Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Alikufa kimwili, hivi unahabari kiroho anawasumbua mpaka Sasa??Hivi una habari, JPM alishakufa siku nyingi!!!
Wee jiulize, kwann Nyerere au mkapa hawazungumzwi hivi !!!
JPM...JPM...JPM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikufa kimwili, hivi unahabari kiroho anawasumbua mpaka Sasa??Hivi una habari, JPM alishakufa siku nyingi!!!
Kuna Mhudhuri humu kwa jina la Sangudi, kiunagaubaga ameandika sehemu....Taratibu wataelewa ni nini maana ya 'Uongozi' ni nini maana ya 'Ujasiri' ni nini maana ya 'Uzalendo' ...kiufupi, Ni nani hasa aliyewaletea heshima Watanzania na Waafrika kwa Ujumla katika kuchanganua na kufanya yale yanayowafaa!Ukweli lazima usemwe,kuna tatizo gani kutambua juhudi za hayati Magufuli kwenye mradi huu wa umeme (JNPP),hasa kwenye hotuba zenu?
Wazo lilikuwa la Mwalimu Nyerere ,akashindwa,awamu zilizofuata kuanzia ya pili mpaka ya NNE,hawakuwa na habari na mradi huo,waliupa kisogo.
Hayati Magufuli kwa nguvu kubwa na ujasiri usio na shaka akaamua kutekeleza wazo hilo.
Miongoni mwa waliohujumu juhudi hizi ni waziri wa sasa wa nishati, January Makamba kwa kisingizio cha uharibifu wa mazingira,ikapelekewa kuondolewa baraza la mawaziri.
Leo hotuba ya mkurugenzi mkuu Maharage Chande na waziri wake wamejificha kwenye kichaka cha mipasho ,hasa waziri Makamba.
Nijielekeze kwenye usanii wa waziri kutambua juhudi za watangulizi kwenye ujenzi wa bwawa hilo,katengeneza zawadi za kutambua michango ya mzee Mwinyi na Jakaya,wana mchango gani ikiwa mradi waliupa kisogo?
Makamba junior kawapa medal za kinafiki sana,hata wao wamejisikia aibu sana kupewa medal za ushiriki wao wa mradi wakati hawajashiriki hata kidogo.
Huyu kijana ndio awaza kuwa rais wa hii nchi.tuna hasara kubwa kama taifa.
Nimpongeze rais Samia kwa kujaribu kuusema ukweli kuhusu kazi kubwa ya hayati Magufuli katika kufanisha mradi huu.
Kumekuwa na ka syndicate kupoteza Juhudi za hayati Magufuli kwa kuzimeza kijumla jumla na wasiostahili .moja wapo ni hilo tukio la kinafiki la kutambua mchango wa bwawa wakati si washiriki.
Namalizia kwa kumwambia waziri Makamba na walio nyuma yake kwamba watanzania hawadanganyiki tena , Magufuli aliwafumbua macho.
Huu mchezo wa kujaza vijana mitandaoni kumdhihaki, mmeona leo jinsi likitajwa jina lake makofi na shangwe kama lote.
Nikiashiria kwamba kimwili hatuko naye ila kifikra tukonae,acheni majungu dhidi ya marehemu.
Watu ni walalamishi kinoma..Lakini ssh amesema wazi kuwa ujasiri na maamuzi ya awamu ya tano chini ya magufuli,
Na shangwe nyingi sana.
R.I.P magufuli
Like shangwe hakika ni Salam tosha 🤣🤣Lakini ssh amesema wazi kuwa ujasiri na maamuzi ya awamu ya tano chini ya magufuli,
Na shangwe nyingi sana.
R.I.P magufuli
Makamba Bichwa kubwa lkn maji tuMarope ni Ngenya tu kama Ngenya
Kaeni Kwa kutulia .Mm nilijua kutaja jina angefufuka? Kumbe bado kakufa.
Fala nyie waabudu wafu. PambafNi kweli amafariki ila mafala kama nyinyi aliwapapasa vilivyo...
Mnateseka sana ila ndio hivyo...
Naona unatafta shababi akukune unyolo huoBichwa kubwa lkn maji tu
Aaahhh au we ndo Makamba mwenyewe ?.Naona unatafta shababi akukune unyolo huo
Chawa wa bb mna ucenge mwingi sanaKaeni Kwa kutulia .
Kuanzia Tuzo , Et anapewa JK , anapewa Mwinyi .... Walifanya nn? Sibora mngechomekea na JN mwanzilishi wa Wazo?.
Et wanashindwa kutaja Awamu ya JPM, badala yake wanamuingizia kwenye awamu kiujumla jumla .!!
Mkamba JR, una utoto na uswahili , wewe hufai hata kua Balozi wa nyumba kumi.
Huwezi Kumtenganisha JPM na JNHEPP , huwezi na ni mjinga pekeake tu ndo anaweza kumtenganisha, Tena ni mjinga, asokua na haya, na mnafiki, mwenye kiburi anayejiambia 'Hamna wakunigusa'.
NEC walichokuonyesha ,hakijakufunza?
Watanzania wanajua, nani ni nani kwao, hizi porojo zako, ni kutojielewa na kuendelea kunishushia Heshima ndogo ulobakiwa.
Wewe sindo ulikua kimbelembele kupiga vita Huu mradi Kwa JPM?.
Sasa yule yule ulokua unampiga Vita, unajifanya kujisahaulisha ?.
Makamba Jr. Acha Utoto !!.
Itakua kweli , huyu jamaa Kwa Sasa ni mtoto pendwa .Nimeona twitter Lema nae anamponda Makamba kutowaalika PM na Makamu wa Rais kwenye hiyo shughuli, kama hii ni kweli, naona Makamba sasa anaonekana kama mtoto wa mama anayedekezwa sana.