazunguka dunia ..🤣acha kujikosha Quran tunaijua
Universe ni anga,kwamba hawakujua anga
Quran 23:18
And we sent down water from the heaven in proper quantity...
 
Evolution yenyewe ina-evolve,ulaya wanawaita weusi nyani sababu hilo nyuma tulifundishwa hivyo,shule both bingo/theory ambazo zimekua debunked bado zinafundishwa, Dalton s atomic theory bado inafundishwa,niliona watu wa evolution wanadai tuta-develope mapezi kama samaki huko mbele🤣
🤣So solution yako ni kuamini Kuna kiumbe kiliumba kila kitu kutoka kwenye maji na kikagawa ardhi na mbingu(whatever that means)
 
Universe ni anga,kwamba hawakujua anga
Quran 23:18
And we sent down water from the heaven in proper quantity...
🤣🤣🤣🤣Heaven meant sky.... ndo walichojua. Na Quran inasema Mungu anaishikilia isianguke...🤣pia anatoa ruhsa mtu kutoka nje ya hio sky...asa cjui nasa walimuomba ruhsa...
 
🤣🤣🤣🤣Heaven meant sky.... ndo walichojua. Na Quran inasema Mungu anaishikilia isianguke...🤣pia anatoa ruhsa mtu kutoka nje ya hio sky...asa cjui nasa walimuomba ruhsa...
Kwa akili yako unajua kaishikilia kwa mikono!!?..aliposema anatuumba matumboni mwa mama zetu unajua anachanganya mambo tumboni kama fundi ujenzi na zege!!..acha ujinga
 
Siyo solution,ni fact...kama hayupo muumbaji tuambie ulimwengu umetoka wapi
I don't know? Na sio lazma kujua? Watu wanaofatilia wamejua vingapi ambavyo mlivitungia story za kimungu...from mvua...to origin of species...to solar system yetu...to earthquake.. magonjwa... hallucinations etc. Na vyote vikawa na majibu ya natural na sio ya kimungu.
Labda unaweza ukaniconvince Kuna muumba sawa. Lakini bado una long way to go kusema Islam is true kwa sababu kila dini inaweza ikaamka kusema Mungu wake ndo muumba wengine ni waongo. So just because hatujui jibu we can't just say yes to any answer. Unanielewa.
 
Kwa akili yako unajua kaishikilia kwa mikono!!?..aliposema anatuumba matumboni mwa mama zetu unajua anachanganya mambo tumboni kama fundi ujenzi na zege!!..acha ujinga
🤣🤣🤣🤣🤣Usizuge
 

Attachments

  • images (63).jpeg
    images (63).jpeg
    31.8 KB · Views: 4
I don't know? Na sio lazma kujua? Watu wanaofatilia wamejua vingapi ambavyo mlivitungia story za kimungu...from mvua...to origin of species...to solar system yetu...to earthquake.. magonjwa... hallucinations etc. Na vyote vikawa na majibu ya natural na sio ya kimungu.
Labda unaweza ukaniconvince Kuna muumba sawa. Lakini bado una long way to go kusema Islam is true kwa sababu kila dini inaweza ikaamka kusema Mungu wake ndo muumba wengine ni waongo. So just because hatujui jibu we can't just say yes to any answer. Unanielewa.
Natural na siyo kimungu(maana yake yake nini!?)...lakini bado una long way to go kusema islam is true....upo for the sake of debate...have a good day
 
Natural na siyo kimungu(maana yake yake nini!?)...lakini bado una long way to go kusema islam is true....upo for the sake of debate...have a good day
🤣Kwani nature ni Nini? Kama Mungu unayemuamini ameweka vitu naturally vinafanya kazi ye hahusiki Tena freshi...ila Mungu wa dini ni wakunyesha mvua kutoka mbinguni akikasirika
 
Habari zenu,

Naombeni majibu ya haya maswali kwenye maneno ya Biblia:

"Ukisoma mwanzo unaambiwa Adam na Hawa walimzaa Kaini na Habili, baadaye Kaini alimuua nduguye Habili. Baada ya hiyo hali Mungu akamfukuza Kaini (Kaini akatoka mbele za uso wa Bwana akakaa katika nchi ya Nodi mbele ya Edeni). Kaini akamjua mkewe naye akapata mimba akamzaa Henoko."

Swali liko hapo; Huyo mke wa Kaini alitoka wapi wakati Mungu alikuwa ameumba watu wawili tu na walizaa watoto wawili na kati ya hao mmoja alikuwa amefariki? Huyo mke alitoka wapi, embu tupeni majibu?
Adamu baadae alizaa watoto wengi wakike na wakiume. Na usisahau miaka ile watu walikuwa wanaishi mpaka miaka mia tisa so walikutana na watu wengi tu baadae.
 
Habari zenu,

Naombeni majibu ya haya maswali kwenye maneno ya Biblia:

"Ukisoma mwanzo unaambiwa Adam na Hawa walimzaa Kaini na Habili, baadaye Kaini alimuua nduguye Habili. Baada ya hiyo hali Mungu akamfukuza Kaini (Kaini akatoka mbele za uso wa Bwana akakaa katika nchi ya Nodi mbele ya Edeni). Kaini akamjua mkewe naye akapata mimba akamzaa Henoko."

Swali liko hapo; Huyo mke wa Kaini alitoka wapi wakati Mungu alikuwa ameumba watu wawili tu na walizaa watoto wawili na kati ya hao mmoja alikuwa amefariki? Huyo mke alitoka wapi, embu tupeni majibu?
kwa harakaharaka, tangu enzi, mtu wa muhimu alikuwa ni mwanaume, wanawake hata wakiwepo walikuwa hawahesabiwi. hata unapoambiwa Yesu alilisha watu 5000 mikate, hao ni wanaume tu, wanawake walikuwa hawahesabiki. pamojana kwamba Adam na Eva walizaa Kaini na Habili awali, na baadaye seti baada ya kifo cha Habili, wapo wanawake pia walizaliwa out of them, pia jua watu hao waliishi miaka mingi sana duniani, kwamfano, Kaini aliishi duniani kwa miaka 730, na inasemekana kipindi anamuua kaka yake habili, alikuwa na miaka 130. kama adam alikuwa na mabinti, jua wakifikisha miaka 13 tu wameshavunja ungo, wanaweza kujamiiana na kupata mimba, toka miaka kumi na hadi miamoja, hapo unafikiri watu watakuwa wameshazaliana kiasi gani? habili na kaini lazima walilala na dada zao wakawazalisha watoto na ndani ya miaka 100 tu watoto wa watoto wao lazima watakuwa walishazaliana wao kwa wao. ukichukulia sasaivi, mtu hadi anafikisha miaka 100 anaweza kuwa na uzao hata 4 (kitukuu). hapo sasa huelewi kuwa ilikuwa rahisi sana kuzaliana na dada, mabinamu, ndugu kwa ndugu? cha msingi ni kwamba waliohesabiwa hao ni wanaume tu wanawake walikuwa hata kwenye namba hawahesabiwi kwasababu wao hawana uzao. hawazalishi.
 
kwa harakaharaka, tangu enzi, mtu wa muhimu alikuwa ni mwanaume, wanawake hata wakiwepo walikuwa hawahesabiwi. hata unapoambiwa Yesu alilisha watu 5000 mikate, hao ni wanaume tu, wanawake walikuwa hawahesabiki. pamojana kwamba Adam na Eva walizaa Kaini na Habili awali, na baadaye seti baada ya kifo cha Habili, wapo wanawake pia walizaliwa out of them, pia jua watu hao waliishi miaka mingi sana duniani, kwamfano, Kaini aliishi duniani kwa miaka 730, na inasemekana kipindi anamuua kaka yake habili, alikuwa na miaka 130. kama adam alikuwa na mabinti, jua wakifikisha miaka 13 tu wameshavunja ungo, wanaweza kujamiiana na kupata mimba, toka miaka kumi na hadi miamoja, hapo unafikiri watu watakuwa wameshazaliana kiasi gani? habili na kaini lazima walilala na dada zao wakawazalisha watoto na ndani ya miaka 100 tu watoto wa watoto wao lazima watakuwa walishazaliana wao kwa wao. ukichukulia sasaivi, mtu hadi anafikisha miaka 100 anaweza kuwa na uzao hata 4 (kitukuu). hapo sasa huelewi kuwa ilikuwa rahisi sana kuzaliana na dada, mabinamu, ndugu kwa ndugu? cha msingi ni kwamba waliohesabiwa hao ni wanaume tu wanawake walikuwa hata kwenye namba hawahesabiwi kwasababu wao hawana uzao. hawazalishi.
1. Unaaminije watu walikuwa wanaishi miaka 900 wakati haujui dating system Yao waliyokuwa wanaitumia. Wat if miaka 900 kwao ilikuwa Kama miaka 90 now... dating system zimebadilika Sana ndo maana later in the bible age ilikuwa 30s
2. Why Mungu wako ni mbaguzi wa kijinsia. Hii ni dalili ya hiki kitabu kuandikwa na wanaume waliyokuwa na matakwa Yao na sio neno la Mungu
 
1. Unaaminije watu walikuwa wanaishi miaka 900 wakati haujui dating system Yao waliyokuwa wanaitumia. Wat if miaka 900 kwao ilikuwa Kama miaka 90 now... dating system zimebadilika Sana ndo maana later in the bible age ilikuwa 30s
2. Why Mungu wako ni mbaguzi wa kijinsia. Hii ni dalili ya hiki kitabu kuandikwa na wanaume waliyokuwa na matakwa Yao na sio neno la Mungu
kwahiyo wewe hapo ulipo na penis yako unajiona upo sawa na mwanamke? usije kuwa unavaa bikini wewe?
 
kwahiyo wewe hapo ulipo na penis yako unajiona upo sawa na mwanamke? usije kuwa unavaa bikini wewe?
🤣🤣🤣🤣🤣Ishu sio usawa...we rais wako si mwanamke, sensa si zinahesabu wanawake, mama Ako si mwanamke, acha kutetea upumbavu wa miaka 3000 iliyopita una akili wewe na acha kuresort kwa matusi
Kitabu kilichoandikwa na Mungu mpenda wote na mjua yote tuliexpect kuwekwa rationality fulani ila Kuna ubaguzi na utumwa which is normal kwa culture ya zamani ya watu....ndo maana nasema dini hiyo ni product ya utamaduni wao
 
🤣🤣🤣🤣🤣Ishu sio usawa...we rais wako si mwanamke, sensa si zinahesabu wanawake, mama Ako si mwanamke, acha kutetea upumbavu wa miaka 3000 iliyopita una akili wewe na acha kuresort kwa matusi
Kitabu kilichoandikwa na Mungu mpenda wote na mjua yote tuliexpect kuwekwa rationality fulani ila Kuna ubaguzi na utumwa which is normal kwa culture ya zamani ya watu....ndo maana nasema dini hiyo ni product ya utamaduni wao
rais wangu hata kama ni mwanamke, mimi siko sawa naye. hilo nakuhakikishia. mwanamke ni mwanamke na mwanaume ni mwanaume.
 
rais wangu hata kama ni mwanamke, mimi siko sawa naye. hilo nakuhakikishia. mwanamke ni mwanamke na mwanaume ni mwanaume.
😂Nani kasema usawa...jibu kwa hoja bac... usawa doesn't mean hawahesabiwi...mbona sensa inahesabu wanawake. Hii jamii ya wayahudi na jamii nyingi zamani walichukulia wanawake kama ng'ombe tu au mtumwa..ndo hata kwenye amri kumi ni za wanaume na inasema usitamani "property" ya mwenzako Kama mke, ng'ombe, mtumwa... ni kundi moja.
Bro ukifuatilia bible in a philosophical standpoint unapata kuelewa zaidi. Sio kosa Lao coz society nyingi zilikuwa hivyo ila kusema kwamba ni neno la Mungu huu ni ukichaa
 
T
Eti wanyama wote Waliingia wawili wawili kwenywe safina , hii story na ya uwanja wa ngoma ya ngozi ya ng'ombe ya juma na uledi inatofauti gani?
Tapeworm, milipede, centipede, bacteria, nungunungu, nguchiro nk wote walikusanywa na kuwekwa ktk safina. Swali ni, je nani aliwakusanya kutoka huku Afrika au huko mashariki ya kati palikuwa na species zote za duniani ? Mashariki ya kati ni jangwa na asilimia kubwa wanapatikana wanyama wa Jangwani jama Ngamia.
 
T

Tapeworm, milipede, centipede, bacteria, nungunungu, nguchiro nk wote walikusanywa na kuwekwa ktk safina. Swali ni, je nani aliwakusanya kutoka huku Afrika au huko mashariki ya kati palikuwa na species zote za duniani ? Mashariki ya kati ni jangwa na asilimia kubwa wanapatikana wanyama wa Jangwani jama Ngamia.
Noma mkuu
 
T

Tapeworm, milipede, centipede, bacteria, nungunungu, nguchiro nk wote walikusanywa na kuwekwa ktk safina. Swali ni, je nani aliwakusanya kutoka huku Afrika au huko mashariki ya kati palikuwa na species zote za duniani ? Mashariki ya kati ni jangwa na asilimia kubwa wanapatikana wanyama wa Jangwani jama Ngamia.
😂Watakuambia Mungu anaweza yote...
 
Back
Top Bottom