Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Hujui kuna watu wanajiita mamlaka ya maji mijini wanakusanya fedha kwa watu wenye visima?kwani kisima chako umechimba unalipia nini tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui kuna watu wanajiita mamlaka ya maji mijini wanakusanya fedha kwa watu wenye visima?kwani kisima chako umechimba unalipia nini tena
Ukishasema serikali ya JMT mambo ya Mungu hayapo tena, ndio raia na viongozi wana Mungu ila wakishakuwa katika muunganiko ukaitwa serikali hapo ni mamlaka na utii wa hayo mamlaka baasi.Wala sijataja dini yangu hapo,niko neutral.
Labda uniambie kwamba kuna mtu yeye anaamini uhai amejipa mwenyewe,na ardhi pia kuna watu wameitengeneza.
Sasa kumbe tunafanyeje hapa! Tunaomba sheria ibadilishwe kodi ya ardhi ufutweBoss, kodi ya ardhi ipo kisheria kupitia bunge lako tukufu. Hakuna aibu hapo kuna sheria. Kama hatuitaki ni suala la kushinikiza mbadala bungeni pawepo mswada sheria ibadilike.
Fanya masiharaha weye!Hujui kuna watu wanajiita mamlaka ya maji mijini wanakusanya fedha kwa watu wenye visima?
Okey mkuu, sawa. Unapendekeza kiasi cha kodi kinachokusanywa kupitia kodi ya ardhi kikusanywe kupitia nn? Lets say serikali imetusikia, bajeti ijayo deficity itakayotokana na kuondoa mapato ya kodi ya ardhi itakuwa covered how?S
Sasa kumbe tunafanyeje hapa! Tunaomba sheria ibadilishwe kodi ya ardhi ufutwe
Ingekuwa ni Mimi kiongozi ningefuta kodi ya ardhi halafu ile kodi ya jengo ningeibadilisha ikawa kodi ya huduma (government service/municipal service) hii inatosha kuhudumia kila kitu hadi kuzoa taka. Hakuna haja ya mwananchi kubughuziwa na mi tozo ya ziadaOkey mkuu, sawa. Unapendekeza kiasi cha kodi kinachokusanywa kupitia kodi ya ardhi kikusanywe kupitia nn? Lets say serikali imetusikia, bajeti ijayo deficity itakayotokana na kuondoa mapato ya kodi ya ardhi itakuwa covered how?
Wanasiasa wenyewe wanatamani uwape huo mbadala 2025 majukwaani wapate la kusema.
hilo sikujua nilijua unalipa ile ada yakuchimba ya mwanzo tu, kumbe kuna mwendelezo wa malipo hata baada ya kuchimbaHujui kuna watu wanajiita mamlaka ya maji mijini wanakusanya fedha kwa watu wenye visima?
Okey boss. Nani atakidhi kulipa hiyo kodi ya huduma, analipa kwa kupata huduma ipi na kwa mfumo upi?Ingekuwa ni Mimi kiongozi ningefuta kodi ya ardhi halafu ile kodi ya jengo ningeibadilisha ikawa kodi ya huduma (government service/municipal service) hii inatosha kuhudumia kila kitu hadi kuzoa taka. Hakuna haja ya mwananchi kubughuziwa na mi tozo ya ziada
... pitia kitu kinaitwa "the Great Survey" upate historia kidogo ya modern property act ilivyoanza huko UK middle ages around 1066 AD. Kodi ya ardhi ni kati ya kodi kongwe kabisa; 1000 yrs ago!Wala sijachanganya mada,kuna mtu nilikuwa nimemjibu hiyo comment,aliniambia kuwa mimi sijui umuhimu wa kodi wala maana ya kodi ndio nikamjibu yeye anayejua umuhimu wa kodi ameona wapi hiyo kodi ikifanya kazi ipasavyo
.... na duniani kote hakuna nchi isiyo na wizara inayoshughulikia masuala ya ardhi ikiwa ni pamoja na kutoza kodi. Jina lake linaweza kusomeka vyovyote ila neno ARDHI halijawahi kukosekana.Hata kama ardhi tumepewa bure lakini bado ni scarcy commodity hivyo lazima iwe na gharama. pia hataka kama ardhi ni bure bado inahitaji Administration. na kuadminister kunahitaji fedha, hivyo lazima kuwe ada za kila wakati.
jambo limeundiwa hadi wizara na sheria so haliwezi kuwa rahisi kadili ya mawazo yako
Sawa... pitia kitu kinaitwa "the Great Survey" upate historia kidogo ya modern property act ilivyoanza huko UK middle ages around 1066 AD. Kodi ya ardhi ni kati ya kodi kongwe kabisa; 1000 yrs ago!
Kwani sahivi nani analipia zoteOkey boss. Nani atakidhi kulipa hiyo kodi ya huduma, analipa kwa kupata huduma ipi na kwa mfumo upi?
Mkuu umeanzisha mada nzuri wengi tumefaidika na mijadala. Itoshe kusema kodi ya ardhi ni kati ya kodi kongwe, muhimu, na iko duniani kote.Sawa
[emoji23][emoji23][emoji23]Ndugu mwana JF
Ukitaka kujuwa serikali nini tokewa na mambo haya hapa.
Shamba lako likibainika lina-Alimasi linakuwa mali ya Serikali.
Ila shamba lako likibainika lina-Bangi hiyo ni mali yako mkuu! 😀
Naomba niishie hapa siwezi kuendelea hadi aje mwanasheria wangu!
Vocha ni yako afu unapangiwa matumizi. Serikali si uchawi tu ndo unawabeba
Katiba mpyaVocha ni yako afu unapangiwa matumizi. Serikali si uchawi tu ndo unawabeba
Ardhi ya nchi hii ni mali ya umma.Haijaandikwa popote,
Nahisi tu
Ebu nielimish,ardhi ni ya nani!!