Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Wapi imeandikwa "waarabu ni ndugu zetu katika imani" ? Naona unazunguka mbuyu na swali langu la pili ni lini uislamu ulikuwa ni dini ya ethnicity ?
Kingine keep in mind waarabu nao wapo wana dini nyenginezo mfano
Baháʼí , Druze, Alawites, Manichaeism, Bábism, Yazidism, Mandaeism, Yarsanism, Samaritanism, Shabakism, Ishikism, Ali-Illahism, Alevism, Yazdânism na Zoroastrianism .
Rudi ujibu swali upya .
Una umri wa miaka 500 , umebahatikau kuona mambo ya utumwamimi ata kama ukinipa mshahara milioni 100 kwa mwezi sifanyi kazi huko,waarabu wameshushiwa uislam lakini makatili sana aisee!!!,wanachinja wa2 da,wakti wa utumwa walikuwa wakipasua matumba ya wanawake wa kiafrika wenye mimba na kuonyesha wake zao namna mtoto anavokaa tumboni,walikuwa wakipandisha waafrika minazi na kujifunza kulenga shabaha!!!ni shida juu ya shida
KAMA ILIVYO KWA ENZI ZA UTUMWA, WATU WEUSI WALIHUSIKA KWENDA KUPIGANA, KUKUSANYA MATEKA NA KUWAPELEKEA WAARABU. KWA SASA KUNA MAKAPUNI YANAKUSANYA WAFANYAKAZI HUKO NA HUKO KISHA KUWAPELEKA UARABUNI KWA AHADI ZA MAISHA MAZURI.
ADUI YUKO MIONGONI MWETU!
Haaaaa FaizaFoxy anapenda uarabu hadi anatia huruma.Kina Ritz
Ungeandika haya tokea mwanzo hapo sasa umeeleweka mkuuKitu kidogo unashindwa kuelewa
Mwarabu muislamu ni ndugu zetu katika imani, asie muislamu hana undugu na sisi,,, na kwa mzungu , mchina, mhindi hivyo hivyo
N.k n.k n.k
Ungeandika haya tokea mwanzo hapo sasa umeeleweka mkuu
we learn things throuhg education mazee,at muislam hajawai muona Muhammad wala mkristo hajawi muona YESU wewe jamaa!!,so acha kuficha kichwa kwenye mchanga kama mbuni!!Una umri wa miaka 500 , umebahatikau kuona mambo ya utumwa
Kumbe hujawahi kuona uliambiwa tu na mchungaji wakowe learn things throuhg education mazee,at muislam hajawai muona Muhammad wala mkristo hajawi muona YESU wewe jamaa!!,so acha kuficha kichwa kwenye mchanga kama mbuni!!
we learn things throuhg education mazee,at muislam hajawai muona Muhammad wala mkristo hajawi muona YESU wewe jamaa!!,so acha kuficha kichwa kwenye mchanga kama mbuni!!
Haaaaa FaizaFoxy anapenda uarabu hadi anatia huruma.
Halafu yupo yule Mzee wa ⛽️ haitoki Ntwala THE BIG SHOW wanawaabudu waarabu balaa.Yaani ukimleta mwarabu toka Muskat yupo tayari kumpatia Dada yake buuure.
Kumbe hujawahi kuona uliambiwa tu na mchungaji wako
Mfanyakazi wa asili ya Afrika ameonekana akinyonyesha mbwa huko Saudi Arabia
View attachment 2381679
Hii nchi kwanini inachukia na kunyanyasa sana Waafrika? Maana tangu nijue kusoma sijawahi kusoma nchi inayotesa Waafrika kama hii, visa ni vingi sana
Kwanini Waafrika tusiungane na kuisusia hii nchi na kufunga balozi zetu zote huko? Tutakosa nini?
Kwa hiyo ni kosa lao?Kwa nini Waafrika mmeshindwa kuendeleza nchi zenu mmebaki mnakimbilia kudoea nchi za watu na kufanya kazi za utumwa
Kwa hiyo ni kosa lao?
Kwa hiyo tusiende kwenye hija au?
Kwani munakwenda kutafuta nini kama munaonewa? Si mukae makwenu muendelee na kulima tu? Ardhi ipo tele tujitahidi kulima tufanikiwe.Kwanini Waafrika tusiungane na kuisusia hii nchi na kufunga balozi zetu zote huko? Tutakosa nini?
Zuieni dada zenu na binti zenu wasiende huko.Wavaakobazi wanawaona waarabu kama malaika..kumbe ni takataka umbwa wale..wametuharibia jamii yetu.
#MaendeleoHayanaChama
Wewe nae watu wanazungumzia ukatali umekazna na imani,wenzio kunyanyaswa ni sawa tu kisa anaowanyanyasa mko nao kiimani ,acha basi kujizima data hakuna anaependa kunyanyaswaHuwa unapata faida gani kuwachukia/sema waarabu vibaya? Hivi watoto wako watajifunza nini kutoka kwa baba mzazi kama wewe kila kukicha kuwasema waarabu, aise unakazi😅 Mungu aniepushie mbali haya
Bhujiku ng'waka
Kwa kweli unatakiwa ukapimwe,wewe hukustahili kuishi karne hii,ulitakiwa uishi karne ya utumwa ukauzwe kwa hao waarabu wakufyatue marinda mana hujitambuiHuku wanavyouana kuna utu? Mtoto anauwa mzazi kisa mali, mke anauwa mume kisa mali, huo ndio utu!! Chuki itakupeleka pabaya.
Tutafute hela, kulialia tuache