Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Wewe unahisi Kuna Chama Cha Upinzani ambacho kingemshinda Chuma?.Watanzania wangekuwa wanajua yeye ni nani angepora uchaguzi? Ukiishi kwa hujuma hata ukifa unalipwa hujuma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unahisi Kuna Chama Cha Upinzani ambacho kingemshinda Chuma?.Watanzania wangekuwa wanajua yeye ni nani angepora uchaguzi? Ukiishi kwa hujuma hata ukifa unalipwa hujuma.
Bibi Samia ?..Chawa wa bb mna ucenge mwingi sana
Jiwe aliharibu san nchiNafasi ipo...Unaweza kuvaa rubega na kuwa hunter kama huwezi kulamba asali na hutaki kuwapiga vijembe wanaomkashifu marehemu.
Wewe unahisi Kuna Chama Cha Upinzani ambacho kingemshinda Chuma?.
Hawana Legacy hao, wanategemea urafiki wa aliyepo madarakani.Makamba ni mdudu tu kwa JPM. Jina la Magufuli litasurvive test of time na litaimbwa vizazi na vizazi. Familia ya makamba itasahaulika na kupotea kama moshi kwenye hewa
Nilijua ushakuwa chawa wa bb maana wengi wameuza ubongo na kubaki na kabati za menoBibi Samia ?..
Hii Damu ya Kingosha ,Damu ya Akili kubwa.
Sina Damu ya uswahili
JPM ni kama maji hutaki kuyatia kinywani mda ukifika utayaoga tuKuanzia Tuzo , Et anapewa JK , anapewa Mwinyi .... Walifanya nn? Sibora mngechomekea na JN mwanzilishi wa Wazo?.
Et wanashindwa kutaja Awamu ya JPM, badala yake wanamuingizia kwenye awamu kiujumla jumla .!!
Mkamba JR, una utoto na uswahili , wewe hufai hata kua Balozi wa nyumba kumi.
Huwezi Kumtenganisha JPM na JNHEPP , huwezi na ni mjinga pekeake tu ndo anaweza kumtenganisha, Tena ni mjinga, asokua na haya, na mnafiki, mwenye kiburi anayejiambia 'Hamna wakunigusa'.
NEC walichokuonyesha ,hakijakufunza?
Watanzania wanajua, nani ni nani kwao, hizi porojo zako, ni kutojielewa na kuendelea kunishushia Heshima ndogo ulobakiwa.
Wewe sindo ulikua kimbelembele kupiga vita Huu mradi Kwa JPM?.
Sasa yule yule ulokua unampiga Vita, unajifanya kujisahaulisha ?.
Makamba Jr. Acha Utoto !!.
Muda si mrefu tutaona nani ni mshamba kati ya Magufuli na watoto wa mjiniPole sana.
JPM aliwakilisha vizuri ushamba wa mangosha.
Lakini watoto wa mjini walimfanya mbaya ili apotee na ushamba wake.
Angekuwa na uhakika wa kushinda angeheshimu uchaguzi. Kama aliunajisi ni dalili hakuwa na uhakika wa ushindi.
Over my dead body !!.Nilijua ushakuwa chawa wa bb maana wengi wameuza ubongo na kubaki na kabati za meno
Ushindi wa kunajisi uchaguzi hata Elbashir wa Sudan alikuwa anaupata. Ila siku watu waliingia mtaani baada ya kuchoka waliokuwa wanampigia kura hawakuonekana.Ushindi ulikua ni lazima na hakika !!.
Je wajua Kwa Sasa Hayati JPM amekufa maarufu kuliko hata Upinzani?.
JPM yu hai sema mawazo yako ndo yamekufaHivi una habari ?, JPM alishakufa siku nyingi!!!
😁😁😁hayupo bhana wape muda machinga wataacha kumwongelea soon ...Alikufa kimwili, hivi unahabari kiroho anawasumbua mpaka Sasa??
Wee jiulize, kwann Nyerere au mkapa hawazungumzwi hivi !!!
JPM...JPM...JPM
Du,kumbe mlimuua?[emoji41]Pole sana.
JPM aliwakilisha vizuri ushamba wa mangosha.
Lakini watoto wa mjini walimfanya mbaya ili apotee na ushamba wake.
[emoji23][emoji23][emoji23]Naona maumivu kwako kutokana na kipigo ha mbwa koko 2020 yanendeleaWatanzania wangekuwa wanajua yeye ni nani angepora uchaguzi? Ukiishi kwa hujuma hata ukifa unalipwa hujuma.
Basi hilo bwawa kajenga Makamba na familia yake......nyie level yenu ni kuchimba kisima sawa wewe pimbi...Fala nyie waabudu wafu. Pambaf
Mradi gani huyo kiwete aliuacha ukazinduliwa na JPM? Mradi wa dawa za kulevya na mateja?Mwosha huoshwa..JPM alizindua miradi ya JaKaya kisha sifa akajipa yeye.
Wewe leta education background ya huyo msambaza chai wa maofisini aliyepata ngekewa ya urais.Jiwe kila kitu kwake kilikuwa na utata kuanzia Elimu mpaka uraia wake. Watu kama wewe ndiyo watakuwa walipiga makofi