Kwanini Iran na Yemen wamekuwa na mipango ya miaka mingi kulipua Mecca na Medina?

huyoyesu sialigongelewa misuimali akashindwa kujiokoa huouwezo wakuumba vitu ameutoa wapi
Ulitakiwa uulize ni kwanini Yesu Kristo aliamua (au niseme alilazimika) kupitia msalabani ili wanadamu waokolewe badala ya kuja na opinion zako.
 
Haya mzee una kasi Sana uwezi dhani wew Ni member junior utadhani Ni senior member kbsa kumbe Ni kijan wa September 22
 
Yesu huyu huyu aliyekuwa anacheza kombolela na watoto wenzake katika mitaa ya Galilaya Leo amekuwa Mungu muumba vyote?

Lete ushahidi wa maandiko ili ujijue kuwa wewe ni tahira
 
Haya maneno umeyapata wapi weka ushahidi wa mandiko tuone
Yohana 1:1-5

1 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.

2 Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.

3 Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika.

4 Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu.

5 Nayo nuru yang'aa gizani, wala giza halikuiweza
 
Haya mzee una kasi Sana uwezi dhani wew Ni member junior utadhani Ni senior member kbsa kumbe Ni kijan wa September 22
Mimi nipo jf tangu 2006 ila nimejiunga na id hii siku za karibuni.
 
Vp yesu nae umefanya nae kazi?
hv ni kuwa akili zenu fupi au vp , ukute ww ni mtu mzima ilq kujibu hoja huez , funguq threqd halaf weka mamb ya yesu maana huelew hii thread inahusu nin ? km unajiona una panic mapema humu jf hakukuhus nenda tu vijiwen huko ambapo kisa una gari bas kijiwe kizima huongea kwa kurefer unapenda nn
 
Asante kwa ufafanuzi,
Ila Shia wao wanajiita waisilamu.
Kati ya Suni, Shia, Ahmadia ni nani waisilamu halisi?
Na je si km ilivyo kwawakristu ambao wote hujiita wakristo bila kujali tofauti ya dhehebu zao?
 
nimependa jibu lako limekaa kisomi zaid kuliko hao wahuni waliouvamiq uislam hawawez hata mjibu mleta uzi kwa hoja badala yake wameweka matusi mbele
 
Kivipi wanaficha ukwel nq kuukubali uongo ? sorry unaezaj juwa huu ukwel na huu uongo ?
 
Huyo jamaa Execute hana Kazi zaidi ya kushinda Jf ni zao la vijana waliokosa akira tokea ajinge haujatimiza wiki kawa Expert member na kapata BAN hapo wataalamu wanaelewa jinsi gani alivyo kisirani ikichangiwa na kukosa mimi wa kumuoa mpk sasa..
ukikosa hoja acha kuharibu radha ya jf , jobles haeza pata bando la kushinda humu kila siku , ukiona mtu yupo humu basi ujue ana kaz hata kama isipokuwa ya kipato kama chako , so jitahid kujibu mada kwa hoja , HUEZ PITA HIVI SIO LAZIMA USHIRIKI
 
Ulitakiwa uulize ni kwanini Yesu Kristo aliamua (au niseme alilazimika) kupitia msalabani ili wanadamu waokolewe badala ya kuja na opinion zako.
kablayakuzaliwa huyokristo wenu kulikuwa namunguyupi? achaujinga wakumwabudu binadamumwenzako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…