Kwanini January Makamba unakataa kutambua nguvu na juhudi za hayati Magufuli kwenye JNPP?

Kwanini January Makamba unakataa kutambua nguvu na juhudi za hayati Magufuli kwenye JNPP?

Unafiki wa huyo Jamaa juu ya hiyo wizara ni wa kiwango cha Lusifa ila wananchi wamempa aibu .hayo mawe yote warudishe kwa Mwana wa Joseph .period
 
Acha kuteseka. Generation ikumbukwe na nani?
Nina mashaka na uelewa wako ? takuonyesha kwanini kwenye paragraphs zako mwenyewe unajipinga (Generation ikumbukwe na nani ? Vizazi vijavyo...., Kama tukichafua maziwa yote na mazingira na kupelekea magonjwa kwa vizazi vijavyo unadhani utakumbukwa kwa yapi (kwahio jibu lako ni vizazi vijavyo)
We angalia iwapo watoto na wajukuu zako watakukumbuka kwa kuwaachia urithi.
Kwahio kumbe kuna kukumbukwa au baada ya wajukuu memory inafutika na history inapotea ?
Unadhani nani atakaa akumbuke generation? Hii ni genetation ya ngapi kwani na wanaotakiwa kuikumbuka ni kina nani?
Wale watakaopata shida kwa upuuzi wa waliopita..., unadhani mababu na mababu wasingeweka misingi ya mfano kupanda miti / mibuyu na babu zako wakakuta hii ardhi ni jangwa na tukapata shida ya njaa sasa hivi ungekuwa unasema nini (au unadhani kukumbukwa ni kwa mazuri pekee)?
Generation ya kina Nyerere inakumbukwa sababu ya uhuru, muungano n.k
Kwahio kumbe kuna kukumbukwa ?, Refer paragraph yako ya pili.....
baada ya hapo ni kuendeleza walipoishia unless usimamie katiba mpya ipatikane useme sisi tulipigania katiba, kinyume na hapo pigania watoto na wajukuu au teseka for nothing.
Ndio hapo nasema una myopic thinking..., Katiba ni vitu vya kupita / katiba ni Sheria ambayo vizazi vijavyo vinaweza vikabadilishwa..... Pia kuwepo na Sheria nzuri haimaanishi itafuatwa..., Unapopigania wajukuu zako huku wengi wanateseka na hawana kitu haujengi security kwa hao wajukuu zako sababu wasionacho watawanyanganya na kuwachukuia hao wajukuu zako (kuna vitu vya kufanya individually) na kuna vitu vya kufanya collectively kama jamii kulingana na mentality (sasa kama mentality yako inaongelea kupigania wajukuu zako!!!! Need I say More..., (Unaonyesha Ubinafsi)...

Kina Nyerere more than anything wala siwasifii zaidi kupigia Uhuru (the time for colonization ilishaanza kupitwa na wakati ilikuwa gharama kubwa kwa nchi kuwa na colonies wakati wangeweza / wanaweza kuwanyonya vinginevyo kama wanavyofanya sasa) Kina Nyerere nawasifia kwa Tanzania kuleta Umoja wa Kitaifa (Makabila na Dini tofauti / Imani tofauti kujiona kwamba ni wamoja) jambo ambalo kizazi hiki kinataka kuliondoa pia.....

Anyway sasa hivi ungekuwa muda wa kuwasha moto na kubanika Swala wangu niliyemuwinda mchana (na hizo kuni sikati miti bali ninaokota okata) - Sustainability... (Sio kukata mninga ili nitengeneze kigoda )
 
SSH haweka "legacy" yoyote hadi sasa zaidi ya kuendeleza miradi aliyoifanyia maamuzi ya utekelezaji na kuyasimamia km elimu bila malipo, kuboresha huduma za afya na elimu, ujenzi wa miundo mbinu ya usafishaji nchi kavu, majini na angani, nishati, maji na hata kuhamisha makao makuu ya nchi.

Tusubiri "diplomasia ya uchumi" kama itakuwa ndio "legacy" ya SSH
Na hiyo Ndio legacy yenyewe, historia itaandika jina lake nyie mkifa na huyo marehemu ndio itakuwa mwisho wake.
 
Ni kweli Mwendazake ana mchango wake Ila sio kweli kusema Awamu ya 4 iliupa kidogo mradi.

Awamu ya 4 ilikuwa ianze utekelezaji Ila Kama unavyojua ubinafsi wa Mwendazake kila kitu alipindua na kuanza upya anavyojua yeye ili apate sifa Kama individual.

Alibadilisha reli,Bandari ya bagamoyo na huu mradi ambao tayari MoU ilikuwa imesainiwa.View attachment 2454681View attachment 2454682
Huna akili.. kwahiyo Kikwete , ilikuaje ,akashhindwa ???


Sikiliza hapaa... Tumewaumbua

 
Waafrika wengi, hususan wabongo, siasa zao haziwezi kuvuka personalities. Hawawezi abstract thinking, critical thinking, logical thinking, sometimes thinking period.

Ndiyo maana hapa tunajadili watu badala ya sera.

Hili ni moja ya matatizo yanayoendeleza umasikini Africa.

Watu hawawezi kujadili sera. Hawawezi data driven conversations tu.

Ukiweka mjadala wa faida na hasara za Hydro Electric Dams, watu wajadili kisomi, wajadili kwa data, wajadili kwa logic, waongee kuhusu current trends and research, waongee mambo ya mazingira na maendeleo, waongee kuhusu climate change and the future of H.E.P, ni watu wachache sana watachangia kwa muktadha huo.

Ukosefu wa elimu na ukosefu wa utashi unatu cost.

Ukiweka habari za kuchambana team Makamba na team Magufuli, angalia watu watakavyochambana hapo.

Kwa sababu wabongo wengi ni wavivu wa kusoma, hawana data, hawawezi kuchambua mambo kisomi.

Wanachoweza wao kwa kiasi kikubwa ni kutukanana, kuchambana, maongezi yasiyo na data wala logic. Hapo utawakuta sana.
Umemaliza kila kitu mkuu. Hii ndio JF ya sasa mkuu kiranga great thinkers wa aina yako na wengine wamepungua kwa kiasi kikubwa sana.
 
Nina mashaka na uelewa wako ? takuonyesha kwanini kwenye paragraphs zako mwenyewe unajipinga (Generation ikumbukwe na nani ? Vizazi vijavyo...., Kama tukichafua maziwa yote na mazingira na kupelekea magonjwa kwa vizazi vijavyo unadhani utakumbukwa kwa yapi (kwahio jibu lako ni vizazi vijavyo)

Kwahio kumbe kuna kukumbukwa au baada ya wajukuu memory inafutika na history inapotea ?

Wale watakaopata shida kwa upuuzi wa waliopita..., unadhani mababu na mababu wasingeweka misingi ya mfano kupanda miti / mibuyu na babu zako wakakuta hii ardhi ni jangwa na tukapata shida ya njaa sasa hivi ungekuwa unasema nini (au unadhani kukumbukwa ni kwa mazuri pekee)?

Kwahio kumbe kuna kukumbukwa ?, Refer paragraph yako ya pili.....

Ndio hapo nasema una myopic thinking..., Katiba ni vitu vya kupita / katiba ni Sheria ambayo vizazi vijavyo vinaweza vikabadilishwa..... Pia kuwepo na Sheria nzuri haimaanishi itafuatwa..., Unapopigania wajukuu zako huku wengi wanateseka na hawana kitu haujengi security kwa hao wajukuu zako sababu wasionacho watawanyanganya na kuwachukuia hao wajukuu zako (kuna vitu vya kufanya individually) na kuna vitu vya kufanya collectively kama jamii kulingana na mentality (sasa kama mentality yako inaongelea kupigania wajukuu zako!!!! Need I say More..., (Unaonyesha Ubinafsi)...

Kina Nyerere more than anything wala siwasifii zaidi kupigia Uhuru (the time for colonization ilishaanza kupitwa na wakati ilikuwa gharama kubwa kwa nchi kuwa na colonies wakati wangeweza / wanaweza kuwanyonya vinginevyo kama wanavyofanya sasa) Kina Nyerere nawasifia kwa Tanzania kuleta Umoja wa Kitaifa (Makabila na Dini tofauti / Imani tofauti kujiona kwamba ni wamoja) jambo ambalo kizazi hiki kinataka kuliondoa pia.....

Anyway sasa hivi ungekuwa muda wa kuwasha moto na kubanika Swala wangu niliyemuwinda mchana (na hizo kuni sikati miti bali ninaokota okata) - Sustainability... (Sio kukata mninga ili nitengeneze kigoda )
Nimekuambia unless unapigania KATIBA mengine yote ni muendelezo wa waliyofanya wengine na hayana cha kukumbukwa. UNATESEKA SANA HAHAHA.
 
Huna akili.. kwahiyo Kikwete , ilikuaje ,akashhindwa ???


Sikiliza hapaa... Tumewaumbua


Alishindwa au Magufuli ndio alipangua utaratibu ili aweke wake? 😆😆😆😆.

Ukiona hii Sasa utajinyonga 👇
Screenshot_20221222-162102.png
 
Ukweli lazima usemwe,kuna tatizo gani kutambua juhudi za hayati Magufuli kwenye mradi huu wa umeme (JNPP),hasa kwenye hotuba zenu?

Wazo lilikuwa la Mwalimu Nyerere ,akashindwa,awamu zilizofuata kuanzia ya pili mpaka ya NNE,hawakuwa na habari na mradi huo,waliupa kisogo.

Hayati Magufuli kwa nguvu kubwa na ujasiri usio na shaka akaamua kutekeleza wazo hilo.
Miongoni mwa waliohujumu juhudi hizi ni waziri wa sasa wa nishati, January Makamba kwa kisingizio cha uharibifu wa mazingira,ikapelekewa kuondolewa baraza la mawaziri.

Leo hotuba ya mkurugenzi mkuu Maharage Chande na waziri wake wamejificha kwenye kichaka cha mipasho ,hasa waziri Makamba.

Nijielekeze kwenye usanii wa waziri kutambua juhudi za watangulizi kwenye ujenzi wa bwawa hilo,katengeneza zawadi za kutambua michango ya mzee Mwinyi na Jakaya,wana mchango gani ikiwa mradi waliupa kisogo?
Makamba junior kawapa medal za kinafiki sana,hata wao wamejisikia aibu sana kupewa medal za ushiriki wao wa mradi wakati hawajashiriki hata kidogo.

Huyu kijana ndio awaza kuwa rais wa hii nchi.tuna hasara kubwa kama taifa.

Nimpongeze rais Samia kwa kujaribu kuusema ukweli kuhusu kazi kubwa ya hayati Magufuli katika kufanisha mradi huu.

Kumekuwa na ka syndicate kupoteza Juhudi za hayati Magufuli kwa kuzimeza kijumla jumla na wasiostahili .moja wapo ni hilo tukio la kinafiki la kutambua mchango wa bwawa wakati si washiriki.

Namalizia kwa kumwambia waziri Makamba na walio nyuma yake kwamba watanzania hawadanganyiki tena , Magufuli aliwafumbua macho.

Huu mchezo wa kujaza vijana mitandaoni kumdhihaki, mmeona leo jinsi likitajwa jina lake makofi na shangwe kama lote.

Nikiashiria kwamba kimwili hatuko naye ila kifikra tukonae,acheni majungu dhidi ya marehemu.
January na mwenzie maharage jumlisha na yule mafuru...file lao na mambo yao yanajulikana subiri muda ufike watashangaa sana...
Anaongea utafikiri suala la kujenga hilo bwawa ni rahisi ...
Muogope sana JPM....huyu mzee wezi hawana hamu nae.
 
Alishindwa au Magufuli ndio alipangua utaratibu ili aweke wake? 😆😆😆😆.

Ukiona hii Sasa utajinyonga 👇View attachment 2454698
Sisi Tuzo kama hizi hazitusumbui maana nayeye amepewa Udaktari wa chapchap 🤣🤣


Sisi JPM wetu Afrika na Dunia inamwelewa 🤣.

Unaambiwa Nchi Kadhaa wa Kadhaa, wakaomba JPM awe Rais wao🤣🤣


Haitokaaa Kutokea hapa nchini
 
January na mwenzie maharage jumlisha3n a yule mafuru...file lao na mambo yao yanajulikana subiri muda ufike watashangaa sana...
Anaongea utafikiri suala la kujenga hilo bwawa ni rahisi ...
Muogope sana JPM....huyu mzee wezi hawana hamu nae.
Kuna ugumu gani kwenye kujenga bwawa? 😂😂.

Kinachojenga Ni Pesa wewe fala sio empty words Wala hisia.
 
Sisi Tuzo kama hizi hazitusumbui maana nayeye amepewa Udaktari wa chapchap 🤣🤣


Sisi JPM wetu Afrika na Dunia inamwelewa 🤣.

Unaambiwa Nchi Kadhaa wa Kadhaa, wakaomba JPM awe Rais wao🤣🤣


Haitokaaa Kutokea hapa nchini
Labda Nchi za mataahira Kama wewe,taja Nchi mojawapo tuijue.
 
Back
Top Bottom