Kwanini January Makamba unakataa kutambua nguvu na juhudi za hayati Magufuli kwenye JNPP?

Kwanini January Makamba unakataa kutambua nguvu na juhudi za hayati Magufuli kwenye JNPP?

Ukweli lazima usemwe,kuna tatizo gani kutambua juhudi za hayati Magufuli kwenye mradi huu wa umeme (JNPP),hasa kwenye hotuba zenu?

Wazo lilikuwa la Mwalimu Nyerere ,akashindwa,awamu zilizofuata kuanzia ya pili mpaka ya NNE,hawakuwa na habari na mradi huo,waliupa kisogo.

Hayati Magufuli kwa nguvu kubwa na ujasiri usio na shaka akaamua kutekeleza wazo hilo.
Miongoni mwa waliohujumu juhudi hizi ni waziri wa sasa wa nishati, January Makamba kwa kisingizio cha uharibifu wa mazingira,ikapelekewa kuondolewa baraza la mawaziri.

Leo hotuba ya mkurugenzi mkuu Maharage Chande na waziri wake wamejificha kwenye kichaka cha mipasho ,hasa waziri Makamba.

Nijielekeze kwenye usanii wa waziri kutambua juhudi za watangulizi kwenye ujenzi wa bwawa hilo,katengeneza zawadi za kutambua michango ya mzee Mwinyi na Jakaya,wana mchango gani ikiwa mradi waliupa kisogo?
Makamba junior kawapa medal za kinafiki sana,hata wao wamejisikia aibu sana kupewa medal za ushiriki wao wa mradi wakati hawajashiriki hata kidogo.

Huyu kijana ndio awaza kuwa rais wa hii nchi.tuna hasara kubwa kama taifa.

Nimpongeze rais Samia kwa kujaribu kuusema ukweli kuhusu kazi kubwa ya hayati Magufuli katika kufanisha mradi huu.

Kumekuwa na ka syndicate kupoteza Juhudi za hayati Magufuli kwa kuzimeza kijumla jumla na wasiostahili .moja wapo ni hilo tukio la kinafiki la kutambua mchango wa bwawa wakati si washiriki.

Namalizia kwa kumwambia waziri Makamba na walio nyuma yake kwamba watanzania hawadanganyiki tena , Magufuli aliwafumbua macho.

Huu mchezo wa kujaza vijana mitandaoni kumdhihaki, mmeona leo jinsi likitajwa jina lake makofi na shangwe kama lote.

Nikiashiria kwamba kimwili hatuko naye ila kifikra tukonae,acheni majungu dhidi ya marehemu.
Huyo ni mbwa tu kwa roho yake mbovu katakufa mapema hako kajinga.
 
Ukweli lazima usemwe,kuna tatizo gani kutambua juhudi za hayati Magufuli kwenye mradi huu wa umeme (JNPP),hasa kwenye hotuba zenu?

Wazo lilikuwa la Mwalimu Nyerere ,akashindwa,awamu zilizofuata kuanzia ya pili mpaka ya NNE,hawakuwa na habari na mradi huo,waliupa kisogo.

Hayati Magufuli kwa nguvu kubwa na ujasiri usio na shaka akaamua kutekeleza wazo hilo.
Miongoni mwa waliohujumu juhudi hizi ni waziri wa sasa wa nishati, January Makamba kwa kisingizio cha uharibifu wa mazingira,ikapelekewa kuondolewa baraza la mawaziri.

Leo hotuba ya mkurugenzi mkuu Maharage Chande na waziri wake wamejificha kwenye kichaka cha mipasho ,hasa waziri Makamba.

Nijielekeze kwenye usanii wa waziri kutambua juhudi za watangulizi kwenye ujenzi wa bwawa hilo,katengeneza zawadi za kutambua michango ya mzee Mwinyi na Jakaya,wana mchango gani ikiwa mradi waliupa kisogo?
Makamba junior kawapa medal za kinafiki sana,hata wao wamejisikia aibu sana kupewa medal za ushiriki wao wa mradi wakati hawajashiriki hata kidogo.

Huyu kijana ndio awaza kuwa rais wa hii nchi.tuna hasara kubwa kama taifa.

Nimpongeze rais Samia kwa kujaribu kuusema ukweli kuhusu kazi kubwa ya hayati Magufuli katika kufanisha mradi huu.

Kumekuwa na ka syndicate kupoteza Juhudi za hayati Magufuli kwa kuzimeza kijumla jumla na wasiostahili .moja wapo ni hilo tukio la kinafiki la kutambua mchango wa bwawa wakati si washiriki.

Namalizia kwa kumwambia waziri Makamba na walio nyuma yake kwamba watanzania hawadanganyiki tena , Magufuli aliwafumbua macho.

Huu mchezo wa kujaza vijana mitandaoni kumdhihaki, mmeona leo jinsi likitajwa jina lake makofi na shangwe kama lote.

Nikiashiria kwamba kimwili hatuko naye ila kifikra tukonae,acheni majungu dhidi ya marehemu.
Huu ni uthibitisho mkubwa sana kuwa Kwa sasa ccm imepoteza dira na muelekeo. Kwamba kwa sasa wanapambana wao kwa wao na si kwa ajili ya Tanzania.
Wake up opposition. Wake up Tanzanians!
 
Niliona pale maharage alikwamakwama kwenye hotuba alipofika awamu ya tano ilichofanya akapigwa kimemo haikupita muda karuka kasifia mama kaaga kaondoka.
 
Kwamba Kenya na Katiba Mpya wamemaliza matatizo yao ? Pili unaona dunia kwa mafungu mimi naangalia dunia as a Unit.. Nchi zote na ninaposema generation hii simaanishi Tanzania tu bali dunia nzima kwa ujumla - Unaweza ukasema we shit where we eat..., tunajiona tupo civilized ila ni waharibifu watupu...; ndio maana nikatoa mfano wa hunters and gatherers (unaweza ukasema walikuwa hawapo civilised) ila ngoja nikuonyeshe msemo wa a generation past alafu uniambie who was brighter ?

Only when the last tree has been cut down, the last fish been caught, and the last stream poisoned, will we realize we cannot eat money.”

Ila the saddest truth ni kwamba the coming generations are the ones to pay the price.....,
Acha mbambamba, ukitaka kuingia kwenye vitabu vya historia kwa sasa hapa TZ pigania katiba na ifanikiwe hayo mengine ni mbambamba zisizo na umuhimu kwa gen ijayo.
 
Leta education backgruound ya Rais wako hapa, na mimi nitakuonyesha level za elimu za hao waliompigia makofi JPM.

Tunaongozwa na "hoyahoya" kitambo tu.
Jiwe kila kitu kwake kilikuwa na utata kuanzia Elimu mpaka uraia wake. Watu kama wewe ndiyo watakuwa walipiga makofi
 
Mipango mingi mikubwa ya nchi huwa inaanzia katika awamu moja, na kutekelezwa na awamu nyingine.

Hii si Tanzania tu, dunia nzima katika nchi za kidemokrasia ambazo marais wanakaa miaka 5-10, mara nyingi mipango inayoonekana kufanikiwa na rais mmoja inakuwa imeanzia awamu moja au mbili nyuma.

Hapo utaona Brazil Luiz Inácio Lula da Silva anasifiwa sana, lakini mipango hii ilikuwapo tangu kipindi cha Fernando Henrique Cardosso.

Namsoma rais Mwinyi hapa katika kitabu chake "Mzee Rukhsa: Safari ya Maisha Yangu", anaelezea kuwa watu waliona uchumi kwenda kufunguliwa kama ni maamuzi ya serikali ya rais Mwinyi, kumbe sera hizi zilianza tangu miaka ya mwisho ya urais wa Nyerere.

Marekani tumeona Trump akichukua credit kwa sera za kuanzia tangu miaka ya Obama.

Ndiyo maana mimi naona kushadadia watu ni ujinga. Kwa sababu hawa watu kazi zao zimechanganyikana sana, kama maji ya ndoo yaliyoingiwa na mkojo.

Sasa maji ya ndoo yakishaingiwa na mkojo, huwezi kusema "haya maji ya upande huu safi, hayajaingiliwa na mkojo, naweza kunywa". Si rahisi kutenganisha.

Ndiyo maana watu walioendelea wakaweka kitu kinaitwa "collective responsibility". Ndiyo maana Mkapa akamkaripia Magufuli akamwambia asiseme "serikali ya Magufuli" aseme "serikali ya CCM".

Ila, watu wengi wanapenda sana kushabikia watu, kuliko kuchambua sera.

Hapo ndipo mwisho wa uwezo wao labda. Maana kuchambua sera kunataka kazi ya kusoma, kuchakata data, kufikiri, na wengi hawawezi kazi hii.
Kwanini linapokuwa suala ovu kunakuwa hakuna collective responsibility?,ila mambo mema hiyo tensi ndio inakubalika,acheni upumbavu huu wa maelezo marefu for nothing
 
Mipango mingi mikubwa ya nchi huwa inaanzia katika awamu moja, na kutekelezwa na awamu nyingine.

Hii si Tanzania tu, dunia nzima katika nchi za kidemokrasia ambazo marais wanakaa miaka 5-10, mara nyingi mipango inayoonekana kufanikiwa na rais mmoja inakuwa imeanzia awamu moja au mbili nyuma.

Hapo utaona Brazil Luiz Inácio Lula da Silva anasifiwa sana, lakini mipango hii ilikuwapo tangu kipindi cha Fernando Henrique Cardosso.

Namsoma rais Mwinyi hapa katika kitabu chake "Mzee Rukhsa: Safari ya Maisha Yangu", anaelezea kuwa watu waliona uchumi kwenda kufunguliwa kama ni maamuzi ya serikali ya rais Mwinyi, kumbe sera hizi zilianza tangu miaka ya mwisho ya urais wa Nyerere.

Marekani tumeona Trump akichukua credit kwa sera za kuanzia tangu miaka ya Obama.

Ndiyo maana mimi naona kushadadia watu ni ujinga. Kwa sababu hawa watu kazi zao zimechanganyikana sana, kama maji ya ndoo yaliyoingiwa na mkojo.

Sasa maji ya ndoo yakishaingiwa na mkojo, huwezi kusema "haya maji ya upande huu safi, hayajaingiliwa na mkojo, naweza kunywa". Si rahisi kutenganisha.

Ndiyo maana watu walioendelea wakaweka kitu kinaitwa "collective responsibility". Ndiyo maana Mkapa akamkaripia Magufuli akamwambia asiseme "serikali ya Magufuli" aseme "serikali ya CCM".

Ila, watu wengi wanapenda sana kushabikia watu, kuliko kuchambua sera.

Hapo ndipo mwisho wa uwezo wao labda. Maana kuchambua sera kunataka kazi ya kusoma, kuchakata data, kufikiri, na wengi hawawezi kazi hii.
Rubbish again
 
Kwanini linapokuwa suala ovu kunakuwa hakuna collective responsibility?,ila mambo mema hiyo tensi ndio inakubalika,acheni upumbavu huu wa maelezo marefu for nothing
Suala ovu gani halina collective responsibility?

Halina collective responsibility kivipi?

Unaelewa mfumo mzima wa social contract na mantiki ya kupiga kura ni nini?
 
Kuanzia Tuzo, Et anapewa JK, anapewa Mwinyi, walifanya nn? Sibora mngechomekea na JN mwanzilishi wa wazo?

Et wanashindwa kutaja Awamu ya JPM, badala yake wanamuingizia kwenye awamu kiujumla jumla!

Mkamba JR, una utoto na uswahili , wewe hufai hata kua Balozi wa nyumba kumi.

Huwezi Kumtenganisha JPM na JNHEPP , huwezi na ni mjinga pekeake tu ndo anaweza kumtenganisha, tena ni mjinga, asokua na haya, na mnafiki, mwenye kiburi anayejiambia 'Hamna wakunigusa'.

NEC walichokuonyesha, hakijakufunza?

Watanzania wanajua, nani ni nani kwao, hizi porojo zako, ni kutojielewa na kuendelea kunishushia Heshima ndogo ulobakiwa.

Wewe sindo ulikua kimbelembele kupiga vita Huu mradi Kwa JPM? Sasa yule yule ulokua unampiga vita, unajifanya kujisahaulisha ?

Makamba Jr. acha Utoto!
 
Tumechoka na hizo ishu za huyo mfu wenu,kama vipi mwambieni gwajiboy amuibue upya kwa vile anayo makarama ya kufufua wafu.
Katika_Historia%3A%0APamoja_na_kwamba_ALIZIMIA_baada_ya_kuuona_mwili_wa_mpendwa_wetu_MFUKO_hak...jpg
 
Kuanzia Tuzo , Et anapewa JK , anapewa Mwinyi .... Walifanya nn? Sibora mngechomekea na JN mwanzilishi wa Wazo?.


Et wanashindwa kutaja Awamu ya JPM, badala yake wanamuingizia kwenye awamu kiujumla jumla .!!


Mkamba JR, una utoto na uswahili , wewe hufai hata kua Balozi wa nyumba kumi.


Huwezi Kumtenganisha JPM na JNHEPP , huwezi na ni mjinga pekeake tu ndo anaweza kumtenganisha, Tena ni mjinga, asokua na haya, na mnafiki, mwenye kiburi anayejiambia 'Hamna wakunigusa'.


NEC walichokuonyesha ,hakijakufunza?

Watanzania wanajua, nani ni nani kwao, hizi porojo zako, ni kutojielewa na kuendelea kunishushia Heshima ndogo ulobakiwa.


Wewe sindo ulikua kimbelembele kupiga vita Huu mradi Kwa JPM?.

Sasa yule yule ulokua unampiga Vita, unajifanya kujisahaulisha ?.



Makamba Jr. Acha Utoto !!.
Hivi una habari ?, JPM alishakufa siku nyingi!!!
 
Rubbish again
Hujaeleza rubbish wapi, kivipi, kwa nini.

Wewe ndiye umeandika rubbish, tena umejionesha mjinga, tena si mjinga tu, mjinga mvivu ambaye hata siwezi kumkosoa kwa kina.

Kwa sababu hata hajajenga hoja za kukosolewa.

Kaandika kivivu tu.

Rubbish again.

Inaonekana una hasira kuliko ulivyo na logic.

Hukatazwi kuwa na hasira.

Lakini, jaribu kuifanya logic yako iongoze hasira yako. Logic iwe zaidi ya hasira.

Si hasira iwe zaidi ya logic.
 
Back
Top Bottom