mninga dume
Member
- Jun 18, 2016
- 49
- 29
Kuna mengi yalitokea lakini hayajulikani, kwa sababu Kuna baadhi ya vitabu vilipigwa marufuku kutumika kwa maslahi ya watu Fulani. Majibu ya swali hili yanapatikana katika kitabu Cha "MAISHA YA ADAM NA EVA" ambacho nacho kimeondolewa kwenye bibilia za sasa. Kabla ya Eva Adamu alikuwa na mke mwingine na wengi hawajui hili kwa kuwa kitabu hiki hakitumiki.